YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,902
- 52,001
Anasikiliza Kero zao unafikiri yuko kama Godless Lema anayetukana tu wenye .biashara za pikipiki za bodaboda kuwa ni laanaAnatafuta Kiki kwa pikipiki.
Uchawa, unafiki na kujipendekeza.
Chalamila anapanda awasikilize Kero zao akiwa kwenye bodabdoa na aone kwa macho changamoto wanazokutana nazo barabarani live kwa macho atatue
Nyie Chadema endeleeni kupanda chopa hizo helicopter mumekodi na kutembea na maprado yenu huku mukiendelea kutukana bodaboda kuwa kazi ya laana Mwacheni Chalamila ahangaike na hao mnawaita wamelaaniwa kwani hata waliolaaniwa ni watu wanastahili kuishi na kupata riziki