Chakula kilikuwa kizuri lakini mazingira ya wale watoto wake sikuyapenda

Chakula kilikuwa kizuri lakini mazingira ya wale watoto wake sikuyapenda

Mohammed wa 5

JF-Expert Member
Joined
Jun 20, 2022
Posts
1,215
Reaction score
3,035
Twende kazi

Maisha ya ubachelor ni kazi Sana nakumbuka since way back kabla sijaoa..Kuna sehemu nilikuwa napata msosi mchana Mara chache nikiwa Niko free. Yule dada aliokuwa anamiliki mgawaha alikuwa mpishi mzuri Sana in short alikuwa anatengeneza msosi mtamu, kwa sisi wapenda kula alitukamata

Mazingira ya watoto wake pale kwenye mgahawa sikuyapenda.. Yule dada kwa mtazamo ni single mothers ana watoto watatu wakwanza ni kiumbe Kama miaka 10 na wapili alikuwa wa kike ana miaka 8 na wa mwisho miaka 4 Kama sikusoe wale watoto wote walikuwa wanasoma wakitoka shuleni wanakuja kushinda na mama yao mpaka muda wa kutunga mgahawa jioni

Wamiliki wa mgahawa au wapishi tunaomba muache watoto nyumbani sio mnakujanao mpaka sehemu ya biashara.
Unakuta mteja umeandaliwa msosi wako mzuri tu unakula Ila watoto wale wanakupiga jicho mwanzo mwisho unavyokula Hadi unamaliza na sisi wengine wenye roho ndogo ilikuwa inatukosesha Raha San.

Kuna muda ukiacha chakula au soda umeenda kunawa nje ukirudi unakuta soda au msosi ulioacha wanamalizia.ile kitu ilinikata stimu nikaacha kwenda kula pale Yani nikabadirisha mgahawa.
 
Ndege wafananao huruka pamoja. Kwakuwa ulikuwa unakula huko ungekubaliana na hali ya huko. Kama uliona nongwa basi ungekuwa unawanunulia hao watoto chakula na soda ndipo na wewe uagize.

Acha kusema watoto kisa chakula.
 
Unge endelea kwenda lakini ukiwa una enda kunawa una enda na soda yako
976138.jpg
 
Ndege wafananao huruka pamoja. Kwakuwa ulikuwa unakula huko ungekubaliana na hali ya huko. Kama uliona nongwa basi ungekuwa unawanunulia hao watoto chakula na soda ndipo na wewe uagize.

Acha kusema watoto kisa chakula.
Sijawasema mkuu Ila hawakuwa na ustarabu
 
Twende kazi

Maisha ya ubachelor ni kazi Sana nakumbuka since way back kabla sijaoa..Kuna sehemu nilikuwa napata msosi mchana Mara chache nikiwa Niko free. Yule dada aliokuwa anamiliki mgawaha alikuwa mpishi mzuri Sana in short alikuwa anatengeneza msosi mtamu, kwa sisi wapenda kula alitukamata

Mazingira ya watoto wake pale kwenye mgahawa sikuyapenda.. Yule dada kwa mtazamo ni single mothers ana watoto watatu wakwanza ni kiumbe Kama miaka 10 na wapili alikuwa wa kike ana miaka 8 na wa mwisho miaka 4 Kama sikusoe wale watoto wote walikuwa wanasoma wakitoka shuleni wanakuja kushinda na mama yao mpaka muda wa kutunga mgahawa jioni

Wamiliki wa mgahawa au wapishi tunaomba muache watoto nyumbani sio mnakujanao mpaka sehemu ya biashara.
Unakuta mteja umeandaliwa msosi wako mzuri tu unakula Ila watoto wale wanakupiga jicho mwanzo mwisho unavyokula Hadi unamaliza na sisi wengine wenye roho ndogo ilikuwa inatukosesha Raha San.

Kuna muda ukiacha chakula au soda umeenda kunawa nje ukirudi unakuta soda au msosi ulioacha wanamalizia.ile kitu ilinikata stimu nikaacha kwenda kula pale Yani nikabadirisha mgahawa.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Una roho ndogo kweli,maana ungekuwa na roho kubwa ungewalipia na wao wale,mama angeshtuka kuna kitu hakiki sawa kwa wanaye.
 
Kama nakuona mtoa mada unavyozuga bize na simu [emoji3]
FB_IMG_1684780137828.jpg
 
kwani wewe una nyota ngapi za uchoyo mkuu, wananunulie na wao unaponunua, baraka nyingine mnajikosesha wenyewe..[emoji41][emoji41]
 
Back
Top Bottom