Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimewasaidia wadada wasivunge hapa oooh sijui kuku, kumbe waongo tu 🤣🤣🤣🤣Una nn lkn[emoji3][emoji3][emoji119]...
Mimi bia, ndafu ziwepo, pilau.... Ndiz stakiii
Ila Kuna sherehe nilienda ety ndiz zilizokaangwa na nyama ya kuku.... Khee like what? Vyakula vingine km visiting day mashulen [emoji3][emoji3]Nimewasaidia wadada wasivunge hapa oooh sijui kuku, kumbe waongo tu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mwenyewe nimeandika hadi nikatamani yaani.Hii kombo balaa sana, hadi nimepata njaa ghafla
Ni cheap...matikiti manne yanalisha ukumbi mzima😅hivi kwanini tikitimaji kila sherehe lazima litawekwa tu kwenye moja ya matunda?
wengine huwa wanayaweka palee kwenye bufee ili lipendezeshe bufee
hii nzuriNi cheap...matikiti manne yanalisha ukumbi mzima😅
Bei chee.hivi kwanini tikitimaji kila sherehe lazima litawekwa tu kwenye moja ya matunda?
wengine huwa wanayaweka palee kwenye bufee ili lipendezeshe bufee
Maziwa.Wana maakuli kwema?
Moja kwa moja kwenye mada, mazee kila mtu ana msosi anaopenda ambao akiukuta kwenye sherehe mambo yanakuwa byee. Nikianza na mimi, bwana sherehe bila pilau nyama na kachumbari naona kama siku kawaida, ukolezo hapo kwenye pilau nyama, sio pilau kuku au mboga nyingine yoyote!
Nisipokutana na huu msosi kwenye sherehe naona kama wamekosea siku😅😅😅... halafu utamu unaongezeka zaidi ukiliwa wengi kwenye sinia, acha kabisa mpaka mate yameanza kujaa mdomoni😂😂.
Kwenye wazee wa maakuli, chakula gani usipokikuta kwenye sherehe unaona mambo hayajakaa sawa na sherehe haijakamilika?
Matilio?Ngoja nichukue matilio hapa
Ushaambiwa "Pilau nyama rangi urembo tu"Wana maakuli kwema?
Moja kwa moja kwenye mada, mazee kila mtu ana msosi anaopenda ambao akiukuta kwenye sherehe mambo yanakuwa byee. Nikianza na mimi, bwana sherehe bila pilau nyama na kachumbari naona kama siku kawaida, ukolezo hapo kwenye pilau nyama, sio pilau kuku au mboga nyingine yoyote!
Nisipokutana na huu msosi kwenye sherehe naona kama wamekosea siku😅😅😅... halafu utamu unaongezeka zaidi ukiliwa wengi kwenye sinia, acha kabisa mpaka mate yameanza kujaa mdomoni😂😂.
Kwenye wazee wa maakuli, chakula gani usipokikuta kwenye sherehe unaona mambo hayajakaa sawa na sherehe haijakamilika?
Umetisha Mkuu🤣🤣Mimi nisipokiona chakula cha kubeba kwenye mfuko.basi hapo sherehe sijaifurahia kabisa😁😁😁😁
Umeona eeeh, sherehe bil kufinyanga pilau hainogi kabisaIla Kuna sherehe nilienda ety ndiz zilizokaangwa na nyama ya kuku.... Khee like what? Vyakula vingine km visiting day mashulen [emoji3][emoji3]
Nataka pilau lililokolea viungo na masotojo Mimi Mr misosii[emoji3]
Afu wadada mko na mikoba kuekea Savana [emoji3],
Afu kwelihivi kwanini tikitimaji kila sherehe lazima litawekwa tu kwenye moja ya matunda?
wengine huwa wanayaweka palee kwenye bufee ili lipendezeshe bufee