Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
vyakula vingi napenda isipokuwa mlenda, hata nikishikiwa bunduki sili.Vyakula vyote napenda kasoro
1. Choroko
2. Njugumawe
3. Kambale
4. Maziwa
Juzi juzi nilinunua Pringles za jalapeño. Nzuri sana kwa kweli.Jalapeños ni kama pili pili lakini unaweza kuweka
Kwenye sandwiches au kupikia zina harufu
Tamu kweli.
![]()
Napenda sana kula vyakula jamii ya ngano kama;
1. Chapati
2. Maandazi
3. Half cakes
4.Tambi
5.Napenda mboga kama maharage, samaki sato, mchuzi mzito wa kuku
6.Napenda nyama ya kuku
7.Samaki au kitimoto
8.Nyama za aina nyingine si mpenzi nazo sana
9. Napenda sana juice ya mananasi au maembe
10.Napenda matunda kama ndizi, parachichi au papai.
Vyakula nisivyovipenda;
1.Makande
2.Dagaa
3.Maziwa mtindi
4.Mihogo ya kuchemsha
5.Dona
6.Mikate
7.Bamia
8.Matango
9.Pilipili ya aina yeyote
10.Nyanya chungu
Utakua una upungufu wa nguvu za kiume tu wewe, maana haiwezekani mwanaume usipende ugali.... So wewe ni jipu tu sasa maana hakuna namna.Mm siupendi ugali khaaaa
We si ndo uliiba samaki ukala upande mmoja ukaugeuza kuficha?vitu vya ngano vyote napenda... mayai na samaki uwiii
ndiyo mkuu na wewe husahahu ?We si ndo uliiba samaki ukala upande mmoja ukaugeuza kuficha?