AL SHARPTON
JF-Expert Member
- Feb 6, 2014
- 2,797
- 953
Mlenda umenishinda manake naona ni kama uchafu utokao puani yuckkkk!
Samahani mtakaochukia
Samahani mtakaochukia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo kwenye ndizi shost tutaelewana nazipenda yaani kivyovyote nazishusha dah Lakini mimi napenda ugali ukinipa na mlenda tu japo na kipande cha nguru nitaupigaje .ukiongeza mboga ndo navimbiwa hasa samaki!!
Mlenda umenishinda manake naona ni kama uchafu utokao puani yuckkkk!
Samahani mtakaochukia
apo umenkumbusha anti yangu mmoja ye hutaka utumbondizi, maana na hup utumbo uzidiLkn kusema kweli hasa,
ugali mwenzie mboga za majani. Kama mabamia na mchicha au hata cabbage
la kukaanga. Mchuzi mbwembwe tu. Upate na hio kitu nguru na kakachumbari
kako japo kdg. Lazim usinzie.
Mie ndizi nna asili nazo mpnz.
Si unajua mngazija kwa ndizi na utumbo?
mi siachi asili, shelisheli napenda sana, samaki hasa changu, chapti pilau nyama, matunda napenda ispokua duriani. mkate wa kumimina sipendi na kunde au maharage ya sukari
Jaan la nazi kwa nyama tamuu...tena kuwe na achar pembeniShelisheli la nazi?
Nisivyopenda choroko, mchunga, mwidu, figiri, kambale, kunde, ndizi bukoba, tambi, pizza
Ninavyovipenda sana ugali mlenda kwa samaki wa kukaanga na kachumbali, ugali daga, wali kisamvu cha karanga, wali maharage ya nazi na kachumbali, kitimoto roast, kuku wa kienyeji.
same list except ugali samaki sipendi, ...alafu pizza napenda...Vyakula nipendavyo
1)Chapati kwa maharage
2)wali za kuchanganywa bila kusahau pilau
3)pweza na seafoods wengine ispokua kaa
4)salads napenda Sana
5)kisamvu cha nazi kwa wali na mchuzi chukuchuku wa dagaa
6)muhogo wa kuchemsha na samaki wa kukaanga
7)chapati,maandazi,na vitumbu vya Nyama
8)kuku,nyama ila zaidi samaki
9)ugali samaki na kachumbari
Vyakula nsivyopenda nakula tu kwa njaa
Burger
Pizza
Vyakula vyenye sukari nyingi
Soda
Boga
Tambi
same list except ugali samaki sipendi, ...alafu pizza napenda...
Ugali ukikamilika utakula tu..pizza tamu sana ila sio healthy ule tu siku moja moja