Chakula hiki nimekipata kwa elfu 3000 tu

Chakula hiki nimekipata kwa elfu 3000 tu

Leo nimepta msosi wangu pendwa kbsa wa mix ya mayai na maharage
Nikachamganya na maparachichi kwa kweli leo siku imekwenda vzr siyo kaama juzi niliishia kunywa energy drink

Nimeambiwa nijiandae kukabiliana na Hali itayo nipata.

Umetia aibu na picha ya tiktok ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Mora moja si mbaya kufanya ugunduzi wa aina ya kula
 
Leo nimepta msosi wangu pendwa kbsa wa mix ya mayai na maharage
Nikachamganya na maparachichi kwa kweli leo siku imekwenda vzr siyo kaama juzi niliishia kunywa energy drink

Nimeambiwa nijiandae kukabiliana na Hali itayo nipata.
Asante sana dr namugari , mimi pia ni mpenda kula misosi tofauti tofauti!. Uliwahi kula vyakula gani kutoka sehemu mbalimbali Duniani ukafaidi?
The food looks good, tasty!, ukila utafaudu!. Na ili kuzuia ma bomu ya nyuklia, ukimaliza kula, shishia na glass ya red wine, itakata gesi, hivyo kutakuwa na usalama!.

P
 
Ile business idea ungetuwekea tu hapa kuliko kuuza isije ikawa hiki chakula nacho ni business idea maana nacho kinazalisha mabomu
 
Leo nimepta msosi wangu pendwa kbsa wa mix ya mayai na maharage
Nikachamganya na maparachichi kwa kweli leo siku imekwenda vzr siyo kaama juzi niliishia kunywa energy drink

Nimeambiwa nijiandae kukabiliana na Hali itayo nipata.

Kuna mwenzio nae alisema amekula the same food April 11 na yupo Uganda
 

Attachments

  • Screenshot_20240423-070339.png
    Screenshot_20240423-070339.png
    1.1 MB · Views: 5
Ile business idea ungetuwekea tu hapa kuliko kuuza isije ikawa hiki chakula nacho ni business idea maana nacho kinazalisha mabomu
Mbna kuna. Mtu Yuko serious kaja kanunua na kalipa cash na amelipenda wazao na Yuko mbioni kukitekeleza
 
Ukute umekaa Siti moja na abiria mwenzio aliyekula huo mseto wa Chakula mbona unaweza kutamani ushukie njiani ๐Ÿ™Œ

Kuna vyakula vingine vinafaa ule ukiwa una ratiba ya kulala mwenyewe, sio kuja kumtesa mtoto wa watu ๐Ÿ˜…
 
Back
Top Bottom