Chakula gani unachokipenda na usichokipenda?

Dona (ugali) chakula cha mwanaume wa shoka ukiweka na maziwa kwa mbaali ivi.
 
Vyakula nipendavyo

1)Chapati kwa maharage

2)wali za kuchanganywa bila kusahau pilau

3)pweza na seafoods wengine ispokua kaa

4)salads napenda Sana

5)kisamvu cha nazi kwa wali na mchuzi chukuchuku wa dagaa

6)muhogo wa kuchemsha na samaki wa kukaanga

7)chapati,maandazi,na vitumbu vya Nyama

8)kuku,nyama ila zaidi samaki

9)ugali samaki na kachumbari

Vyakula nsivyopenda nakula tu kwa njaa

Burger

Pizza

Vyakula vyenye sukari nyingi

Soda

Boga

Tambi
 
Hapo kwenye ndizi shost tutaelewana nazipenda yaani kivyovyote nazishusha dah…Lakini mimi napenda ugali ukinipa na mlenda tu japo na kipande cha nguru nitaupigaje….ukiongeza mboga ndo navimbiwa hasa samaki!!
 
Last edited by a moderator:
Hapo kwenye ndizi shost tutaelewana nazipenda yaani kivyovyote nazishusha dah…Lakini mimi napenda ugali ukinipa na mlenda tu japo na kipande cha nguru nitaupigaje….ukiongeza mboga ndo navimbiwa hasa samaki!!

Wewe msukuma nini?
 
Jamani mimi napenda pilauuu, napenda ugali samaki pia. Ila pilau ndo usisemeeee
 
Reactions: BAK
Mi nipe vyote lakini usininyime kitoweo
  • kuku(firigisi),nyama(moyo,maini,mafigo,utumbo),samaki,pweza,ingisi,kamba n.k

  • Napenda ndizi nyama,
  • ndizi samaki/kuku mchemsho/mafuta,
  • ndizi za utumbo/nyama za nazi,
  • muhogo wa nazi na samaki wa kukaanga,
  • Ugali na mboga tofauti kama kachumbari,mboga za majani ka mchicha/kisamvu/spinachi,mchuzi wa nazi wa samaki,mchuzi wa nyama wenye mabamia,ukauzu n.k
  • Pilau,biriyani,wali wa samaki.

  • Urojo na snacks ka sambusa,kachori,katlesi,bajia,chops,egg chop kebab n.k

  • Supu za vitoweo nilivyovitaja juu

  • Napenda salads na matunda aina tofauti

  • Vitamtam napenda ndizi mbivu za nazi,kashata,keki za aina tofauti na yoghurt ice cream
 

Firigisi na maini tunakula wanaume. Utaota Kipara shauri yako
 
Huyu nguru lazima awe mkavu tena wa kuchoma, au ni nguru wa vipi G? Ushabadili namba ya simu? LoL!

Hapo kwenye ndizi shost tutaelewana nazipenda yaani kivyovyote nazishusha dah…Lakini mimi napenda ugali ukinipa na mlenda tu japo na kipande cha nguru nitaupigaje….ukiongeza mboga ndo navimbiwa hasa samaki!!
 
mie ugali na sato, dagaa, roast, bamia, majani ya kunde, au mboga yoyote iliyoungwa vizuri halafu nashushia na maziwa mtindi ..... huwa najisikia niko heaven! USUKUMA NAO NI KIPAJI BANDUGU 🙂

sipendi samaki wadudu (shrimp, crabs, etc)
 
Reactions: BAK
Hapo kwenye ndizi shost tutaelewana nazipenda yaani kivyovyote nazishusha dah…Lakini mimi napenda ugali ukinipa na mlenda tu japo na kipande cha nguru nitaupigaje….ukiongeza mboga ndo navimbiwa hasa samaki!!

Ndizi sio nzuri kwa wadada though
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…