Pain killer
JF-Expert Member
- Aug 15, 2017
- 14,361
- 21,680
Hio tikiti ya Mia tano usiku unaenda kulala na mwanamke,Si bao moja chaliii maana nguvu Hakuna[emoji23][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] hizo egg chop labda nipike mwenyewe za kununua nehinehi
mihogo ya jero inanitosha 500
mchana ndizi 3 na mshika 1 2000
jioni tikitiki la 500
Unafanya kazi kwa mchina 6000-day...! Unapiga mahesabu ya chakula tu..Maisha yanazidi kuwa magumu ukiwa na familia ya watoto wawili ukitaka kula nyama uwe na sio chini ya elfu 30.
Nyama kilo 10000
Michele kilo 2, 6000
Mkaa 5000
Nyanya, vitunguu, carrot, mafuta 5000
Chai asubuhi 5000.
Hapo hujaweka tunda lolote.
Vijana mjipange kabla ya kuamua kuanzisha familia
Kuna nini Tanga,We pimbi kweli🤣😀😂, twende tanga 😀🤒
🙄🙄🙄🙄Hio tikiti ya Mia tano usiku unaenda kulala na mwanamke,Si bao moja chaliii maana nguvu Hakuna[emoji23]
Tanga Gharama ni nafuu, nime kaa pale kwa muda Kama wiki 2.Tanga 30000 ni kubwa sana
Mchele super ni 3000 kilo ambayo wa 4 wanakula
mafuta robo 900
Viungo vyote 5000
Mboga hio nyama 7000(optional)
Mkaa wa 2 000 unapika siku mbili
matunda ndizi za 1000
nazan ukiwa na 15000 inatosha
nivizur kununua vitu kwa jumla sio kila siku gharama zinakua kubwa
Kaoe huko😂🤒Kuna nini Tanga,
Hata mwanza samaki ni bei rahisi mf. Mara ukiitisha maini unapewa steki robo,na maini robo hadi raha jamaniUnaishi mkoa gani?
Kwa Mbeya hiyo ni pesa kubwa sana.
Mkate wa buku asubuhi, mchana matembele ya buku, usiku maharage ya buku kwa mama muuza siku imeisha hio. Hapo provided vyakula vipo ni mboga tuTufanye familia ya mke na mume tu
Mchanganuo wa hiyo 3000 unakuaje kuanzia asubuhi hadi usiku?
Wajinga hawatakuelewaMaisha yanazidi kuwa magumu ukiwa na familia ya watoto wawili ukitaka kula nyama uwe na sio chini ya elfu 30.
Nyama kilo 10000
Michele kilo 2, 6000
Mkaa 5000
Nyanya, vitunguu, carrot, mafuta 5000
Chai asubuhi 5000.
Hapo hujaweka tunda lolote.
Vijana mjipange kabla ya kuamua kuanzisha familia
Unapangaje wakati kula ni lazima?Maisha ni kupanga tu vile unataka yawe
Naona familia nzima unaitafutia ugonjwa wa sukari kwa udi na uvumba.Mkuu vitafunwa vinakula pesa. Mimi nilicjukua option ya kubake mikate, na mandaz so ni kila baada ya siku 3.
Maana nna familia ya watu wazima watatu na watoto watatu.
Mke anakua anadanga kisirisiri(kwa wanajamii),huku jamaa anayejiita mume,anakua anajua.Tufanye familia ya mke na mume tu
Mchanganuo wa hiyo 3000 unakuaje kuanzia asubuhi hadi usiku?
Mara ya kwanza nafika Tanga nilishanga sana vyakula bei chin sana even kwa mama ntilieTanga Gharama ni nafuu, nime kaa pale kwa muda Kama wiki 2.
👉 Amazing mno🤒
Kwa maeneo ya Mbezi beach na Mbweni hizo ndizo bei zaowali wa matandu ndio ni mtamu lakini mkaa 5000 jamaa anapigwa walah
Dadeki,mwanaume unataka ukute nyama,wali wa kilo mbili na mazagazaga mengine,kwa 10k,no wonder hapo familia ikawa mseto.Mnajilisha upepo tuu....30k unajikaba mwenyewe. Mpe wife 10k na chenji utaikuta pamoja na vyote ulivyovitaja.
hujasemaaaAnapigwa sana.
Hapo kwa 2kg kwa watu wanne ndo nimechoka.
Mchana na usiku hapo kwa watoto wanaopeleka vizuri ikibaki basi ni kidogo sanaWatu wawili
nyama kilo?mchele kg 2!!!