JAYJAY
JF-Expert Member
- Oct 31, 2008
- 8,191
- 8,490
Akili ni kuandaa maandamano ya kwenda kumchukulia fomu ya urais ajuza ambaye hajui hata anafanya nini ofisini. Kmmk.Akili ni kujitokeza kuandamana tarehe.24 zporojo za jf hazitakusaidia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akili ni kuandaa maandamano ya kwenda kumchukulia fomu ya urais ajuza ambaye hajui hata anafanya nini ofisini. Kmmk.Akili ni kujitokeza kuandamana tarehe.24 zporojo za jf hazitakusaidia.
Hiyo ndio akili itafanyika,ila na nyie akili yenu andamaneni tarehe.24Akili ni kuandaa maandamano ya kwenda kumchukulia fomu ya urais ajuza ambaye hajui hata anafanya nini ofisini. Kmmk.
Dar Haina mwenyewe..Chala Boy hafai muwa RC Dar mama aliambiwa mapema
Dar ndio inaongoza tanzania kila kitu.....awekwe mtu anaejielewaDar Haina mwenyewe..
Dar ni mkoa mgumu kuongoza kila kigogo anataka asikilizwe kwenye kuendesha mambo yake.Dar ndio inaongoza tanzania kila kitu.....awekwe mtu anaejielewa
Kutwa yeye kuvaa Abaya tu 😀Akili ni kuandaa maandamano ya kwenda kumchukulia fomu ya urais ajuza ambaye hajui hata anafanya nini ofisini. Kmmk.
Ahahahahha nashangaa analeta kelele humu na jina lake bandia.Akili ni kujitokeza kuandamana tarehe.24 zporojo za jf hazitakusaidia.
Wapi jeshi lilipo dharaulishwa, wale sio maraia kama wewe wamefundishwa kutii amri, wewe ndio unaleta uraia wako hapa, Mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama ameelezea kile kamati imeona ili kupambana na kipindupindu si budi kufanya usafi.
Wewe nenda kaandamane tarehe 24 stori za kijinga za nini humu jf?
Sawa wewe kaandamane January 24 mjinga atajulikana simu hiyoMimi nadhani ujinga ni kuamrisha jeshi likazibue chemba za mavi kariakoo tarehe 24 baadala ya kulinda mipaka ya nchi.
Kuna Makampuni ya Usafi yanafanya usafi kwa mkataba. Hadi huko serikali za mitaa hizo kampuni zipo.Majukumu ya Jeshi la Wananchi wa Tanzanua, na maheshi mengune yote, yameainishwa kisheria.
Ni Amiri Jeshi Mkuu pekee ndiye anaweza kulielekeza Jeshi la Wananchi wa Tanzania kufanya shughuli nyingine nje ya shughuli ya msingi, kama kuna dharula, na anaona kuna haja ya kufanya hivyo. Mamlaka hayo anayo Amiri Jeshi Mkuu, siyo Chalamila wala Mkuu wa Mkoa mwingine yeyote. Wakuu wa mikoa kuwa wenyeviti wa kamati za Ulinzi na usalama mikoani mwao, haimaanishi wamekuwa wakuu wa majeshi yote yaliyopo mikoani mwao.
Tusiwafanye askari wa JWTZ kuwa ni watu wa kupewa amri na kila mtu. Tukiruhusu upuuzi wa namna hiyo kuendelea, kuna siku Wakuu wa Wilaya nao watawapa amri askari kufagia ofisi zao. Baadaye na watendaji wa kata watawaamrisha askari waliopo kwenye maeneo yao ya kiutawala kwenda kufagia maeneo ya shule za msingi.
Kama tunaona ni busara, kazi mojawapo ya kila jeshi ni kufanya usafi wa miji, basi mswada upelekwe Bungeni ili kubadilisha au kuongeza majukumu ya msingi ya majeshi yote kuwa ni pamoja na kufanya usafi kwenye miji. Na hilo likifanyika, Wizara ya TAMISEMI itoe maelekezo kwa majiji, maspaa na halmashauri za miji kufuta kandarasi zote zilizoingiwa na makampuni ya kufanya usafi kwa sababu kazi hiyo sasa ni ya JWTZ, Police, Mgambo na JKT. Na hilo litaifanya Tanzania kuwa nchi ya pekee na ya ajabu iliyoamua kutothamini kazi ya askari wake.
Chalamila anathubutu kueleza kuwa magari ya JWTZ ambayo hayajatengenezwa rasmi kwaajili ya kusomba takataka, eti tarehe 23 na 24 yatatumika kusomba takataka. Yaani magari ambayo huwa yanatumika kubeba askari na mizigo mbalimbali yakatumike kubeba kila aina ya takataka vikiwemo vinyesi vinavyotupwa kwenye mifuko ya plastic, halafu gari hilo hilo kesho yake liwabebe askari, tena wakati ambao kipindupindu kinaendelea kupiga hodi mikoa mbalimbali!
Ushauri: Siasa zisitupofushe kiasi cha kukosa hekima. Rais utakuwa umelipa heshima ambayo jiji la Dar es Salaam linastahili kama ukiwapa Mkuu wa Mkoa ambaye anaendana na hadhi ya jiji la Dar es Salaam. Aliyepo, bila kupepesa macho, viatu vya ukuu wa mkoa ni vikubwa mno kwake. Labda kuna mahali anafaa, lakini siyo kwenye nafasi zinazohitaji hekima.
Haya peleka komwe lako tarehe 24 / Januari ndiyo utajuwa maana ya Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Mkoa
Sawa wewe kaandamane January 24 mjinga atajulikana simu hiyo
Hiyo ndio akili itafanyika,ila na nyie akili yenu andamaneni tarehe.24
Pot 1 anaweza tembeza kichapo kwa nyumbu 2,000 😁😁Siku hiyo tutakuwa wengi Sana, maana jeshi la JWTZ 8000 na Polisi 5000 sio mchezo. Maandamano yatafana.