Pre GE2025 Chalamila aonywe, asilidharaulishe Jeshi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Wewe unaingea kama nani, yeye ni mwenyekiti wa usalama wa dar kuna maandamano huoni wakifanya usafi watazuia waandamanaji
Why if amri imetoka kwa mama? Think big mkuu usifikiri mwisho wa dar ni urafiki
 
Dar ndio inaongoza tanzania kila kitu.....awekwe mtu anaejielewa
Dar ni mkoa mgumu kuongoza kila kigogo anataka asikilizwe kwenye kuendesha mambo yake.

Mkoa wa lawama, mkoa wa maelekezo ukiwa mjuaji Sana ni kheri uwe na baraka zote kutoka juu.

Au uondolewe kwa kushindwa kula na kipofu.
 
Akili ni kujitokeza kuandamana tarehe.24 zporojo za jf hazitakusaidia.
Ahahahahha nashangaa analeta kelele humu na jina lake bandia.

Hatuko mbali, tarehe 24 kaandamane basi! Hapo ndipo ataonesha kuwa ana akili na fikra pevu!
 
Chalamila; Bia bila mziki ni kama juisi

Profesa janabi; unywaji wa bia hupanua na kuharibu moyo.
 
Wapi jeshi lilipo dharaulishwa, wale sio maraia kama wewe wamefundishwa kutii amri, wewe ndio unaleta uraia wako hapa, Mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama ameelezea kile kamati imeona ili kupambana na kipindupindu si budi kufanya usafi.

Ila jeshi ndio limejidharaulisha. Ndio maana wameamriwa tarehe 24 wakazibue chemba za mavi kariakoo.
 
Kuna Makampuni ya Usafi yanafanya usafi kwa mkataba. Hadi huko serikali za mitaa hizo kampuni zipo.
Anaposema Jeshi litafanya usafi huku ni kulidharau kabisa Jeshi.
Yaani Jeshi hili ambalo kipindi kile cha migomo ya Madaktari lilikua likiingilia kati kwa kwenda kuokoa msisha ya wananchi kwa kwenda kubeba jukumu la kutibu wagonjwa mahospitalini, leo hii limeshushwa hadhi hadi kukabidhiwa mafagio na makopo ya chooni ili likafanye usafi???
 
Haya peleka komwe lako tarehe 24 / Januari ndiyo utajuwa maana ya Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Mkoa

Hiyo mwenyekiti wa kamati ni mjinga Sana, Yani anamrisha jeshi likazibue chemba za mavi kariakoo tarehe 24 baadala ya kulinda mipaka ya nchi. Tukivamiwa na adui atajiteteaje.
 
Ila Tanzania Ina uhaba wa Viongozi. Yani wameiingiza JWTZ kwenye ujinga wa siasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…