LGE2024 Chalamila aliagiza Jeshi La Polisi kuwashughulikia wananchi watakaopinga matokeo ya Uchaguzi ujao wa Serikali Za Mitaa

LGE2024 Chalamila aliagiza Jeshi La Polisi kuwashughulikia wananchi watakaopinga matokeo ya Uchaguzi ujao wa Serikali Za Mitaa

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam, Albert Chalamila siku ya leo akiwa kwenye mkutano na baadhi ya maaskari, ameliomba Jeshi La Polisi kuisaidia serikali kipindi cha uchaguzi wa serikali za mitaa.

Chalamila amesema kuwa analiomba Jeshi La Polisi kushugulika na watu wote watakaopinga matokeo ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa na kuongeza kuwa uwepo wa sera ya 4R ya Rais Samia haimaanishi kuwa maji ya washawasha na mabomu ya machozi havitatumika

Soma pia: RC Chalamila: Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Utafanyika katika Mitaa yote 564 ya Dar kwa Uhuru na Haki

"Tunakumbushana kuwa Taifa letu sasa Tarehe 27 mwezi wa 11 na hapa hatuombi vyombo vya dola vikasaidie kubadilishe matokeo hapana. Tunaomba vyombo vya dola viwe imara zaidi ili matokeo yatakapotangazwa ili kwa mtu ambaye hatakubali na ni kweli amefeli basi ashughulikiwe kwa mujibu wa taratibu"

Aliongeza kwa kusema:

"Unataka mabadiliko kuna muda lazima ka mkono ka nguvu kanahitajika. Kwa hiyo hizi 4R za Mheshimiwa Rais ambazo zinatajwa watu wasitafsiri kama bunduki haipo, bomu halipo, maji ya washawasha hayapo. Huwezi kujitenga namna hiyo"

Una maoni kuhusu kauli hii ya mkuu wa mkoa? Binafsi naona imekaa kimtego?

Polisi ni chombo cha Dola Wana mpaka zao za Uongozi, sio kila mtu awape maelekezo, DC na RC hawapo kwenye taratibu zao zaidi ya Waziri wa Mambo ya Ndani kumpa Taarifa IGP kama kuna mapungufu kwenye kituo kimojawapo cha Polisi. Rejea kauli ya Mzee Warioba hivi karibuni
 
Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam, Albert Chalamila siku ya leo akiwa kwenye mkutano na baadhi ya maaskari, ameliomba Jeshi La Polisi kuisaidia serikali kipindi cha uchaguzi wa serikali za mitaa.

Chalamila amesema kuwa analiomba Jeshi La Polisi kushugulika na watu wote watakaopinga matokeo ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa na kuongeza kuwa uwepo wa sera ya 4R ya Rais Samia haimaanishi kuwa maji ya washawasha na mabomu ya machozi havitatumika

Soma pia: RC Chalamila: Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Utafanyika katika Mitaa yote 564 ya Dar kwa Uhuru na Haki

"Tunakumbushana kuwa Taifa letu sasa Tarehe 27 mwezi wa 11 na hapa hatuombi vyombo vya dola vikasaidie kubadilishe matokeo hapana. Tunaomba vyombo vya dola viwe imara zaidi ili matokeo yatakapotangazwa ili kwa mtu ambaye hatakubali na ni kweli amefeli basi ashughulikiwe kwa mujibu wa taratibu"

Aliongeza kwa kusema:

"Unataka mabadiliko kuna muda lazima ka mkono ka nguvu kanahitajika. Kwa hiyo hizi 4R za Mheshimiwa Rais ambazo zinatajwa watu wasitafsiri kama bunduki haipo, bomu halipo, maji ya washawasha hayapo. Huwezi kujitenga namna hiyo"

Una maoni kuhusu kauli hii ya mkuu wa mkoa? Binafsi naona imekaa kimtego?

This is too much! Dharau kubwa sana Kwa wananchi!! Aaaaaghrrrrr!!!!!!
 
Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam, Albert Chalamila siku ya leo akiwa kwenye mkutano na baadhi ya maaskari, ameliomba Jeshi La Polisi kuisaidia serikali kipindi cha uchaguzi wa serikali za mitaa.

Chalamila amesema kuwa analiomba Jeshi La Polisi kushugulika na watu wote watakaopinga matokeo ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa na kuongeza kuwa uwepo wa sera ya 4R ya Rais Samia haimaanishi kuwa maji ya washawasha na mabomu ya machozi havitatumika

Soma pia: RC Chalamila: Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Utafanyika katika Mitaa yote 564 ya Dar kwa Uhuru na Haki

"Tunakumbushana kuwa Taifa letu sasa Tarehe 27 mwezi wa 11 na hapa hatuombi vyombo vya dola vikasaidie kubadilishe matokeo hapana. Tunaomba vyombo vya dola viwe imara zaidi ili matokeo yatakapotangazwa ili kwa mtu ambaye hatakubali na ni kweli amefeli basi ashughulikiwe kwa mujibu wa taratibu"

Aliongeza kwa kusema:

"Unataka mabadiliko kuna muda lazima ka mkono ka nguvu kanahitajika. Kwa hiyo hizi 4R za Mheshimiwa Rais ambazo zinatajwa watu wasitafsiri kama bunduki haipo, bomu halipo, maji ya washawasha hayapo. Huwezi kujitenga namna hiyo"

Una maoni kuhusu kauli hii ya mkuu wa mkoa? Binafsi naona imekaa kimtego?

Wanasiasa wa chama dola kongwe CCM wanazidi kulichanganya jeshi la polisi Chalamila angaongea lake, na mheshimiwa waziri mkuu juzi kaongea lake

Juzi toka Maktaba:

06 September 2024​

SEMINA ELEKEZI KWA VIONGOZI WAANDAMIZI WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI 2024​


View: https://m.youtube.com/watch?v=jsMEnkMCoc4

WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amewataka maafisa waandamizi wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Tanzania na viongozi wa vyombo vya usalama wa Wizara hiyo kutekeleza kwa vitendo na kuiishi falsafa ya R NNE (4R) ya Rais Dk. Samia S. Hassan ili kufikia malengo yaliyokusudiwa.
View attachment 3117955

Amesema hayo leo Septemba 06, 2024 wakati alipofungua Semina elekezi kwa viongozi waandamizi wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi iliyofanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa Hoteli ya Weruweru River Lodge, mkoani Kilimanjaro, Tanzania.

Amesema kuwa ni muhimu kuifahamu vyema falsafa hiyo ya Rais Dkt. Samia Hassan na kuitekeleza kwa vitendo. “Nina imani kubwa kwamba uongozi wa juu wa Wizara umeielewa vizuri falsafa hiyo, na semina hii elekezi ni ushahidi tosha wa kuitekeleza kwa vitendo”.


“Falsafa hii inajikita katika masuala ya Maridhiano (Reconciliation), Ustahamilivu (Resilience), Mageuzi (Reforms), na Kujenga upya Taifa (Rebuilding).

Hivyo, nitoe wito kwa washiriki ambao ni Maafisa Waandamizi wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama chini ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi pamoja na Menejimenti ya Wizara na Taasisi zake kuendelea kushiriki na kuishi kikamilifu falsafa hii,”amesema.
View attachment 3117956

Ameongeza kuwa semina elekezi hiyo ni sehemu muhimu kwa maendeleo ya kitaaluma na kitaasisi kwa maafisa waandamizi wa vyombo vya usalama, na husaidia katika kuhakikisha wanatekeleza majukumu yao kwa ufanisi na kwa kufuata viwango vya kitaaluma na kisheria.

“Semina elekezi hutoa fursa kwa maafisa waandamizi kujifunza mbinu na taratibu mpya katika utendaji wa majukumu yao. Hii inajumuisha teknolojia mpya, mbinu bora za ulinzi na usalama, na mbinu za kisasa za kupambana na uhalifu,”.

Kwa Upande wake Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, engineer Hamad Masauni amemshukuru Rais Dk. Samia Hassan juu ya nia yake ya dhati kwa kufanya maboresho ya Wizara hiyo na vyombo vyake ikiwemo Jeshi la Polisi, Magereza, Uhamiaji na Zimamoto pamoja na Taasisi ya NIDA.
1000628878-1024x535.jpg

“Maboresho haya yanahusisha upandishaji vyeo wa kihistoria wa Maafisa, Wakaguzi na Askari wapatao 50,971 pia kuongeza Bajeti ya Miradi ya Maendeleo kutoka mwaka 2021/22 hadi 2024/25 ni Shilingi 262.2 ambayo ni sawa na asilimia 954.59 ya ongezeko la Bajeti ya Miradi ya Maendeleo,”amesema.

Amesema kuwa Ongezeko hilo la bajeti limesaidia kwa kiasi kikubwa kupatikana kwa vitendea kazi ikiwemo magari, mitambo, boti, vifaa vya TEHAMA na kadhalika

PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Waziri Kassim Majaliwa: Polisi msizuie Wananchi wanaokuja na mabango kwenye mikutano yangu

Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam, Albert Chalamila siku ya leo akiwa kwenye mkutano na baadhi ya maaskari, ameliomba Jeshi La Polisi kuisaidia serikali kipindi cha uchaguzi wa serikali za mitaa.

Chalamila amesema kuwa analiomba Jeshi La Polisi kushugulika na watu wote watakaopinga matokeo ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa na kuongeza kuwa uwepo wa sera ya 4R ya Rais Samia haimaanishi kuwa maji ya washawasha na mabomu ya machozi havitatumika

Soma pia: RC Chalamila: Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Utafanyika katika Mitaa yote 564 ya Dar kwa Uhuru na Haki

"Tunakumbushana kuwa Taifa letu sasa Tarehe 27 mwezi wa 11 na hapa hatuombi vyombo vya dola vikasaidie kubadilishe matokeo hapana. Tunaomba vyombo vya dola viwe imara zaidi ili matokeo yatakapotangazwa ili kwa mtu ambaye hatakubali na ni kweli amefeli basi ashughulikiwe kwa mujibu wa taratibu"

Aliongeza kwa kusema:

"Unataka mabadiliko kuna muda lazima ka mkono ka nguvu kanahitajika. Kwa hiyo hizi 4R za Mheshimiwa Rais ambazo zinatajwa watu wasitafsiri kama bunduki haipo, bomu halipo, maji ya washawasha hayapo. Huwezi kujitenga namna hiyo"

Una maoni kuhusu kauli hii ya mkuu wa mkoa? Binafsi naona imekaa kimtego?

🤔😭
 
Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam, Albert Chalamila siku ya leo akiwa kwenye mkutano na baadhi ya maaskari, ameliomba Jeshi La Polisi kuisaidia serikali kipindi cha uchaguzi wa serikali za mitaa.

Chalamila amesema kuwa analiomba Jeshi La Polisi kushugulika na watu wote watakaopinga matokeo ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa na kuongeza kuwa uwepo wa sera ya 4R ya Rais Samia haimaanishi kuwa maji ya washawasha na mabomu ya machozi havitatumika

Soma pia: RC Chalamila: Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Utafanyika katika Mitaa yote 564 ya Dar kwa Uhuru na Haki

"Tunakumbushana kuwa Taifa letu sasa Tarehe 27 mwezi wa 11 na hapa hatuombi vyombo vya dola vikasaidie kubadilishe matokeo hapana. Tunaomba vyombo vya dola viwe imara zaidi ili matokeo yatakapotangazwa ili kwa mtu ambaye hatakubali na ni kweli amefeli basi ashughulikiwe kwa mujibu wa taratibu"

Aliongeza kwa kusema:

"Unataka mabadiliko kuna muda lazima ka mkono ka nguvu kanahitajika. Kwa hiyo hizi 4R za Mheshimiwa Rais ambazo zinatajwa watu wasitafsiri kama bunduki haipo, bomu halipo, maji ya washawasha hayapo. Huwezi kujitenga namna hiyo"

Una maoni kuhusu kauli hii ya mkuu wa mkoa? Binafsi naona imekaa kimtego?

CHADEMA susieninuchaguzi huu
 
"Kila mmoja wenu ni mchungaji, na kila mmoja wenu ataulizwa kuhusu wale aliowachunga."
(Sahih al-Bukhari, Kitabu cha Adabu)

Hii inafundisha kuwa uongozi ni jukumu kubwa na unahitaji hekima, kwa sababu kiongozi ana wajibu wa kuwaongoza watu wake kwa uadilifu na kwa huruma. Uongozi usio wa hekima unaweza kusababisha madhara kwa wale wanaoongozwa. Kiongozi anapaswa kuwa mwenye subira, busara, na kuhakikisha kuwa anawatendea watu kwa haki na heshima ili kuepusha kuleta madhara kwao.
Ubarikiwe sana kwa maneno ya hekima na busara kwa jamii.
 
Changamoto inakuja baada ya CHADEMA kuamua kushiriki Uchaguzi wa Serikali za Mitaa!
Hapa imeshaleta hofu kwa CCM kuwa kinaweza kupoteza viti vingi kwa CHADEMA, kilichobaki ni kutumia Polisi kutoa vitisho! Vitisho ambavyo huenda vitawaogopesha hata wananchi kutokwenda kupiga kura!
Nadhani CCM ilikuwa inangoja maamuzi hayo ambayo huenda waliamini matokeo yangekuwa mteremko kama CHADEMA wasingeshiriki uchaguzi huo.
CCM haina option nyingine ya kushinda uchaguzi zaidi ya kutumia vitisho na nguvu kupora uchaguzi.
RC hakusema kwa bahati mbaya!
 
Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam, Albert Chalamila siku ya leo akiwa kwenye mkutano na baadhi ya maaskari, ameliomba Jeshi La Polisi kuisaidia serikali kipindi cha uchaguzi wa serikali za mitaa.

Chalamila amesema kuwa analiomba Jeshi La Polisi kushugulika na watu wote watakaopinga matokeo ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa na kuongeza kuwa uwepo wa sera ya 4R ya Rais Samia haimaanishi kuwa maji ya washawasha na mabomu ya machozi havitatumika

Soma pia: RC Chalamila: Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Utafanyika katika Mitaa yote 564 ya Dar kwa Uhuru na Haki

"Tunakumbushana kuwa Taifa letu sasa Tarehe 27 mwezi wa 11 na hapa hatuombi vyombo vya dola vikasaidie kubadilishe matokeo hapana. Tunaomba vyombo vya dola viwe imara zaidi ili matokeo yatakapotangazwa ili kwa mtu ambaye hatakubali na ni kweli amefeli basi ashughulikiwe kwa mujibu wa taratibu"

Aliongeza kwa kusema:

"Unataka mabadiliko kuna muda lazima ka mkono ka nguvu kanahitajika. Kwa hiyo hizi 4R za Mheshimiwa Rais ambazo zinatajwa watu wasitafsiri kama bunduki haipo, bomu halipo, maji ya washawasha hayapo. Huwezi kujitenga namna hiyo"

Una maoni kuhusu kauli hii ya mkuu wa mkoa? Binafsi naona imekaa kimtego?

OGOPA NCHI IKIWA NA WAJINGA WENGI WANAWEZA KUMCHAGUA RAIS
 
Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam, Albert Chalamila siku ya leo akiwa kwenye mkutano na baadhi ya maaskari, ameliomba Jeshi La Polisi kuisaidia serikali kipindi cha uchaguzi wa serikali za mitaa.

Chalamila amesema kuwa analiomba Jeshi La Polisi kushugulika na watu wote watakaopinga matokeo ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa na kuongeza kuwa uwepo wa sera ya 4R ya Rais Samia haimaanishi kuwa maji ya washawasha na mabomu ya machozi havitatumika

Soma pia: RC Chalamila: Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Utafanyika katika Mitaa yote 564 ya Dar kwa Uhuru na Haki

"Tunakumbushana kuwa Taifa letu sasa Tarehe 27 mwezi wa 11 na hapa hatuombi vyombo vya dola vikasaidie kubadilishe matokeo hapana. Tunaomba vyombo vya dola viwe imara zaidi ili matokeo yatakapotangazwa ili kwa mtu ambaye hatakubali na ni kweli amefeli basi ashughulikiwe kwa mujibu wa taratibu"

Aliongeza kwa kusema:

"Unataka mabadiliko kuna muda lazima ka mkono ka nguvu kanahitajika. Kwa hiyo hizi 4R za Mheshimiwa Rais ambazo zinatajwa watu wasitafsiri kama bunduki haipo, bomu halipo, maji ya washawasha hayapo. Huwezi kujitenga namna hiyo"

Una maoni kuhusu kauli hii ya mkuu wa mkoa? Binafsi naona imekaa kimtego?

Anawashwa huyo Sio bure
 
Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam, Albert Chalamila siku ya leo akiwa kwenye mkutano na baadhi ya maaskari, ameliomba Jeshi La Polisi kuisaidia serikali kipindi cha uchaguzi wa serikali za mitaa.

Chalamila amesema kuwa analiomba Jeshi La Polisi kushugulika na watu wote watakaopinga matokeo ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa na kuongeza kuwa uwepo wa sera ya 4R ya Rais Samia haimaanishi kuwa maji ya washawasha na mabomu ya machozi havitatumika

Soma pia: RC Chalamila: Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Utafanyika katika Mitaa yote 564 ya Dar kwa Uhuru na Haki

"Tunakumbushana kuwa Taifa letu sasa Tarehe 27 mwezi wa 11 na hapa hatuombi vyombo vya dola vikasaidie kubadilishe matokeo hapana. Tunaomba vyombo vya dola viwe imara zaidi ili matokeo yatakapotangazwa ili kwa mtu ambaye hatakubali na ni kweli amefeli basi ashughulikiwe kwa mujibu wa taratibu"

Aliongeza kwa kusema:

"Unataka mabadiliko kuna muda lazima ka mkono ka nguvu kanahitajika. Kwa hiyo hizi 4R za Mheshimiwa Rais ambazo zinatajwa watu wasitafsiri kama bunduki haipo, bomu halipo, maji ya washawasha hayapo. Huwezi kujitenga namna hiyo"

Una maoni kuhusu kauli hii ya mkuu wa mkoa? Binafsi naona imekaa kimtego?

Kweli kabisa eti "kuisaidia Serikali" Ikoje hii wadau??
Kuwatishia wananchi
 
Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam, Albert Chalamila siku ya leo akiwa kwenye mkutano na baadhi ya maaskari, ameliomba Jeshi La Polisi kuisaidia serikali kipindi cha uchaguzi wa serikali za mitaa.

Chalamila amesema kuwa analiomba Jeshi La Polisi kushugulika na watu wote watakaopinga matokeo ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa na kuongeza kuwa uwepo wa sera ya 4R ya Rais Samia haimaanishi kuwa maji ya washawasha na mabomu ya machozi havitatumika

Soma pia: RC Chalamila: Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Utafanyika katika Mitaa yote 564 ya Dar kwa Uhuru na Haki

"Tunakumbushana kuwa Taifa letu sasa Tarehe 27 mwezi wa 11 na hapa hatuombi vyombo vya dola vikasaidie kubadilishe matokeo hapana. Tunaomba vyombo vya dola viwe imara zaidi ili matokeo yatakapotangazwa ili kwa mtu ambaye hatakubali na ni kweli amefeli basi ashughulikiwe kwa mujibu wa taratibu"

Aliongeza kwa kusema:

"Unataka mabadiliko kuna muda lazima ka mkono ka nguvu kanahitajika. Kwa hiyo hizi 4R za Mheshimiwa Rais ambazo zinatajwa watu wasitafsiri kama bunduki haipo, bomu halipo, maji ya washawasha hayapo. Huwezi kujitenga namna hiyo"

Una maoni kuhusu kauli hii ya mkuu wa mkoa? Binafsi naona imekaa kimtego?

Plato alikuwa na mtazamo wa kushuku demokrasia, akiamini kwamba inaweza kuongozwa na watu wasio na hekima, na hivyo kupelekea kuchukua maamuzi mabaya kwa ajili ya jamii. Aliona demokrasia kama mfumo ambapo wengi wasio na maarifa au elimu wanaweza kuchukua madaraka na kufanya maamuzi kwa ushawishi wa hisia badala ya mantiki. Hii ni kwa sababu Plato aliamini kwamba umma unaweza kudanganywa kirahisi na viongozi wenye maslahi binafsi.
Kwa kuhusianisha mtazamo wa Plato na hali ya viongozi walioko madarakani hivi sasa nchini Tanzania hasa kutumia silaha na nguvu ya jeshi la polisi ili kuwatisha wapiga kura kukubaliana na matokeao hata kama yana dosari, tunaweza kusema kwamba hii ni ishara ya hatari ya demokrasia isiyosimamiwa vyema, kitu ambacho Plato alikuwa akikihofia. Katika mazingira kama haya, ambapo viongozi wanatumia nguvu kuimarisha nafasi zao, inaonyesha kutokuwepo kwa maadili ya kweli ya kidemokrasia na badala yake, kuonesha udhaifu wa mfumo. Ni udikteta uliovaa sura ya demokrasia, ambapo sauti ya wapiga kura haina maana na viongozi wanatumia nguvu ili kulazimisha matokeo wanayotaka, hata kama yana dosari.
Katika demokrasia ya kweli, maamuzi yanapaswa kufanywa na watu kwa uhuru bila hofu ya kulazimishwa. Plato aliona hali hii ya kutumia nguvu kama ishara ya uharibifu wa mfumo wa demokrasia, ambapo badala ya kuheshimu sauti ya umma, viongozi wanatumia vitisho kudhibiti matokeo.
Hii inathibitisha hofu kwamba bila uongozi wa watu wenye hekima, demokrasia inaweza kugeuka na kuwa mbaya zaidi kuliko mifumo mingine ya utawala, hasa pale inapotekwa na wale wenye uwezo wa kutumia nguvu kwa maslahi yao binafsi.

Pascal Mayalla

P
 
Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam, Albert Chalamila siku ya leo akiwa kwenye mkutano na baadhi ya maaskari, ameliomba Jeshi La Polisi kuisaidia serikali kipindi cha uchaguzi wa serikali za mitaa.

Chalamila amesema kuwa analiomba Jeshi La Polisi kushugulika na watu wote watakaopinga matokeo ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa na kuongeza kuwa uwepo wa sera ya 4R ya Rais Samia haimaanishi kuwa maji ya washawasha na mabomu ya machozi havitatumika

Soma pia: RC Chalamila: Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Utafanyika katika Mitaa yote 564 ya Dar kwa Uhuru na Haki

"Tunakumbushana kuwa Taifa letu sasa Tarehe 27 mwezi wa 11 na hapa hatuombi vyombo vya dola vikasaidie kubadilishe matokeo hapana. Tunaomba vyombo vya dola viwe imara zaidi ili matokeo yatakapotangazwa ili kwa mtu ambaye hatakubali na ni kweli amefeli basi ashughulikiwe kwa mujibu wa taratibu"

Aliongeza kwa kusema:

"Unataka mabadiliko kuna muda lazima ka mkono ka nguvu kanahitajika. Kwa hiyo hizi 4R za Mheshimiwa Rais ambazo zinatajwa watu wasitafsiri kama bunduki haipo, bomu halipo, maji ya washawasha hayapo. Huwezi kujitenga namna hiyo"

Una maoni kuhusu kauli hii ya mkuu wa mkoa? Binafsi naona imekaa kimtego?

Hivi huko DSM mapori pia yapo? Kwa maana CCM wakati wa uchaguzi huwa wanakwenda maporini
 
Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam, Albert Chalamila siku ya leo akiwa kwenye mkutano na baadhi ya maaskari, ameliomba Jeshi La Polisi kuisaidia serikali kipindi cha uchaguzi wa serikali za mitaa.

Chalamila amesema kuwa analiomba Jeshi La Polisi kushugulika na watu wote watakaopinga matokeo ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa na kuongeza kuwa uwepo wa sera ya 4R ya Rais Samia haimaanishi kuwa maji ya washawasha na mabomu ya machozi havitatumika

Soma pia: RC Chalamila: Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Utafanyika katika Mitaa yote 564 ya Dar kwa Uhuru na Haki

"Tunakumbushana kuwa Taifa letu sasa Tarehe 27 mwezi wa 11 na hapa hatuombi vyombo vya dola vikasaidie kubadilishe matokeo hapana. Tunaomba vyombo vya dola viwe imara zaidi ili matokeo yatakapotangazwa ili kwa mtu ambaye hatakubali na ni kweli amefeli basi ashughulikiwe kwa mujibu wa taratibu"

Aliongeza kwa kusema:

"Unataka mabadiliko kuna muda lazima ka mkono ka nguvu kanahitajika. Kwa hiyo hizi 4R za Mheshimiwa Rais ambazo zinatajwa watu wasitafsiri kama bunduki haipo, bomu halipo, maji ya washawasha hayapo. Huwezi kujitenga namna hiyo"

Una maoni kuhusu kauli hii ya mkuu wa mkoa? Binafsi naona imekaa kimtego?

hii maana yake yeye yupo kwa ajili ya chama chake na sio wananchi kama tunavyoaminishwa.
 
Back
Top Bottom