econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 20,189
- 29,663
Kazi gani? Waziri kakubali kuongea na sisi. Baki na roho mbaya na ukatili. Unajifanya una hasira kuliko Waziri wa Biashara.Tulia uonyeshwe kazi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kazi gani? Waziri kakubali kuongea na sisi. Baki na roho mbaya na ukatili. Unajifanya una hasira kuliko Waziri wa Biashara.Tulia uonyeshwe kazi
Hivi Serikali ikiamua kuwafutia leseni wafanyabiashara wote waliogoma ikizingatiwa tin namba zinasoma na wapigwe marufuku kokote kufanya biashara Kwa sababu za uhujumu uchumi kwani watafanya nini?Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila amefika soko la Kariakoo kutokana na Biashara kufungwa kuanzia leo Juni 24, 2024 na kuongea na wafanyabiashara.
Chalamila amesema wafanyabiashara wako wa aina kadhaa ikiwemo walioshiba, kati na wachanga na iwapo wataigana kuna watakaojuta leo, kesho na mwingine baaada ya mwezi mmoja. Chalamila amesema ni kweli wafanyabiashara wanaweza kuwa na changamoto lakini zipo nyingine za kisheria na haiwezaki kuzisuluhisha asubuhi na mapema.
Chalamila amesema duka si sawa na hospitali kwani hospitali zingegoma ingekuwa hatari zaidi na kuomba busara itumike. Mwisho amemaliza na mkwara mzito kwa yeyote atakaempiga mkwara aliyekubali kufungua.
"Aliyekubali kufungua afungue na yule ambae atamletea mkwara mtu yeyote yule aliyekubali kufungua naapa mbele ya Mwenyezi Mungu, hapo ndipo nitakapoonesha shoo nzima. Wewe unakuja unamletea mkwara, mimi nitakuchimba mkwara na hautaamka tena, na hili naomba niwaeleze ndugu zangu wa Kariakoo, utoto ukizidi hatuwezi kufikia hapo"
Pia Chalamila amewashukuru waliofungua maduka na kuwaahidi waliofunga atazilinda biashara zao na hakuna mwizi atakaeiba hata kama itakuwa mwezi. Chalamila amesema biashara sio siasa na leo jioni wataona hasara yake lakini siasa haiwezekani kugundua hasara zake.
Chalamila pia amedai yeye kama mkuu wa mkuu wa mkoa akiumua kwenda kukaa madukani kwao aangalie kiwango kikubwa cha ukwepaji kodi, amehoji kama wataweza kuishi Kariakoo!
View attachment 3024459
View attachment 3024461
Nilikwambia,Hivi Serikali ikiamua kuwafutia leseni wafanyabiashara wote waliogoma ikizingatiwa tin namba zinasoma na wapigwe marufuku kokote kufanya biashara Kwa sababu za uhujumu uchumi kwani watafanya nini?
Wewe unazo?Nilikwambia,
Hujawahi kuwa na akili.
wanatumia ID za watu wengine ambao hawako kwenye mifumo ya kulipoa kodi. Kufikia hapo serikali inakuwa imefanya ujinga.Hivi Serikali ikiamua kuwafutia leseni wafanyabiashara wote waliogoma ikizingatiwa tin namba zinasoma na wapigwe marufuku kokote kufanya biashara Kwa sababu za uhujumu uchumi kwani watafanya nini?
Bando la bure anafanya chochote tu hata cha kijinga tuSasa Waziri wa Biashara kakubali kuongea nao na kuwasililiza malalamiko yao. Wewe chawa mwenye roho mbaya umebaki kuropoka. Yani mnajifanya mna hasira kuliko Waziri mwenyewe. Pole sana.
Unaleta hoja dhaifu sana, ungekuwa hata na genge ungeelewaWewe unazo?
Ujinga kama huu huwezi fanya China,Russia au North Korea ukachekewa.
Sio kweli Kila mtu taarifa zake zipo kuanzia za kibayometric Hadi za physical,huwezi Anza kutanga Tanga kushindana na Serikali kisa unafanya siasa za ujinga.wanatumia ID za watu wengine ambao hawako kwenye mifumo ya kulipoa kodi. Kufikia hapo serikali inakuwa imefanya ujinga.
Haa duka la kijiji unaenda dukani eti duka linafunguliwa saa 9 mchana enzi zile nazo duuAnadhani Yale ni maduka ya vijiji enzi ya Ujamaa!!
Kwani kule Kuna Wala RUSHWA wa CCM na Serikali ya kifisadi?Wewe unazo?
Ujinga kama huu huwezi fanya China,Russia au North Korea ukachekewa.
Hakuna Cha genge,Mimi nauza dawa la bidhaa za Kilimo,Kodi nalipa na maisha yanaenda,kwamba nyie pimbi wa Kariakoo ndio mna malalamiko sana kuliko sisi wa Mikoani au?Unaleta hoja dhaifu sana, ungekuwa hata na genge ungeelewa
Duka la chama!! Tumetoka mbali!!Haa duka la kijiji unaenda dukani eti dukq linafunguliwa saa 9 mchana enzi zile nazo duu
Kumbe mnafanya siasa ,hakuna malalamiko? Samia aache kuleta huruma za kimama kwenye masuala ya Nchi.Kwani kule Kuna Wala RUSHWA wa CCM na Serikali ya kifisadi?
Kasome sheria ya leseni ya biashara, kwanza katika adhabu hakuna kufungiwa biashara Bali fine au kufunguliwa kesi mahakamani. Muwe mnasoma kwanza kabla ya kuropoka.Hivi Serikali ikiamua kuwafutia leseni wafanyabiashara wote waliogoma ikizingatiwa tin namba zinasoma na wapigwe marufuku kokote kufanya biashara Kwa sababu za uhujumu uchumi kwani watafanya nini?
Kwetu kuna msemo "buli kuundi buli kumbali" (kama siyo shida yako, iko pembeni/siyo shida yako). Hawa wafanyabiashara ni wao wanaojua mambo wanayoyapitia. Ni wao wanaopata hasara kama wakifunga maduka, lakini kama wameona heri wapate hasara kuliko faida wanayoipata inayoambatana na kero wanazozilalamikia, pengine zinazo wapa pia hasara na kushindwa kulipa kodi wanayotakiwa walipe, halafu hatua waliyoichukua ili kero hizo ziweze kufanyiwa kazi, wewe usiyepata hizo kero/hasara uone ni utoto, naona ni ukosefu wa consideration na kwa kiongozi ni lack of good judgement.Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila amefika soko la Kariakoo kutokana na Biashara kufungwa kuanzia leo Juni 24, 2024 na kuongea na wafanyabiashara.
Chalamila amesema wafanyabiashara wako wa aina kadhaa ikiwemo walioshiba, kati na wachanga na iwapo wataigana kuna watakaojuta leo, kesho na mwingine baaada ya mwezi mmoja. Chalamila amesema ni kweli wafanyabiashara wanaweza kuwa na changamoto lakini zipo nyingine za kisheria na haiwezaki kuzisuluhisha asubuhi na mapema.
Chalamila amesema duka si sawa na hospitali kwani hospitali zingegoma ingekuwa hatari zaidi na kuomba busara itumike. Mwisho amemaliza na mkwara mzito kwa yeyote atakaempiga mkwara aliyekubali kufungua.
"Aliyekubali kufungua afungue na yule ambae atamletea mkwara mtu yeyote yule aliyekubali kufungua naapa mbele ya Mwenyezi Mungu, hapo ndipo nitakapoonesha shoo nzima. Wewe unakuja unamletea mkwara, mimi nitakuchimba mkwara na hautaamka tena, na hili naomba niwaeleze ndugu zangu wa Kariakoo, utoto ukizidi hatuwezi kufikia hapo"
Pia Chalamila amewashukuru waliofungua maduka na kuwaahidi waliofunga atazilinda biashara zao na hakuna mwizi atakaeiba hata kama itakuwa mwezi. Chalamila amesema biashara sio siasa na leo jioni wataona hasara yake lakini siasa haiwezekani kugundua hasara zake.
Chalamila pia amedai yeye kama mkuu wa mkuu wa mkoa akiumua kwenda kukaa madukani kwao aangalie kiwango kikubwa cha ukwepaji kodi, amehoji kama wataweza kuishi Kariakoo!
Pia, soma=> RC Chalamila: Wafanyabiashara wa Kariakoo wajitafakari, migomo siyo suluhisho
Kahamie huko Sasa uache kutupigia kelele.Wewe unazo?
Ujinga kama huu huwezi fanya China,Russia au North Korea ukachekewa.
Ulisema u mkulima, Leo unadai unauza bidhaa za KILIMO!!Hakuna Cha genge,Mimi nauza dawa la bidhaa za Kilimo,Kodi nalipa na maisha yanaenda,kwamba nyie pimbi wa Kariakoo ndio mna malalamiko sana kuliko sisi wa Mikoani au?
Serikali iwashughulikie tuone itapata hasara zipi.