Chakula gani usipokikuta kwenye sherehe unaona sherehe haijakamilika?

Una nn lkn[emoji3][emoji3][emoji119]...

Mimi bia, ndafu ziwepo, pilau.... Ndiz stakiii
Nimewasaidia wadada wasivunge hapa oooh sijui kuku, kumbe waongo tu ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
 
Nimewasaidia wadada wasivunge hapa oooh sijui kuku, kumbe waongo tu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ila Kuna sherehe nilienda ety ndiz zilizokaangwa na nyama ya kuku.... Khee like what? Vyakula vingine km visiting day mashulen [emoji3][emoji3]

Nataka pilau lililokolea viungo na masotojo Mimi Mr misosii[emoji3]

Afu wadada mko na mikoba kuekea Savana [emoji3],
 
hivi kwanini tikitimaji kila sherehe lazima litawekwa tu kwenye moja ya matunda?
wengine huwa wanayaweka palee kwenye bufee ili lipendezeshe bufee
 
Maziwa.
 
Ushaambiwa "Pilau nyama rangi urembo tu"
 
Mimi nisipokiona chakula cha kubeba kwenye mfuko.basi hapo sherehe sijaifurahia kabisa๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜
Umetisha Mkuu๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
 
Umeona eeeh, sherehe bil kufinyanga pilau hainogi kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ