Chakula gani ulikula mara moja na kwa mara ya kwanza hadi leo hutaki tena kukila?

Chakula gani ulikula mara moja na kwa mara ya kwanza hadi leo hutaki tena kukila?

Kabichi hazishuki kwangu sijui aliyegundua Ni binadamu wa aina gani
 
Umeona ee tena isiive sana weka hoho,, karoti pilipili wee [emoji39].. kasoro nyanya tu ndo usiweke
Ukipata na samaki wa kukaanga hapo[emoji1] ugali unashuka vizurii.
 
  • Thanks
Reactions: ABJ
Back
Top Bottom