Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watanzania wote tuseme "hatuwezi kuwa ngazi au punda kwa viongozi wa chadema wenye ubinafsi wa kutengeneza njia zao za vipato kupitia sisi punda"Chalamila kuwa makini sana na kujiingiza kwenye mambo marefu kuliko wewe. Kwenye hili la maamndanano kaa pembeni hizi sio zama za Magufuli.
Hizi ni zama za uwekezaji, watalii, majirani kutumia bandari , michezo ya kimataifa Tanzania. Wenzako wanakuacha kama chambo ili yakiaribika wakufukuze wewe mwenyewe bila kuleta lawama zozote kwa wengine.
Chadema kisheria wapo sawa, maandamano ni ya amani usije kufikiri Mama Samia hajali picha yake na kujali watu wanamsemaje kama kiongozi.
Polisi na wanajeshi wakileta fujo inaweza kuleta sifa mbaya na kupunguza watalii na tatizo halitakuwa Chadema litakuwa wewe.
Hivyo ni bora sana Polisi walinde amani Chadema wafanye maandanano yao kwa hayo maasaa matano kuliko kuleta matatizo ya kujitakia na wenzako sheria iko upande wao.
Kisheria mkuu wa mkoa hauhusiki kwenye lolote hapa.
Watanzania wana akili timamu nani akaandamane Majeshi yakifanya usafi ?watangulie watoto wa lema na mke wake,watoto wa mbowe na mke wake ,watoto wa lisu na mke wake ,kisha wote mbowe ,lisu,mnyika,mrema wawe msitari wa mbele sisi tutafuata HAKUNA BOYA.Wanapiga kelele halafu wanakaa nyuma wa keyboard ⌨️⌨️⌨️Chalamila kuwa makini sana na kujiingiza kwenye mambo marefu kuliko wewe. Kwenye hili la maamndanano kaa pembeni hizi sio zama za Magufuli.
Hizi ni zama za uwekezaji, watalii, majirani kutumia bandari , michezo ya kimataifa Tanzania. Wenzako wanakuacha kama chambo ili yakiaribika wakufukuze wewe mwenyewe bila kuleta lawama zozote kwa wengine.
Chadema kisheria wapo sawa, maandamano ni ya amani usije kufikiri Mama Samia hajali picha yake na kujali watu wanamsemaje kama kiongozi.
Polisi na wanajeshi wakileta fujo inaweza kuleta sifa mbaya na kupunguza watalii na tatizo halitakuwa Chadema litakuwa wewe.
Hivyo ni bora sana Polisi walinde amani Chadema wafanye maandanano yao kwa hayo maasaa matano kuliko kuleta matatizo ya kujitakia na wenzako sheria iko upande wao.
Kisheria mkuu wa mkoa hauhusiki kwenye lolote hapa.
Chadema hawakurupuki chief!Umesema maandamano ya Chadema yako kisheria, je kamanda wa polisi hapo Dar ana taarifa ya hayo maandamano.?
Katibu Mkuu JJ Mnyika ameshawapa wahusika wote taarifa kwa maandishi wanachopaswa kufanya ni kutoa ulinzi kwa waandamanaji.Nani anapaswa kupeleka hy taarifa kwa kamanda, na je amefanya hvy.?
Maccm wote hamna akiliWatanzania wana akili timamu nani akaandamane Majeshi yakifanya usafi ?watangulie watoto wa lema na mke wake,watoto wa mbowe na mke wake ,watoto wa lisu na mke wake ,kisha wote mbowe ,lisu,mnyika,mrema wawe msitari wa mbele sisi tutafuata HAKUNA BOYA.Wanapiga kelele halafu wanakaa nyuma wa keyboard ⌨️⌨️⌨️
Wewe una akili kaandamane akili zitakusaidia,mimi ntaendelea na ujenzi wa taifa ,ila wote tutapata matokeo.Maccm wote hamna akili
Watanzania wana akili timamu nani akaandamane Majeshi yakifanya usafi ?watangulie watoto wa lema na mke wake,watoto wa mbowe na mke wake ,watoto wa lisu na mke wake ,kisha wote mbowe ,lisu,mnyika,mrema wawe msitari wa mbele sisi tutafuata HAKUNA BOYA.Wanapiga kelele halafu wanakaa nyuma wa keyboard ⌨️⌨️⌨️
Ndiyo unamtisha? Kwani ulikuwepo kumshauri Rais wakati anamteua? Ageni kabisa nyumbani mnavyoenda kuandamana
Heeeh... Leo wamekukuta mwajuma ndala ndefu... Waaambie dada....Chalamila kaza apo apo wanapowashwa washwa 😀 wameanza kuona majotrooo na kihoro mapemaaaaa.....
wasionewe huruma, wasionewe haya, wawajibishwe vilivyo mithili ya mbwa koko mwizi, jambazi, mporahi au mapanyarodi...
nashauri waje na katiba kabisa....
vinginevyo nawatakia shughuli njema ya usafi majeshi yetu ya ulinzi na usalama, yatakayopata fursa ya kufanya usafi maendeo mbalimbali jijini dar es salaam....
kwa usafi tunaweza kuzuia na kuepuka kipindupindu dar....