Mkunazi Njiwa
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 8,538
- 7,559
Mkuu una "mbango" [emoji1787][emoji1787]Sound as police state!,means yeye yupo above traffic laws!,Tanzania nchi ya vituko sana, kesho RC akitoa tamko la kuvaa helmet akiwa ignored ajue yeye ndiye aliyeanza kunajisi sheria
Anatafuta Kiki kwa pikipiki.Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam bwana Chalamila ameanza kazi kwa kasi ya ajabu huku akitumia usafiri wa Bajaj kuwafikia Wananchi ili kusikiliza kero zao.
Mapema leo jioni bwana Chalamila ameonekana maeneo ya Mwenge akizungumza na wafanyabiashara ndogo ndogo kutaka kufahamu changamoto zao.
Akiwa ndani ya Bajaj, RC Chalamila alielekea Kawe Kilipo kituo cha kurusha matangazo CLOUDS.View attachment 2624495
Mpiga ramli Likahanga.....Muda si mrefu yatamshinda. Labda kama anaendana na bwana yule na akubali kulinda maslahi ya bwana yule.
Hivi kumbe wwe kutoka Kanda ilee! Sasa Bajaji na helmet wapi na wapi!? Au chuki zako tu kwa Chalamila zinakusumbua!?Sound as police state!,means yeye yupo above traffic laws!,Tanzania nchi ya vituko sana, kesho RC akitoa tamko la kuvaa helmet akiwa ignored ajue yeye ndiye aliyeanza kunajisi sheria
Sheria gani kavunja!!??Je umeelewa ulichojibu? Kwa hiyo kwa wadhifa wake anaruhusiwa kuvunja sheria?
umesahau pangawe, chita, sanga sanga ,Achape Kazi Dar Es Salaam Ndiyo Tanzania Pia Ajue Akifanya Mchezo Anapoteza Tumbua
Adam Malima Kazi Anayo Morogoro Pagumu Kuliko Dar Hasa Akikumbuka Kuporwa Mjegeje SMG, Ndiyo Maana Kuna Serikali Long Time Ikaweka Vikosi Hatari Vya JW Mzinga, Ngerengere, Komando
Samahani naomba kuuliza, hivi wakuu wa mikoa wana nguvu sana kuliko hizi Mamlaka? Na kama ni ndio ni sahihi kweli?Daslam ndo wanapenda viongozi wanaotrend insta kama hao, full matamko.
Anavoipenda gambe hao nemc wajitafakari
Waziri mkuu wa Uingereza na RC nani mwenye ulinzi mkali? Sunak alipigwa faini kwa kutokuvaa mkanda.Huyo ndiyo Mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama Mkoa wa DSM,hapo full ulinzi,usiwe na shaka Kijana!!
Atakata pumzi soonMkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam bwana Chalamila ameanza kazi kwa kasi ya ajabu huku akitumia usafiri wa Bajaj kuwafikia Wananchi ili kusikiliza kero zao.
Maigizo hayaishiMkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam bwana Chalamila ameanza kazi kwa kasi ya ajabu huku akitumia usafiri wa Bajaj kuwafikia Wananchi ili kusikiliza kero zao.
Mapema leo jioni bwana Chalamila ameonekana maeneo ya Mwenge akizungumza na wafanyabiashara ndogo ndogo kutaka kufahamu changamoto zao.
Akiwa ndani ya Bajaj, RC Chalamila alielekea Kawe Kilipo kituo cha kurusha matangazo CLOUDS.View attachment 2624495
Hivi wwe kumbe unavalishwa helmet hadi kwenye Bajaji!? Helemet ni kwenye Bodaboda na si Bajaji! Kwa hiyo Chalamila yuko right!!Waziri mkuu wa Uingereza na RC nani mwenye ulinzi mkali? Sunak alipigwa faini kwa kutokuvaa mkanda.
Upo sahihi, Mwalimu. Nadhani Moderators wanaelemewa na kazi, tuwaombee wawe na nguvu ya kuimudu kazi vilivyo.Wewe acha tu, siku hizi naona hata aibu kuingia JM! Jamvi letu pendwa limekuwa kama kokoro, linazoa tu!
Natama i afanye kolabo na kikundi cha MIZENGWE .Hivi wwe kumbe unavalishwa helmet hadi kwenye Bajaji!? Helemet ni kwenye Bodaboda na si Bajaji! Kwa hiyo Chalamila yuko right!!
Kazi ya utumishi wa umma anaimudu sio hao wazee wenu wa kiswahiliHakika upele umepata mkunaaji. Huyo jamaa kwa kupenda tu misifa, mtampenda.
Tuna danganyika na vitu vidogo sanaMkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam bwana Chalamila ameanza kazi kwa kasi ya ajabu huku akitumia usafiri wa Bajaj kuwafikia Wananchi ili kusikiliza kero zao.
Mapema leo jioni bwana Chalamila ameonekana maeneo ya Mwenge akizungumza na wafanyabiashara ndogo ndogo kutaka kufahamu changamoto zao.
Akiwa ndani ya Bajaj, RC Chalamila alielekea Kawe Kilipo kituo cha kurusha matangazo CLOUDS.
View attachment 2625319
Duh! Aisee! Kweli moro kutamu! Ila kugumu!Morogoro ukianza kazi tu uongozi wa wafugaji Wamasai wanakuja ofisini kujitambulisha wakiwa na Zawadi ya mguu wa Ng'ombe uliochomwa vizuri kimasai na bahasha ya kaki A4 ndani ina mzigo, sasa kazi ni kwako utatetea wakulima au wafugaji?
Ndo unajua Leo?Jamaa uteuzi ulimkuta Dar.. Huyu jamaa atakuwa afisa kipenyo