Chalamila awasili Kariakoo awaambia Wafanyabiashara “Fungueni maduka, Biashara sio Siasa”

Chalamila awasili Kariakoo awaambia Wafanyabiashara “Fungueni maduka, Biashara sio Siasa”

Kasome sheria ya leseni ya biashara, kwanza katika adhabu hakuna kufungiwa biashara Bali fine au kufunguliwa kesi mahakamani. Muwe mnasoma kwanza kabla ya kuropoka.
Kama hakuna mbona TRA inswafu hua? Rais anatoa decree tuu ,mbona ni wachache mnasakwa na kushikishwa adabu tuu
 
Kumbe mnafanya siasa ,hakuna malalamiko? Samia aache kuleta huruma za kimama kwenye masuala ya Nchi.

Mwisho wewe punguani Kuna Nchi Haina Rushwa Dunia hii?
Nenda China ule Rushwa uone. Unadhani ni kama huku unaiba adhabu ni kuitwa stupid
 
Ukisema u mkulima, Leo unadai unauza bidhaa za KILIMO!!

KAZI Yako ni uchawa, huna unachofanya zaidi.
Wewe achaga kuwa kima ,tangu lini mkulima asiwe mfanyabiashara? Na Kwa taarifa Yako wafanyabiashara 90% wa Mikoani ji wakulima na wengine wameacha hata hizo za kuzozana na TRA wamesalia na kulima.na ufugaji tuu.

Mimi biashara ni ya kuzugia ila shughuli yangu kuu ni Kilimo.
 
Kwetu kuna msemo "buli kuundi buli kumbali" (kama siyo shida yako, Iko pembeni/siyo shida yako). Hawa wafanyabiashara ni wao wanaojua mambo wanayoyapia. Ni wao wanaopata hasara kama wakifunga maduka, lakini kama wameona heri wapate hasara kuliko faida wanayoipata inayoambatana na kero wanazozilalamikia, pengine zinanazo wapa hasara na kushindwa kulipa kodi wanayotakiwa walipe, halafu hatua waliyoichukua wewe usiyopata hiyo kero/hasara, naona ni ukosefu wa consideration na kwa kiongozi ni lack of good judgement.
Mimi binafsi nawapongeza sana huwezi kufanya biashara kwenye jamii mfu, (silent society)
 
Wewe achaga kuwa kima ,tangu lini mkulima asiwe mfanyabiashara? Na Kwa taarifa Yako wafanyabiashara 90% wa Mikoani ji wakulima na wengine wameacha hata hizo za kuzozana na TRA wamesalia na kulima.na ufugaji tuu.

Mimi biashara ni ya kuzugia ila shughuli yangu kuu ni Kilimo.
Lipa Kodi. Acha kuchamba
 
Kama hakuna mbona TRA inswafu hua? Rais anatoa decree tuu ,mbona ni wachache mnasakwa na kushikishwa adabu tuu
Na Rais akifanya hivyo hatadumu hata mwezi madarakani. Unafunga biashara, unajua ni mnyororo gani utavunja Kwa kufunga biashara za watu Tena Kariakoo.
 
Hakuna Cha genge,Mimi nauza dawa la bidhaa za Kilimo,Kodi nalipa na maisha yanaenda,kwamba nyie pimbi wa Kariakoo ndio mna malalamiko sana kuliko sisi wa Mikoani au?

Serikali iwashughulikie tuone itapata hasara zipi.
Endelea kuwa na funza kichwani mwako,hujui kinachoendelea ndiyo maana unaropoka ropoka tu kama chizi
 
Kuwaambia kuwa maduka sio hospitali kwamba atakayefunga hamna umuhimu wowote ni kujitoa ufahamu akitaka kumaanisha serikali haina hasara yoyote maduka yakifungwa
 
Kwahiyo unataka mla RUSHWA aliyesababisha bandari kuuzwa Kisha gharama za bandarini kuongezeka ndiye aje kuzifunga biashara kariakoo?
Gharama za Bandari
Kwahiyo unataka mla RUSHWA aliyesababisha bandari kuuzwa Kisha gharama za bandarini kuongezeka ndiye aje kuzifunga biashara kariakoo?
Ndio maana nasema Samia anawachekea si unaona unavyoongea upumbavu hapa harafu uchumi uko paralysede.

Siasa za kindezi kama hizi piga ndani hao wapuuzi wakimbie Nchi.
 
Back
Top Bottom