Chalamila aanza kwa kishindo! Atumia usafiri wa bajaj

Chalamila aanza kwa kishindo! Atumia usafiri wa bajaj

Suzy Elias

JF-Expert Member
Joined
Nov 9, 2021
Posts
1,067
Reaction score
6,200
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam bwana Chalamila ameanza kazi kwa kasi ya ajabu huku akitumia usafiri wa Bajaj kuwafikia Wananchi ili kusikiliza kero zao.

Mapema leo jioni bwana Chalamila ameonekana maeneo ya Mwenge akizungumza na wafanyabiashara ndogo ndogo kutaka kufahamu changamoto zao.

Akiwa ndani ya Bajaj, RC Chalamila alielekea Kawe Kilipo kituo cha kurusha matangazo CLOUDS.
1684330584868.png
 
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam bwana Chalamila ameanza kazi kwa kasi ya ajabu huku akitumia usafiri wa Bajaj kuwafikia Wananchi ili kusikiliza kero zao.

Mapema leo jioni bwana Chalamila ameonekana maeneo ya Mwenge akizungumza na wafanyabiashara ndogo ndogo kutaka kufahamu changamoto zao.

Akiwa ndani ya Bajaj, RC Chalamila alielekea Kawe Kilipo kituo cha kurusha matangazo CLOUDS.
Picha
 
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam bwana Chalamila ameanza kazi kwa kasi ya ajabu huku akitumia usafiri wa Bajaj kuwafikia Wananchi ili kusikiliza kero zao.

Mapema leo jioni bwana Chalamila ameonekana maeneo ya Mwenge akizungumza na wafanyabiashara ndogo ndogo kutaka kufahamu changamoto zao.

Akiwa ndani ya Bajaj, RC Chalamila alielekea Kawe Kilipo kituo cha kurusha matangazo CLOUDS.
Picha ipo wapi tuone hiyo bar jaji

USSR

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam bwana Chalamila ameanza kazi kwa kasi ya ajabu huku akitumia usafiri wa Bajaj kuwafikia Wananchi ili kusikiliza kero zao.

Mapema leo jioni bwana Chalamila ameonekana maeneo ya Mwenge akizungumza na wafanyabiashara ndogo ndogo kutaka kufahamu changamoto zao.

Akiwa ndani ya Bajaj, RC Chalamila alielekea Kawe Kilipo kituo cha kurusha matangazo CLOUDS.View attachment 2624495
[emoji38][emoji38][emoji38]

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
 
Achape Kazi Dar Es Salaam Ndiyo Tanzania Pia Ajue Akifanya Mchezo Anapoteza Tumbua




Adam Malima Kazi Anayo Morogoro Pagumu Kuliko Dar Hasa Akikumbuka Kuporwa Mjegeje SMG, Ndiyo Maana Kuna Serikali Long Time Ikaweka Vikosi Hatari Vya JW Mzinga, Ngerengere, Komando
Morogoro ukianza kazi tu uongozi wa wafugaji Wamasai wanakuja ofisini kujitambulisha wakiwa na Zawadi ya mguu wa Ng'ombe uliochomwa vizuri kimasai na bahasha ya kaki A4 ndani ina mzigo, sasa kazi ni kwako utatetea wakulima au wafugaji?
 
Back
Top Bottom