Chalamila aanza kwa kishindo! Atumia usafiri wa bajaj

Chalamila aanza kwa kishindo! Atumia usafiri wa bajaj

Hiyo Bajaj ni mali ya Ilala boma?
Haijalishi ni ya nani bali tambua usafiri wowote wa kawaida ikitokea kiongozi anatakiwa autumie ima ni wa mtu aliye ndani ya mfumo asiyetambuliwa na wanaomzunguka ama unamilikiwa na Taasisi ya Serikali.

Chukua hii 👇:

Mara nyingi Taxi, Bajaj na Pikipiki ukiona anapanda Kiongozi huwa ni za PT Idara ya I.
 
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam bwana Chalamila ameanza kazi kwa kasi ya ajabu huku akitumia usafiri wa Bajaj kuwafikia Wananchi ili kusikiliza kero zao.

Mapema leo jioni bwana Chalamila ameonekana maeneo ya Mwenge akizungumza na wafanyabiashara ndogo ndogo kutaka kufahamu changamoto zao.

Akiwa ndani ya Bajaj, RC Chalamila alielekea Kawe Kilipo kituo cha kurusha matangazo CLOUDS.View attachment 2624495
Kichaa kapewa rungu.. Disco limeingia mmasai na sime
 
Haya maigizo na sarakasi hatutaki kabisa.

Hawa akina Chalamila na CCM ni waigizaji na opportunists.
Ndio mfumo wetu wa utawala ulivyo; hao ndio level yetu ya watawala ambao huitwa "waheshimiwa".
Hawa ndio zao la Katiba mbovu ya sasa yenye mapungufu makubwa na yenye kuligharimu Taifa kila siku.

Yatosha maigizo na ulaji.

Sasa tunataka Katiba Mpya! Tunataka utawala bora, uwajibikaji, maendeleo na uhuru .
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
IMG-20230516-WA0155.jpg


Sent from my DRA-LX5 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam bwana Chalamila ameanza kazi kwa kasi ya ajabu huku akitumia usafiri wa Bajaj kuwafikia Wananchi ili kusikiliza kero zao.

Mapema leo jioni bwana Chalamila ameonekana maeneo ya Mwenge akizungumza na wafanyabiashara ndogo ndogo kutaka kufahamu changamoto zao.

Akiwa ndani ya Bajaj, RC Chalamila alielekea Kawe Kilipo kituo cha kurusha matangazo CLOUDS.View attachment 2624495
Huyu 'Ninja Turtle' ana vituko.
 
Back
Top Bottom