Rumye
Member
- Jul 31, 2014
- 93
- 27
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mm siupendi ugali khaaaa
Hapo kwenye ndizi shost tutaelewana nazipenda yaani kivyovyote nazishusha dah Lakini mimi napenda ugali ukinipa na mlenda tu japo na kipande cha nguru nitaupigaje .ukiongeza mboga ndo navimbiwa hasa samaki!!Napenda ndizi nyama, ndizi kuku, ndizi samaki, wali wa nazi kwa maharage na changu au nguru wa vipande alonona, biriani haswa ya nyama au kuku. Pilau si sanavya ngano napenda bokoboko haswa la kuku, mikate ya maji, ikifuatiwa na buns then mikate ya ufuta.Mayai, catles, eggchops,mtabak,msanif na mapochopocho yote yanopikwa kwa masamaki, manyama na mayai.Napenda vyakula vingi vya sukari hasa vinopikwa kwa maziwa kama pudding, faluda, custard,cheese cake, boga, mumunye, tambi, kaimati, chila, vitumbua nk.Nisije kusahau na ma pizza na ma burger, na ma hot dogs plus sandwich.Yaani mi Bulldog na napenda kula vizuri na navijua vyakula.Usije ukaniletea makande lkn wala dona, siyawezi.Byeee.
Hupendi shombo binamu? Vyakula vya shombo sivipendi kinoma. Unakula ukitaka kumkiss mtu unajiuliza mara mbili.
Hapo kwenye ndizi shost tutaelewana nazipenda yaani kivyovyote nazishusha dah…Lakini mimi napenda ugali ukinipa na mlenda tu japo na kipande cha nguru nitaupigaje….ukiongeza mboga ndo navimbiwa hasa samaki!!
he he he ndio ninao damuni lolWewe msukuma nini?
Mi nipe vyote lakini usininyime kitoweo(kuku(firigisi),nyama(moyo,maini,mafigo,utumbo),samaki,pweza,ingisi,kamba n.k
Napenda ndizi nyama,ndizi samaki/kuku mchemsho/mafuta,ndizi za utumbo/nyama za nazi,muhogo wa nazi na samaki wa kukaanga,Ugali na mboga tofauti kama kachumbari,mboga za majani ka mchicha/kisamvu/spinachi,mchuzi wa nazi wa samaki,mchuzi wa nyama wenye mabamia,ukauzu n.k
Pilau,biriyani,wali wa samaki.
Supu za vitoweo nilivyovitaja juu
Napenda salads na matunda aina tofauti
Vitamtam napenda kashata,keki za aina tofauti na yoghurt ice cream .
Hapo kwenye ndizi shost tutaelewana nazipenda yaani kivyovyote nazishusha dah…Lakini mimi napenda ugali ukinipa na mlenda tu japo na kipande cha nguru nitaupigaje….ukiongeza mboga ndo navimbiwa hasa samaki!!
Ninavyojua mm wanawake tumekatazwa kula ko***dani tu maana nazo zaliwa za mbuzi nimeona sana zikiliwa!Firigisi na maini tunakula wanaume. Utaota Kipara shauri yako
Huyu nguru lazima awe mkavu tena wa kuchoma, au ni nguru wa vipi G? Ushabadili namba ya simu? LoL!
he he he ndio ninao damuni lol
Hapo kwenye ndizi shost tutaelewana nazipenda yaani kivyovyote nazishusha dah Lakini mimi napenda ugali ukinipa na mlenda tu japo na kipande cha nguru nitaupigaje .ukiongeza mboga ndo navimbiwa hasa samaki!!
Ndizi sio nzuri kwa wadada though
Firigisi na maini tunakula wanaume. Utaota Kipara shauri yako