Tufanye familia ya mke na mume tuUnaishi kulingana na kipato chako mkuu! Kuna watu wanafamilia na wanaishi kwa 3000 kwa siku! Na maisha yanasonga! Hatuwezi kufanana
Nangojea jibu piaTufanye familia ya mke na mume tu
Mchanganuo wa hiyo 3000 unakuaje kuanzia asubuhi hadi usiku?
ohooMaisha yanazidi kuwa magumu ukiwa na familia ya watoto wawili ukitaka kula nyama uwe na sio chini ya elfu 30.
Nyama kilo 10000
Michele kilo 2, 6000
Mkaa 5000
Nyanya, vitunguu, carrot, mafuta 5000
Chai asubuhi 5000.
Hapo hujaweka tunda lolote.
Vijana mjipange kabla ya kuamua kuanzisha familia
πππTufanye familia ya mke na mume tu
Mchanganuo wa hiyo 3000 unakuaje kuanzia asubuhi hadi usiku?
Hutaki au?ohoo
Mkuu mbona hiyo nyingi, mi naishi kwa 700 tuπ€Tufanye familia ya mke na mume tu
Mchanganuo wa hiyo 3000 unakuaje kuanzia asubuhi hadi usiku?
sijabisha ππHutaki au?
We mrusi wa mchongo tuliaππ€£Hutaki au?
Kwamba familia ya watoto wawili (watu 4) mnakula kilo mbili?Maisha yanazidi kuwa magumu ukiwa na familia ya watoto wawili ukitaka kula nyama uwe na sio chini ya elfu 30.
Nyama kilo 10000
Michele kilo 2, 6000
Mkaa 5000
Nyanya, vitunguu, carrot, mafuta 5000
Chai asubuhi 5000.
Hapo hujaweka tunda lolote.
Vijana mjipange kabla ya kuamua kuanzisha familia
Hiyo elfu 3 mimi ndio vitafunwa vya breakfast kwa kujibaaana kama siku hiyo watoto hawajaenda shule.sijabisha ππ