Napenda kula vitu vingi sana kiasi kwamba nisivyovipenda ni vichache. Hii ni kwa vyakula vya kiafrika zaidi sio vile vya kuja na ndege..
Napenda kula papuchi iliyonona hilo ni moja kati ya addicts zangu, napenda bata,wali,maharage,dagaa,kingfish,sato,kuku,mbuzi katoliki,mayai,nyama za ng'ombe,swala,nyati, napenda keki,vitumbua,casava,viazi vitamu,makaroni,chauchau,mzigo wa kuni,bagia, karanga,ufuta,bisi,mayai,burga,vyakula vya dona,maandazi,chapati za kumanina. Yaani vipo vingi hadi nasahau..
Sipendi ndizi za kichaga,nyanya chungu,sembe na makande