Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 15,954
- 35,415
Dar es salaam ndio wanapenda viongozi wanaotrend insta kama hao, full matamko.
Anavoipenda gambe hao NEMC wajitafakari
Anavoipenda gambe hao NEMC wajitafakari
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haijalishi ni ya nani bali tambua usafiri wowote wa kawaida ikitokea kiongozi anatakiwa autumie ima ni wa mtu aliye ndani ya mfumo asiyetambuliwa na wanaomzunguka ama unamilikiwa na Taasisi ya Serikali.Hiyo Bajaj ni mali ya Ilala boma?
Kichaa kapewa rungu.. Disco limeingia mmasai na simeMkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam bwana Chalamila ameanza kazi kwa kasi ya ajabu huku akitumia usafiri wa Bajaj kuwafikia Wananchi ili kusikiliza kero zao.
Mapema leo jioni bwana Chalamila ameonekana maeneo ya Mwenge akizungumza na wafanyabiashara ndogo ndogo kutaka kufahamu changamoto zao.
Akiwa ndani ya Bajaj, RC Chalamila alielekea Kawe Kilipo kituo cha kurusha matangazo CLOUDS.View attachment 2624495
Kwani akisema tu "Hakyanane naipenda kazi" si inatosha?Achape kazi!Anaanzaje kazi bila kuapishwa
Maarufuku kama Machinga kutoka Mtwarawafanyabiashara ndogo ndogo
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hakika upele umepata mkunaaji. Huyo jamaa kwa kupenda tu misifa, mtampenda.
[emoji848][emoji848]Jamaa uteuzi ulimkuta Dar.. Huyu jamaa atakuwa afisa kipenyo
Nalijua hiloMara nyingi Taxi, Bajaj na Pikipiki ukiona anapanda Kiongozi huwa ni za PT Idara ya I.
🤣🤣Hakika upele umepata mkunaaji. Huyo jamaa kwa kupenda tu misifa, mtampenda.
Huyu 'Ninja Turtle' ana vituko.Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam bwana Chalamila ameanza kazi kwa kasi ya ajabu huku akitumia usafiri wa Bajaj kuwafikia Wananchi ili kusikiliza kero zao.
Mapema leo jioni bwana Chalamila ameonekana maeneo ya Mwenge akizungumza na wafanyabiashara ndogo ndogo kutaka kufahamu changamoto zao.
Akiwa ndani ya Bajaj, RC Chalamila alielekea Kawe Kilipo kituo cha kurusha matangazo CLOUDS.View attachment 2624495
Unalijua hilo wewe kama nani?Nalijua hilo