Hornet
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 26,486
- 51,156
Zinaleta matatizo kama Ya wadada kule Kagera
hata sikuelewi.
nadhani ungekuwa wazi na wengine tujifunze.
binafsi ndizi nimekula toka udogoni mpaka Leo nakula kwa wingi tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zinaleta matatizo kama Ya wadada kule Kagera
Mhhhh aiseee sidhani!!Ndizi sio nzuri kwa wadada though
hata sikuelewi.
nadhani ungekuwa wazi na wengine tujifunze.
binafsi ndizi nimekula toka udogoni mpaka Leo nakula kwa wingi tu.
mi nakula tu
Mmenichekesha sana ninyi watuN Haramu Chuma na jiwe tu..Vingine Napeleka tu
Mmenichekesha sana ninyi watu
mi nakula tu
Mi mzima wa afya....upo mdogo wangu?Dada angu mzima wewe?
Mi mzima wa afya....upo mdogo wangu?
Mhhhhhh! Ni aje weye? Ugali kwa samaki wa kukaanga pembeni kuna mchicha wa nazi pilipili kichaa au mbuzi na gudulia la maji...Acha kabisa utaona mlima wa ugali unashuka tu ukimaliza unapiga glass sita zako za maji unajisikia raha mpaka kisogoni lol!
Nipo. Mafuriko yannifanya nishindwe kuingia jf😀😀
Bubu atasemaMhhhhhh! Ni aje weye? Ugali kwa samaki wa kukaanga pembeni kuna mchicha wa nazi pilipili kichaa au mbuzi na gudulia la maji...Acha kabisa utaona mlima wa ugali unashuka tu ukimaliza unapiga glass sita zako za maji unajisikia raha mpaka kisogoni lol!
Umenisababishia njaa.
Mmenichekesha sana ninyi watu
Mm siupendi ugali khaaaa
Nguru au papa wa kuchoma bana na ugali kwa mlenda vitamuje!!