puker
JF-Expert Member
- Nov 22, 2018
- 1,001
- 2,010
Mi tamu balaa[emoji39][emoji39]Mishkaki ya nundu!!
Jmn mbona mnakula mafuta namna ile
I felt like nakunywa Korie moja kwa moja
Nilishindwa kwa kweli na siwezi rudia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi tamu balaa[emoji39][emoji39]Mishkaki ya nundu!!
Jmn mbona mnakula mafuta namna ile
I felt like nakunywa Korie moja kwa moja
Nilishindwa kwa kweli na siwezi rudia
Ndiyo maana nimeshangaa, yaani wengine home kulikua kunapikwa nguna mchana na usiku na asubuhi mnanywea chai kiporo aaih nilikua namind kunywa chai na kiporo cha ugali ila mama anasema ukitaka kula usipotaka acha njaa ikukomeshe😀Either Anatuektia au kaja Africa ukubwani...
Sisi wa uswahilini tumeanza Kula ugali kipindi ambacho tulikuwa tunanyonya maziwa ya mama Hadi analalamika mtoto ananyonya sn Hadi naskia njaa
Anashauriwa mnyweshe uji mwepesi wa muhogo na ugali laini vinginevyo atakukondesha huyo Kwa kunyosha sn
Sasa mtu mmoja anasema ugali sijui bla bla[emoji1787][emoji1787]
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Ni mtamu sana...[emoji39][emoji39][emoji39]Mtu yuko serious kbsa anakutuma buchani ukamnunulie utumbo wa ng'ombe
halafu anakwambia eti "huu nikiunga na nazi,utajilamba nakwambia" yaniiii
huo utumbo hata ukatie humo noti za elf kumi kumi upike siliii ng'o,hata harufu staki iskia...
Aisee umenipa somo zuri...nilikuwa najua fillet ni stek ya kawaida tu ambayo haina mfupaFillet ya ng'ombe ni sehemu ambayo ipo ndani ya mbavu ni sehemu ndogo sana yenye nyama ndefu kama kamba nyama ambayo wewe kapuku mwenzangu unaweza usiijue na usiweze iona kwasababu fillet hununuliwa kwenye mahotel makubwa na sehemu wanazopika vitu classic kwa wateja ambao pesa si tatizo kwao.
Fillet kilo.1 buchani jirani ninaponunua nyama kila siku inauzwa 15,000 sasa piga hesabu hiyo nyama ikitengenezwa mshkaki huo mshkaki utauziwa sh ngapi wewe ili yule mnunua ile fillet nae arudishe hela yake na apate faida Juu?
Hii ndio picha ya ng'ombe na sehemu zake ambapo fillet inapatikana
View attachment 1576566
Hiyo picha ya kwanza
Picha ya pili inayokuonyesha fillet inapopatikana kwenye ng'ombe
View attachment 1576567
ni kasehemu kadogo sana kanakotoa nyama kama kilo 3-5 kwa ng'ombe alienona kweli kweli,Fillet ukiikuta imeandaliwa imekaa mkao wakutumika muonekano wake ndio kama huu hapa chini
View attachment 1576569
huo mzigo hapo ni laini kiasi kwamba hata steki ya kwenye paja au kidari haikuti ulaini wa hiyo nyama,ni nyama ambayo wakati wakutengeneza mishkaki yake inahtaji utaalamu mkubwa sana otherwise unaiharibu inapukutika yote.
achana na steki unazoziona kwenye mapaja,Fillet ni zaidi ya steki sema siku hizi wajanja wamekua wengi,hasa sisi watu wa majikoni majikoni watu wananunua steki ya kawaida STEKI KABISA kisha ili kuilainisha bila viungo wanatumia kitchen hammer,nyama inapibwa pigwa mpk inakoma,ikitoka hapo ukiletewa unaweza hisi ni Fillet (kwa wasio na utaalamu wa fillet) ukala ukasema umekula fillet kumbe umelishwa steki ya kawaida tu.
Ni Hotel kubwa tu ndio wanaopika mishkaki ya fillet ambapo stick ya finyango 3 unauziwa 10,000 - 15,000, can you afford my brazaaaaa?!! if YES (go for it) ni tramu sanaaaaaaa...
Ila hapa kwenye Kula kipolo cha ugali na chai asubuhi umeniokota [emoji3][emoji3]Ndiyo maana nimeshangaa, yaani wengine home kulikua kunapikwa nguna mchana na usiku na asubuhi mnanywea chai kiporo aaih nilikua namind kunywa chai na kiporo cha ugali ila mama anasema ukitaka kula usipotaka acha njaa ikukomeshe[emoji3]
Wa kishua? Sina ukishua wowote mkuu tena ungejua hivo viporo vya ugali nimetumia sana tu kama mkate tena na chai ya rangi😛 "hutaki kula kufa"mother huyo anasema"Ila hapa kwenye Kula kipolo cha ugali na chai asubuhi umeniokota [emoji3][emoji3]
Unasound was kishua sn
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
[emoji3][emoji3]Sawa wacha nikubali tuWa kishua? Sina ukishua wowote mkuu tena ungejua hivo viporo vya ugali nimetumia sana tu kama mkate tena na chai ya rangi[emoji14] "hutaki kula kufa"mother huyo anasema"
Kinakuwaje hicho chakulaEgusi ya wanaijeria khaaa
Kumbe mbaya naonaga kuna mtu anapika fire basi napanga niagizie Siku, naahirisha!!!Usisahau ile kitu ya kiarabu inaitwa bokoboko mkuu unaweza kuzimia.
Jaribu mkuu unaweza kuipenda watu tunatofautiana taste Mimi vyakula ambavyo vinapikwa kwa mchanganyiko Kama ule hapana aisee.Kumbe mbaya naonaga kuna mtu anapika fire basi napanga niagizie Siku, naahirisha!!!
Sent from my SM-G955F using JamiiForums mobile app
home mama alikua anakaanga kiporo cha ugali kuongeza ladhaWa kishua? Sina ukishua wowote mkuu tena ungejua hivo viporo vya ugali nimetumia sana tu kama mkate tena na chai ya rangi[emoji14] "hutaki kula kufa"mother huyo anasema"
Anakaqngaje na mafuta mkuu? Duh nyie mlikua wakishua sasa sisi mother alikua anakichemsha kukipasha aarh nilikua nanuna hadi ananambia yaani mwanangu sura yako haifai kununa,unakua kama mchawi😀😀😀home mama alikua anakaanga kiporo cha ugali kuongeza ladha
Bro bila shaka utakua mu adventistMambo vipi wanaJF natumai mko poa. Kwenye misosi kuna kuwa na kile chakula una hamu nacho au tu umekuta sehemu kimepikwa kwasababu hujawahi kula unaamua kula huo msosi kwa mara ya kwanza lakini chakula hicho kina kushinda kabisa hata kukupelekea kujisikia vibaya.
Mimi miaka ya nyuma nilikuwa nasikiaga kuhusu supu ya kongoro siku na mimi nikaamua nijue ikovipi hiyo supu nikaenda sehemu nzuri tu nikaulizia nikaambiwa ipo basi nikaletewa pale nikaanza kuipiga lakini kidogo tu nilikula kama vipande viwili tu vya ile nyama nikajisikia kuchefuchefu vibaya sana hata hiyo nyama kumeza haimezeki nikaacha supu karibia yote pale hadi leo hii sitaki tena kusikia kuhusu hiyo supu
Nyingine hii ilikuwa ni juisi ile ya rozela nilikuta imetengenezwa sehemu nikanywa glasi moja ilikuwa na ladha nzuri tu lakini baada ya hapo nilijisikia vibaya sana kama kizunguzungu mara kama mwili unataka ku vibrate mara jasho linatoka japo kulikuwa na feni yaani ilikuwa ni shida mpaka leo nikiiona hiyo juisi naipitia mbali kabisa. Hata juisi ya miwa ilinishinda kabisa ni bora nile muwa kama muwa
Vipi kwa upande wenu wadau ni kitu gani ulikula lakini baada ya hapo hutaki tena kukila.