Pre GE2025 Chalamila acha mapepe, watu wakiumizwa utafukuzwa wewe kuwa makini

Pre GE2025 Chalamila acha mapepe, watu wakiumizwa utafukuzwa wewe kuwa makini

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ulevi wa kupindukia ni kitu hatari sana
Ndio maana unapigwa marufuku!
Ila pia huyu mtu hekima na busara kichwani mh!
 
Chalamila kuwa makini sana na kujiingiza kwenye mambo marefu kuliko wewe. Kwenye hili la maamndanano kaa pembeni hizi sio zama za Magufuli.

Hizi ni zama za uwekezaji, watalii, majirani kutumia bandari , michezo ya kimataifa Tanzania. Wenzako wanakuacha kama chambo ili yakiaribika wakufukuze wewe mwenyewe bila kuleta lawama zozote kwa wengine.

Chadema kisheria wapo sawa, maandamano ni ya amani usije kufikiri Mama Samia hajali picha yake na kujali watu wanamsemaje kama kiongozi.

Polisi na wanajeshi wakileta fujo inaweza kuleta sifa mbaya na kupunguza watalii na tatizo halitakuwa Chadema litakuwa wewe.

Hivyo ni bora sana Polisi walinde amani Chadema wafanye maandanano yao kwa hayo maasaa matano kuliko kuleta matatizo ya kujitakia na wenzako sheria iko upande wao.

Kisheria mkuu wa mkoa hauhusiki kwenye lolote hapa.
Watanzania wote tuseme "hatuwezi kuwa ngazi au punda kwa viongozi wa chadema wenye ubinafsi wa kutengeneza njia zao za vipato kupitia sisi punda"
""TUMECHOKA KUSWAGWA KAMA NGOMBE KWA MASLAHI YA WATU WASIOZIDI 6 WANAOTAKA KUTUSWAGA KWA MASLAHI YAO ""
 
"VIPO BAADHI YA VIFUNGU NDANI YA KATIBA YETU SIO RAFIKI KWA SIASA ZA AFRIKA, HASA KUTOKANA LOW I. Q, YA WATU WAKE, VIFUNGU HIVYO HUWEZA KULIGEUZA TAIFA LIKAWA LA AJABU NA HOVYO KABISA, MWENDAZAKE ALILIWEZA HILI, HASA VIFUNGU VYA MAANDAMANO YA KIPUUZI PUUZI, KWANZA TUKUMBUKE AFRIKA INAKABILIWA NA UMASIKINI MKUBWA SANA NA MARA NYINGI UMASIKINI NA NJAA HUONDOA AKILI NA WAKATI MWINGINE USTAARABU, WATU KUFANYA MAMBO YA HOVYO KISA KUKATA TAMAA YA MAISHA, HIVYO NAPENDEKEZA KIFUNGU KINACHORUHUSU MAANDAMANO KIANGALIWE UPYA AIDHA KIFUTWE, NA SEREKALI IJIBIDISHE KATIKA KUTENGENEZA MAZINGIRA BORA KWA MTANZANIA WA CHINI, WENZETU ULAYA WAKIANDAMANA HUWA SI SABABU YA NJAA, BALI KWA MAMBO YENYE UZITO WA KINA HUKU AKILI ZIKIWA ZIMETULIA,WAKIWA NA VIPATO VYA KUTOSHA, HUKU WAMESHIBA.
 
Chalamila kuwa makini sana na kujiingiza kwenye mambo marefu kuliko wewe. Kwenye hili la maamndanano kaa pembeni hizi sio zama za Magufuli.

Hizi ni zama za uwekezaji, watalii, majirani kutumia bandari , michezo ya kimataifa Tanzania. Wenzako wanakuacha kama chambo ili yakiaribika wakufukuze wewe mwenyewe bila kuleta lawama zozote kwa wengine.

Chadema kisheria wapo sawa, maandamano ni ya amani usije kufikiri Mama Samia hajali picha yake na kujali watu wanamsemaje kama kiongozi.

Polisi na wanajeshi wakileta fujo inaweza kuleta sifa mbaya na kupunguza watalii na tatizo halitakuwa Chadema litakuwa wewe.

Hivyo ni bora sana Polisi walinde amani Chadema wafanye maandanano yao kwa hayo maasaa matano kuliko kuleta matatizo ya kujitakia na wenzako sheria iko upande wao.

Kisheria mkuu wa mkoa hauhusiki kwenye lolote hapa.
Watanzania wana akili timamu nani akaandamane Majeshi yakifanya usafi ?watangulie watoto wa lema na mke wake,watoto wa mbowe na mke wake ,watoto wa lisu na mke wake ,kisha wote mbowe ,lisu,mnyika,mrema wawe msitari wa mbele sisi tutafuata HAKUNA BOYA.Wanapiga kelele halafu wanakaa nyuma wa keyboard ⌨️⌨️⌨️
 
  • Nzuri
Reactions: Tui
Watanzania wana akili timamu nani akaandamane Majeshi yakifanya usafi ?watangulie watoto wa lema na mke wake,watoto wa mbowe na mke wake ,watoto wa lisu na mke wake ,kisha wote mbowe ,lisu,mnyika,mrema wawe msitari wa mbele sisi tutafuata HAKUNA BOYA.Wanapiga kelele halafu wanakaa nyuma wa keyboard ⌨️⌨️⌨️
Maccm wote hamna akili
 

Attachments

  • JamiiForums1389173211.jpeg
    JamiiForums1389173211.jpeg
    24.6 KB · Views: 3
Watanzania wana akili timamu nani akaandamane Majeshi yakifanya usafi ?watangulie watoto wa lema na mke wake,watoto wa mbowe na mke wake ,watoto wa lisu na mke wake ,kisha wote mbowe ,lisu,mnyika,mrema wawe msitari wa mbele sisi tutafuata HAKUNA BOYA.Wanapiga kelele halafu wanakaa nyuma wa keyboard ⌨️⌨️⌨️

Wewe kalisha matako yako nyumbani acha watu wakatafute katiba ya kusaidia hii nchi mufilisi.
 
Ndiyo unamtisha? Kwani ulikuwepo kumshauri Rais wakati anamteua? Ageni kabisa nyumbani mnavyoenda kuandamana

Watu wamepona risasi wewe unaogopa maandamano ya amani ambayo yapo Kisheria!! Au Maandamano hayapo kisheria? Na kama yapo ni wakati gani maandamano yanaruhusiwa!
 
Chalamila kaza apo apo wanapowashwa washwa 😀 wameanza kuona majotrooo na kihoro mapemaaaaa.....

wasionewe huruma, wasionewe haya, wawajibishwe vilivyo mithili ya mbwa koko mwizi, jambazi, mporahi au mapanyarodi...
nashauri waje na katiba kabisa....

vinginevyo nawatakia shughuli njema ya usafi majeshi yetu ya ulinzi na usalama, yatakayopata fursa ya kufanya usafi maendeo mbalimbali jijini dar es salaam....

kwa usafi tunaweza kuzuia na kuepuka kipindupindu dar....
Heeeh... Leo wamekukuta mwajuma ndala ndefu... Waaambie dada....
 
Back
Top Bottom