Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Kwa akili hizi,tutaendelea kuwa wajinga sana nchi yetuHapa unamchukua mmoja una-deal nae binafsi, unampiga uhujumu!
Akili zitawakaa sawa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa akili hizi,tutaendelea kuwa wajinga sana nchi yetuHapa unamchukua mmoja una-deal nae binafsi, unampiga uhujumu!
Akili zitawakaa sawa!
Piga wote hao Wana tamaa sanaAtaanza kupigwa mama yako ndio wengine wafuate.
Kwa sheria ipi? Punguza jazbahuu Mgomo unaweza kumhamisha chalamila Dar, au kumuweka pembeni.
Kwa Kodi wanazolipa watu hapo kariakoo anadhani haiwaumi kufunga maduka Yao?We mtu amevimba tumbo na mwili, amekaa kwenye kiti cha kuzunguka masaa 10 j3 hadi ijumaa tu na anapigwa AC asubuh hadi.jioni kushika.shika.mafaili tu na simu basi, anajua nini kuhusu hustle za mfanya biashara?
Wazazi wako wakiona comment kama hii watalia sana,maana wataona walitoa jasho lao kukupata bure tu maana wamezaa kitukoHAO WAPIGWE SPANA WANYANGÁNYWE LESENI ILI AKILI IWAKAE SAWA
Anadhani ni Waalimu wanaotishwa mpaka na Elimu KataMzee sio walimu hao.
Umeishia darasa la ngapi weweHAO WAPIGWE SPANA WANYANGÁNYWE LESENI ILI AKILI IWAKAE SAWA
hana ushawishi, anatumia vitisho wakati waziri amshakubali kukaa nao na wamehidi watatoa tamkoKwa sheria ipi? Punguza jazba
Hao watafutwe wanaochochea mgomo. Kisha washtakiwe Kwa kuhujumu uchumiKwa Kodi wanazolipa watu hapo kariakoo anadhani haiwaumi kufunga maduka Yao?
Kawafungie wewe.Wafungiwe leseni hao
Msiba usiokuhusu usiujadili. Mnapenda mihemuko kuliko uhalisia.HAO WAPIGWE SPANA WANYANGÁNYWE LESENI ILI AKILI IWAKAE SAWA
Wewe endelea kubeba mafaili ofisini, maisha ya biashara ni ulimwengu mwingine kabisaa na hakuna unachojuaWalipe Kodi. Zinahitajika kununua madawa na huduma muhimu
Hivi ww una familia ama.Nyie ndo hasara kwwnye familia.Ungekua unaijua kkoo wala usigeongea ujinga huo.Kkoo ndo injini ya nchi kwa mapato sasa ww umeshiba mamihogo huko unalopoka tu.Wafungiwe leseni hao
Kipigo Tena?. Nadhani hujui unachokiongea.Kamati kitu gani. Fungueni maduka Wananchi wapare huduma. Vinginevyo mtaishia kupata kipigo cha Mbwa mwizi
Watu kama huyu jamaa ni adui wa Taifa. Watu wanapigania ustawi bora wa Taifa lenyewe linawaza kubambikia watu kesi.Kwa akili hizi,tutaendelea kuwa wajinga sana nchi yetu
Wamemwambia hawalipi?Walipe Kodi. Zinahitajika kununua madawa na huduma muhimu
Yeah! Tena wakuchukuwe wewe. Ndio utakuja kuhadithia.Hapa unamchukua mmoja una-deal nae binafsi, unampiga uhujumu!
Akili zitawakaa sawa!
Ukiwa sio mfanya Biashara lazima uwaze hivo kaa Kimya kabisa wewe subiri za mwisho wa mweziHapa unamchukua mmoja una-deal nae binafsi, unampiga uhujumu!
Akili zitawakaa sawa!