LGE2024 Chalamila aliagiza Jeshi La Polisi kuwashughulikia wananchi watakaopinga matokeo ya Uchaguzi ujao wa Serikali Za Mitaa

LGE2024 Chalamila aliagiza Jeshi La Polisi kuwashughulikia wananchi watakaopinga matokeo ya Uchaguzi ujao wa Serikali Za Mitaa

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam, Albert Chalamila siku ya leo akiwa kwenye mkutano na baadhi ya maaskari, ameliomba Jeshi La Polisi kuisaidia serikali kipindi cha uchaguzi wa serikali za mitaa.

Chalamila amesema kuwa analiomba Jeshi La Polisi kushugulika na watu wote watakaopinga matokeo ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa na kuongeza kuwa uwepo wa sera ya 4R ya Rais Samia haimaanishi kuwa maji ya washawasha na mabomu ya machozi havitatumika

Soma pia: RC Chalamila: Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Utafanyika katika Mitaa yote 564 ya Dar kwa Uhuru na Haki

"Tunakumbushana kuwa Taifa letu sasa Tarehe 27 mwezi wa 11 na hapa hatuombi vyombo vya dola vikasaidie kubadilishe matokeo hapana. Tunaomba vyombo vya dola viwe imara zaidi ili matokeo yatakapotangazwa ili kwa mtu ambaye hatakubali na ni kweli amefeli basi ashughulikiwe kwa mujibu wa taratibu"

Aliongeza kwa kusema:

"Unataka mabadiliko kuna muda lazima ka mkono ka nguvu kanahitajika. Kwa hiyo hizi 4R za Mheshimiwa Rais ambazo zinatajwa watu wasitafsiri kama bunduki haipo, bomu halipo, maji ya washawasha hayapo. Huwezi kujitenga namna hiyo"

Una maoni kuhusu kauli hii ya mkuu wa mkoa? Binafsi naona imekaa kimtego?

 
Wanasiasa wa chama dola kongwe CCM wanazidi kulichanganya jeshi la polisi Chalamila angaongea lake, na mheshimiwa waziri mkuu juzi kaongea lake

Juzi toka Maktaba:

06 September 2024​

SEMINA ELEKEZI KWA VIONGOZI WAANDAMIZI WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI 2024​


View: https://m.youtube.com/watch?v=jsMEnkMCoc4

WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amewataka maafisa waandamizi wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Tanzania na viongozi wa vyombo vya usalama wa Wizara hiyo kutekeleza kwa vitendo na kuiishi falsafa ya R NNE (4R) ya Rais Dk. Samia S. Hassan ili kufikia malengo yaliyokusudiwa.
1728308028689.png


Amesema hayo leo Septemba 06, 2024 wakati alipofungua Semina elekezi kwa viongozi waandamizi wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi iliyofanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa Hoteli ya Weruweru River Lodge, mkoani Kilimanjaro, Tanzania.

Amesema kuwa ni muhimu kuifahamu vyema falsafa hiyo ya Rais Dkt. Samia Hassan na kuitekeleza kwa vitendo. “Nina imani kubwa kwamba uongozi wa juu wa Wizara umeielewa vizuri falsafa hiyo, na semina hii elekezi ni ushahidi tosha wa kuitekeleza kwa vitendo”.


“Falsafa hii inajikita katika masuala ya Maridhiano (Reconciliation), Ustahamilivu (Resilience), Mageuzi (Reforms), na Kujenga upya Taifa (Rebuilding).

Hivyo, nitoe wito kwa washiriki ambao ni Maafisa Waandamizi wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama chini ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi pamoja na Menejimenti ya Wizara na Taasisi zake kuendelea kushiriki na kuishi kikamilifu falsafa hii,”amesema.
1728308084085.png


Ameongeza kuwa semina elekezi hiyo ni sehemu muhimu kwa maendeleo ya kitaaluma na kitaasisi kwa maafisa waandamizi wa vyombo vya usalama, na husaidia katika kuhakikisha wanatekeleza majukumu yao kwa ufanisi na kwa kufuata viwango vya kitaaluma na kisheria.

“Semina elekezi hutoa fursa kwa maafisa waandamizi kujifunza mbinu na taratibu mpya katika utendaji wa majukumu yao. Hii inajumuisha teknolojia mpya, mbinu bora za ulinzi na usalama, na mbinu za kisasa za kupambana na uhalifu,”.

Kwa Upande wake Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, engineer Hamad Masauni amemshukuru Rais Dk. Samia Hassan juu ya nia yake ya dhati kwa kufanya maboresho ya Wizara hiyo na vyombo vyake ikiwemo Jeshi la Polisi, Magereza, Uhamiaji na Zimamoto pamoja na Taasisi ya NIDA.
1000628878-1024x535.jpg

“Maboresho haya yanahusisha upandishaji vyeo wa kihistoria wa Maafisa, Wakaguzi na Askari wapatao 50,971 pia kuongeza Bajeti ya Miradi ya Maendeleo kutoka mwaka 2021/22 hadi 2024/25 ni Shilingi 262.2 ambayo ni sawa na asilimia 954.59 ya ongezeko la Bajeti ya Miradi ya Maendeleo,”amesema.

Amesema kuwa Ongezeko hilo la bajeti limesaidia kwa kiasi kikubwa kupatikana kwa vitendea kazi ikiwemo magari, mitambo, boti, vifaa vya TEHAMA na kadhalika

PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Waziri Kassim Majaliwa: Polisi msizuie Wananchi wanaokuja na mabango kwenye mikutano yangu
 
Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam, Albert Chalamila siku ya leo akiwa kwenye mkutano na baadhi ya maaskari, ameliomba Jeshi La Polisi kuisaidia serikali kipindi cha uchaguzi wa serikali za mitaa.

Chalamila amesema kuwa analiomba Jeshi La Polisi kushugulika na watu wote watakaopinga matokeo ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa na kuongeza kuwa uwepo wa sera ya 4R ya Rais Samia haimaanishi kuwa maji ya washawasha na mabomu ya machozi havitatumika

Soma pia: RC Chalamila: Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Utafanyika katika Mitaa yote 564 ya Dar kwa Uhuru na Haki

"Tunakumbushana kuwa Taifa letu sasa Tarehe 27 mwezi wa 11 na hapa hatuombi vyombo vya dola vikasaidie kubadilishe matokeo hapana. Tunaomba vyombo vya dola viwe imara zaidi ili matokeo yatakapotangazwa ili kwa mtu ambaye hatakubali na ni kweli amefeli basi ashughulikiwe kwa mujibu wa taratibu"

Aliongeza kwa kusema:

"Unataka mabadiliko kuna muda lazima ka mkono ka nguvu kanahitajika. Kwa hiyo hizi 4R za Mheshimiwa Rais ambazo zinatajwa watu wasitafsiri kama bunduki haipo, bomu halipo, maji ya washawasha hayapo. Huwezi kujitenga namna hiyo"

Una maoni kuhusu kauli hii ya mkuu wa mkoa? Binafsi naona imekaa kimtego?

Zezeta katika ubora wake,
Anazijua sheria huyu?
 
Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam, Albert Chalamila siku ya leo akiwa kwenye mkutano na baadhi ya maaskari, ameliomba Jeshi La Polisi kuisaidia serikali kipindi cha uchaguzi wa serikali za mitaa.

Chalamila amesema kuwa analiomba Jeshi La Polisi kushugulika na watu wote watakaopinga matokeo ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa na kuongeza kuwa uwepo wa sera ya 4R ya Rais Samia haimaanishi kuwa maji ya washawasha na mabomu ya machozi havitatumika

Soma pia: RC Chalamila: Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Utafanyika katika Mitaa yote 564 ya Dar kwa Uhuru na Haki

"Tunakumbushana kuwa Taifa letu sasa Tarehe 27 mwezi wa 11 na hapa hatuombi vyombo vya dola vikasaidie kubadilishe matokeo hapana. Tunaomba vyombo vya dola viwe imara zaidi ili matokeo yatakapotangazwa ili kwa mtu ambaye hatakubali na ni kweli amefeli basi ashughulikiwe kwa mujibu wa taratibu"

Aliongeza kwa kusema:

"Unataka mabadiliko kuna muda lazima ka mkono ka nguvu kanahitajika. Kwa hiyo hizi 4R za Mheshimiwa Rais ambazo zinatajwa watu wasitafsiri kama bunduki haipo, bomu halipo, maji ya washawasha hayapo. Huwezi kujitenga namna hiyo"

Una maoni kuhusu kauli hii ya mkuu wa mkoa? Binafsi naona imekaa kimtego?

"Kila mmoja wenu ni mchungaji, na kila mmoja wenu ataulizwa kuhusu wale aliowachunga."
(Sahih al-Bukhari, Kitabu cha Adabu)

Hii inafundisha kuwa uongozi ni jukumu kubwa na unahitaji hekima, kwa sababu kiongozi ana wajibu wa kuwaongoza watu wake kwa uadilifu na kwa huruma. Uongozi usio wa hekima unaweza kusababisha madhara kwa wale wanaoongozwa. Kiongozi anapaswa kuwa mwenye subira, busara, na kuhakikisha kuwa anawatendea watu kwa haki na heshima ili kuepusha kuleta madhara kwao.
 
Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam, Albert Chalamila siku ya leo akiwa kwenye mkutano na baadhi ya maaskari, ameliomba Jeshi La Polisi kuisaidia serikali kipindi cha uchaguzi wa serikali za mitaa.

Chalamila amesema kuwa analiomba Jeshi La Polisi kushugulika na watu wote watakaopinga matokeo ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa na kuongeza kuwa uwepo wa sera ya 4R ya Rais Samia haimaanishi kuwa maji ya washawasha na mabomu ya machozi havitatumika

Soma pia: RC Chalamila: Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Utafanyika katika Mitaa yote 564 ya Dar kwa Uhuru na Haki

"Tunakumbushana kuwa Taifa letu sasa Tarehe 27 mwezi wa 11 na hapa hatuombi vyombo vya dola vikasaidie kubadilishe matokeo hapana. Tunaomba vyombo vya dola viwe imara zaidi ili matokeo yatakapotangazwa ili kwa mtu ambaye hatakubali na ni kweli amefeli basi ashughulikiwe kwa mujibu wa taratibu"

Aliongeza kwa kusema:

"Unataka mabadiliko kuna muda lazima ka mkono ka nguvu kanahitajika. Kwa hiyo hizi 4R za Mheshimiwa Rais ambazo zinatajwa watu wasitafsiri kama bunduki haipo, bomu halipo, maji ya washawasha hayapo. Huwezi kujitenga namna hiyo"

Una maoni kuhusu kauli hii ya mkuu wa mkoa? Binafsi naona imekaa kimtego?

Huyu RC Mpumbavu kuwahi kutokea ana akili za kishamba kama Makonda.
 
Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam, Albert Chalamila siku ya leo akiwa kwenye mkutano na baadhi ya maaskari, ameliomba Jeshi La Polisi kuisaidia serikali kipindi cha uchaguzi wa serikali za mitaa.

Chalamila amesema kuwa analiomba Jeshi La Polisi kushugulika na watu wote watakaopinga matokeo ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa na kuongeza kuwa uwepo wa sera ya 4R ya Rais Samia haimaanishi kuwa maji ya washawasha na mabomu ya machozi havitatumika

Soma pia: RC Chalamila: Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Utafanyika katika Mitaa yote 564 ya Dar kwa Uhuru na Haki

"Tunakumbushana kuwa Taifa letu sasa Tarehe 27 mwezi wa 11 na hapa hatuombi vyombo vya dola vikasaidie kubadilishe matokeo hapana. Tunaomba vyombo vya dola viwe imara zaidi ili matokeo yatakapotangazwa ili kwa mtu ambaye hatakubali na ni kweli amefeli basi ashughulikiwe kwa mujibu wa taratibu"

Aliongeza kwa kusema:

"Unataka mabadiliko kuna muda lazima ka mkono ka nguvu kanahitajika. Kwa hiyo hizi 4R za Mheshimiwa Rais ambazo zinatajwa watu wasitafsiri kama bunduki haipo, bomu halipo, maji ya washawasha hayapo. Huwezi kujitenga namna hiyo"

Una maoni kuhusu kauli hii ya mkuu wa mkoa? Binafsi naona imekaa kimtego?

Hivi ana akili inayofanya kazi sawa sawa?
 
Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam, Albert Chalamila siku ya leo akiwa kwenye mkutano na baadhi ya maaskari, ameliomba Jeshi La Polisi kuisaidia serikali kipindi cha uchaguzi wa serikali za mitaa.

Chalamila amesema kuwa analiomba Jeshi La Polisi kushugulika na watu wote watakaopinga matokeo ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa na kuongeza kuwa uwepo wa sera ya 4R ya Rais Samia haimaanishi kuwa maji ya washawasha na mabomu ya machozi havitatumika

Soma pia: RC Chalamila: Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Utafanyika katika Mitaa yote 564 ya Dar kwa Uhuru na Haki

"Tunakumbushana kuwa Taifa letu sasa Tarehe 27 mwezi wa 11 na hapa hatuombi vyombo vya dola vikasaidie kubadilishe matokeo hapana. Tunaomba vyombo vya dola viwe imara zaidi ili matokeo yatakapotangazwa ili kwa mtu ambaye hatakubali na ni kweli amefeli basi ashughulikiwe kwa mujibu wa taratibu"

Aliongeza kwa kusema:

"Unataka mabadiliko kuna muda lazima ka mkono ka nguvu kanahitajika. Kwa hiyo hizi 4R za Mheshimiwa Rais ambazo zinatajwa watu wasitafsiri kama bunduki haipo, bomu halipo, maji ya washawasha hayapo. Huwezi kujitenga namna hiyo"

Una maoni kuhusu kauli hii ya mkuu wa mkoa? Binafsi naona imekaa kimtego?

Hakuna lugha anayoweza kutumia kurekebisha upuuzi aliousema hapo.

Yeye ni mteuliwa anapaswa kufuata katiba na sheria zinazochechemiza haki za binadamu.

Hivi anajua mshahara wake unatokana na nini?

Mungu atashughulika naye very soon
 
Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam, Albert Chalamila siku ya leo akiwa kwenye mkutano na baadhi ya maaskari, ameliomba Jeshi La Polisi kuisaidia serikali kipindi cha uchaguzi wa serikali za mitaa.

Chalamila amesema kuwa analiomba Jeshi La Polisi kushugulika na watu wote watakaopinga matokeo ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa na kuongeza kuwa uwepo wa sera ya 4R ya Rais Samia haimaanishi kuwa maji ya washawasha na mabomu ya machozi havitatumika

Soma pia: RC Chalamila: Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Utafanyika katika Mitaa yote 564 ya Dar kwa Uhuru na Haki

"Tunakumbushana kuwa Taifa letu sasa Tarehe 27 mwezi wa 11 na hapa hatuombi vyombo vya dola vikasaidie kubadilishe matokeo hapana. Tunaomba vyombo vya dola viwe imara zaidi ili matokeo yatakapotangazwa ili kwa mtu ambaye hatakubali na ni kweli amefeli basi ashughulikiwe kwa mujibu wa taratibu"

Aliongeza kwa kusema:

"Unataka mabadiliko kuna muda lazima ka mkono ka nguvu kanahitajika. Kwa hiyo hizi 4R za Mheshimiwa Rais ambazo zinatajwa watu wasitafsiri kama bunduki haipo, bomu halipo, maji ya washawasha hayapo. Huwezi kujitenga namna hiyo"

Una maoni kuhusu kauli hii ya mkuu wa mkoa? Binafsi naona imekaa kimtego?

Anyway, tuna vipimo tofauti vya sifa za uongozi.
 
Back
Top Bottom