Chakula hiki nimekipata kwa elfu 3000 tu

Chakula hiki nimekipata kwa elfu 3000 tu

dr namugari

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2022
Posts
10,466
Reaction score
18,206
Leo nimepta msosi wangu pendwa kbsa wa mix ya mayai na maharage
Nikachamganya na maparachichi kwa kweli leo siku imekwenda vzr siyo kaama juzi niliishia kunywa energy drink

Nimeambiwa nijiandae kukabiliana na Hali itayo nipata.

IMG_20240422_171620.jpg
 
Leo nimepta msosi wangu pendwa kbsa wa mix ya mayai na maharage
Nikachamganya na maparachichi kwa kweli leo siku imekwenda vzr siyo kaama juzi niliishia kunywa energy drink

Nimeambiwa nijiandae kukabiliana na Hali itayo nipata.

Broh mbona kama hiyo image ni screenshot from TikTok?
 
Leo nimepta msosi wangu pendwa kbsa wa mix ya mayai na maharage
Nikachamganya na maparachichi kwa kweli leo siku imekwenda vzr siyo kaama juzi niliishia kunywa energy drink

Nimeambiwa nijiandae kukabiliana na Hali itayo nipata.

🙄
Hapa ukishavimbiwa ni mwendo wa kucheza na stop engine mpaka raia wa kutunza mazingira watengue kauli
 
Leo nimepta msosi wangu pendwa kbsa wa mix ya mayai na maharage
Nikachamganya na maparachichi kwa kweli leo siku imekwenda vzr siyo kaama juzi niliishia kunywa energy drink

Nimeambiwa nijiandae kukabiliana na Hali itayo nipata.

Watu wakae mbali na wewe Vladimir Putin. Kinachofata hapo ni milipuko tu
 
Next time shushia na bakuli la uji mwepesi mno uliolala, usiwe wa moto. Inaimarisha utumbo na kuiandaa njia ya kutolewa hewa chafu isichubuke.
 
Back
Top Bottom