Chakula gani ulikula mara moja na kwa mara ya kwanza hadi leo hutaki tena kukila?

Chakula gani ulikula mara moja na kwa mara ya kwanza hadi leo hutaki tena kukila?

Mishkaki ya nundu!!
Jmn mbona mnakula mafuta namna ile
I felt like nakunywa Korie moja kwa moja
Nilishindwa kwa kweli na siwezi rudia
Mi tamu balaa[emoji39][emoji39]
 
Either Anatuektia au kaja Africa ukubwani...

Sisi wa uswahilini tumeanza Kula ugali kipindi ambacho tulikuwa tunanyonya maziwa ya mama Hadi analalamika mtoto ananyonya sn Hadi naskia njaa

Anashauriwa mnyweshe uji mwepesi wa muhogo na ugali laini vinginevyo atakukondesha huyo Kwa kunyosha sn

Sasa mtu mmoja anasema ugali sijui bla bla[emoji1787][emoji1787]

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Ndiyo maana nimeshangaa, yaani wengine home kulikua kunapikwa nguna mchana na usiku na asubuhi mnanywea chai kiporo aaih nilikua namind kunywa chai na kiporo cha ugali ila mama anasema ukitaka kula usipotaka acha njaa ikukomeshe😀
 
Mtu yuko serious kbsa anakutuma buchani ukamnunulie utumbo wa ng'ombe

halafu anakwambia eti "huu nikiunga na nazi,utajilamba nakwambia" yaniiii

huo utumbo hata ukatie humo noti za elf kumi kumi upike siliii ng'o,hata harufu staki iskia...
Ni mtamu sana...[emoji39][emoji39][emoji39]
 
Fillet ya ng'ombe ni sehemu ambayo ipo ndani ya mbavu ni sehemu ndogo sana yenye nyama ndefu kama kamba nyama ambayo wewe kapuku mwenzangu unaweza usiijue na usiweze iona kwasababu fillet hununuliwa kwenye mahotel makubwa na sehemu wanazopika vitu classic kwa wateja ambao pesa si tatizo kwao.

Fillet kilo.1 buchani jirani ninaponunua nyama kila siku inauzwa 15,000 sasa piga hesabu hiyo nyama ikitengenezwa mshkaki huo mshkaki utauziwa sh ngapi wewe ili yule mnunua ile fillet nae arudishe hela yake na apate faida Juu?

Hii ndio picha ya ng'ombe na sehemu zake ambapo fillet inapatikana

View attachment 1576566

Hiyo picha ya kwanza

Picha ya pili inayokuonyesha fillet inapopatikana kwenye ng'ombe

View attachment 1576567

ni kasehemu kadogo sana kanakotoa nyama kama kilo 3-5 kwa ng'ombe alienona kweli kweli,Fillet ukiikuta imeandaliwa imekaa mkao wakutumika muonekano wake ndio kama huu hapa chini

View attachment 1576569

huo mzigo hapo ni laini kiasi kwamba hata steki ya kwenye paja au kidari haikuti ulaini wa hiyo nyama,ni nyama ambayo wakati wakutengeneza mishkaki yake inahtaji utaalamu mkubwa sana otherwise unaiharibu inapukutika yote.

achana na steki unazoziona kwenye mapaja,Fillet ni zaidi ya steki sema siku hizi wajanja wamekua wengi,hasa sisi watu wa majikoni majikoni watu wananunua steki ya kawaida STEKI KABISA kisha ili kuilainisha bila viungo wanatumia kitchen hammer,nyama inapibwa pigwa mpk inakoma,ikitoka hapo ukiletewa unaweza hisi ni Fillet (kwa wasio na utaalamu wa fillet) ukala ukasema umekula fillet kumbe umelishwa steki ya kawaida tu.

Ni Hotel kubwa tu ndio wanaopika mishkaki ya fillet ambapo stick ya finyango 3 unauziwa 10,000 - 15,000, can you afford my brazaaaaa?!! if YES (go for it) ni tramu sanaaaaaaa...
Aisee umenipa somo zuri...nilikuwa najua fillet ni stek ya kawaida tu ambayo haina mfupa
 
Ndiyo maana nimeshangaa, yaani wengine home kulikua kunapikwa nguna mchana na usiku na asubuhi mnanywea chai kiporo aaih nilikua namind kunywa chai na kiporo cha ugali ila mama anasema ukitaka kula usipotaka acha njaa ikukomeshe[emoji3]
Ila hapa kwenye Kula kipolo cha ugali na chai asubuhi umeniokota [emoji3][emoji3]

Unasound was kishua sn

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
 
1618814035672.png
 
Supu ya maboga ptyuuuu nilitaka kurudisha change ugenini na soda ya novida.
 
Mambo vipi wanaJF natumai mko poa. Kwenye misosi kuna kuwa na kile chakula una hamu nacho au tu umekuta sehemu kimepikwa kwasababu hujawahi kula unaamua kula huo msosi kwa mara ya kwanza lakini chakula hicho kina kushinda kabisa hata kukupelekea kujisikia vibaya.

Mimi miaka ya nyuma nilikuwa nasikiaga kuhusu supu ya kongoro siku na mimi nikaamua nijue ikovipi hiyo supu nikaenda sehemu nzuri tu nikaulizia nikaambiwa ipo basi nikaletewa pale nikaanza kuipiga lakini kidogo tu nilikula kama vipande viwili tu vya ile nyama nikajisikia kuchefuchefu vibaya sana hata hiyo nyama kumeza haimezeki nikaacha supu karibia yote pale hadi leo hii sitaki tena kusikia kuhusu hiyo supu

Nyingine hii ilikuwa ni juisi ile ya rozela nilikuta imetengenezwa sehemu nikanywa glasi moja ilikuwa na ladha nzuri tu lakini baada ya hapo nilijisikia vibaya sana kama kizunguzungu mara kama mwili unataka ku vibrate mara jasho linatoka japo kulikuwa na feni yaani ilikuwa ni shida mpaka leo nikiiona hiyo juisi naipitia mbali kabisa. Hata juisi ya miwa ilinishinda kabisa ni bora nile muwa kama muwa

Vipi kwa upande wenu wadau ni kitu gani ulikula lakini baada ya hapo hutaki tena kukila.
Bro bila shaka utakua mu adventist

Wali wa samli ulinishinda...
 
dah,poleni wote ambao mnapata shida kwenye baadhi ya vyakula.
 
Mie nilikula konokono..mwanzoni utamu wake ulikua kama firigisi.Shida ilikuja pale mwenyeji wangu aliponiuliza unajua ulichokula?Doh zile hisia nikikikumbuka natamani kutapika hadi utumbo.
 
Back
Top Bottom