Chalamila awasili Kariakoo awaambia Wafanyabiashara “Fungueni maduka, Biashara sio Siasa”

Chalamila awasili Kariakoo awaambia Wafanyabiashara “Fungueni maduka, Biashara sio Siasa”

Unajua masharti ya Leseni? Kama unadhani biashara Ni binafsi si ufungue duka chumbani kwako na mumeo?
Kwenye leseni za biashara hakuna sehemu au kifungu kinachomkataza mtu kufunga biashara yake. Sana sana ukitaka kufunga biashara yako unaandika barua kwenye mamlaka waliyokupa leseni kama ni halmashauri au tra ili wasikutoze kodi ila hulazimishwi kufungua biashara yako.
Watu wengine mnakoment ujinga tu mbona baadhi ya wafanyabiashara wanafunga maduka yao miezi ya 12 wanakwenda likizo hawashurutishwi.
Hao wacha wafunge tu kwani wana madai yao ya msingi Kassim Majaliwa alishaenda kuwasikiliza ila akawafanyia siasa wacha wafunge tuone kati ya serikali na wafanyabuashara nani mbabe
 
1. Mfanyabiashara ana haki ya kufunga duka lake.

2. Mfanyabiashara hana haki ya kumlazimisha mfanyabiashara mwingine afunge duka lake.

3. Mkuu wa mkoa hana haki ya kumlazimisha mfanyabiashara afungue biashara yake.

4. Mkuu wa mkoa ana haki na wajibu wa kumlinda mfanyabiashara atakayeamua kufungua duka lake.
 
1. Mfanyabiashara ana haki ya kufunga duka lake.

2. Mfanyabiashara hana haki ya kumlazimisha mfanyabiashara mwingine afunge duka lake.

3. Mkuu wa mkoa hana haki ya kumlazimisha mfanyabiashara afungue biashara yake.

4. Mkuu wa mkoa ana haki na wajibu wa kumlinda mfanyabiashara atakayeamua kufungua duka lake.
Ukweli ndiyo huo
 
1. Mfanyabiashara ana haki ya kufunga duka lake.

2. Mfanyabiashara hana haki ya kumlazimisha mfanyabiashara mwingine afunge duka lake.

3. Mkuu wa mkoa hana haki ya kumlazimisha mfanyabiashara afungue biashara yake.

4. Mkuu wa mkoa ana haki na wajibu wa kumlinda mfanyabiashara atakayeamua kufungua duka lake.
I concur with you mkuu. Huwezi kumlazimisha mtu afungue ofisi yake binafsi
 
Bora kuwa na funza kuliko kujaza kamasi na kuchekea wapuuzi wanaoleta siasa kwenye uchumi.

Wahujumu uchumi haipaswi kuwachekea,Kagame au Museveni hawezi chekea huu utaahira.
Bila shaka mwenye makamasi kwenye ubongo umeanza kuonekana ,kupewa bando tu unaanza kufikiria kupitia makalio.....we ni mama wa watoto uwe unajitahidi kufikiria kwa ubongo
Screenshot_20240624-153722.png
 
Huyu mzee vipi!!! kama utaki mashinikizo basi njoo mtaani kwa sekta binafsi kama utamaliza mwaka. Serikali ina feli na kwa miaka zaidi ya 60 imeshindwa kuwaondolea watanzania umaskini tena wakati walikuwa si zaidi ya 10M leo wanafika 70M.

Nimemkumbuka sana Marehemu Mzee Mwamwindi leo hii, nimemuelewa kwanini hakutaka wakuu wa namna hii. Huyu Jamaa hana hoja kabisa katumia muda kupiga mkwara mbuzi kkoo. Wafanyabiashara wanayo Maswali yanataka majibu hakuna aliyeshinikiza serikali watu wanauliza Waziri Mkuu na Waziri wa Fedha waliahidi na ahadi zao wamefikia wapi??

Sio kweli huyu ni mtu mdogo sana ukimlinganisha na Jiwe, leo hii yuko wapi alikuwa na hizo style. Walionguruma kipindi hiko anachokitolea mfano leo wako wapi. Haki za watu ni sauti ya Mungu. Huyu Pimbi tu anapiga mkwara mbuzi akajenge hoja na sio hotuba wafanyabiashara hawataki hotuba.

Huyu keshashindwa kukaa mjini, Mama amtafutie kituo kingine cha kazi, mjini ameshashindwa analeta mambo ya Kishamba mjini.
 
Eti naamini mnapata faida hata kidogo.

Mtu ambaye hafanyi biashara anachukulia biashara kirahisi sana yani.
Nafikiri huyu RC anatakiwa ajifanyie self-assessment kama anatosha kuongoza mkoa. Anaweza tu kurudi RUCU kuendelea na ufundishaji kule kuliko kukosa busara ya kuwasikiliza watu ambao wanasaidia kuingiza pato kubwa kwa mkoa na taifa. Sasa mbona Waziri hakutumia lugha ya kutumia majeshi. Hivi kwani jeshi letu halina mambo ya msingi hadi liende Kariakoo kushinikiza wafanyabiashara kuendelea kufungua maduka!! Very shameful😱:AYOOO:
 
1. Mfanyabiashara ana haki ya kufunga duka lake.

2. Mfanyabiashara hana haki ya kumlazimisha mfanyabiashara mwingine afunge duka lake.

3. Mkuu wa mkoa hana haki ya kumlazimisha mfanyabiashara afungue biashara yake.

4. Mkuu wa mkoa ana haki na wajibu wa kumlinda mfanyabiashara atakayeamua kufungua duka lake.
Hii inafanya kazi katika mazingira ya kawaida.

Linapokuja suala la migomo uelekeo huwa ni mmoja tu. Tatizo Tanzania ni ubinafsi, wewe ukiwa na kitu na unapata huduma zote hujali mwenzako anayeteseka.

Kauli huwa kila mtu apambane na hali yake. Ndiyo maana wanaokuwa kwenye mfumo wanafanya lolote wanalojisikiankwa manufaa yao.

Tukiacha hizi kasumba na kuwa na umoja bila kujali hadhi ya mtu.
 
Hii inafanya kazi katika mazingira ya kawaida.

Linapokuja suala la migomo uelekeo huwa ni mmoja tu. Tatizo Tanzania ni ubinafsi, wewe ukiwa na kitu na unapata huduma zote hujali mwenzako anayeteseka.

Kauli huwa kila mtu apambane na hali yake. Ndiyo maana wanaokuwa kwenye mfumo wanafanya lolote wanalojisikiankwa manufaa yao.

Tukiacha hizi kasumba na kuwa na umoja bila kujali hadhi ya mtu.
Kila mfanyabiashara ana haki ya kugoma au kuamua kutogoma.

Ukitaka kuleta habari za umoja hata Chalamila anaweza kukuambia tuwe na umoja wote tufungue biashara kwa manufaa ya umma. Kufanya mgomo ni ubinafsi.
 
Lakini ni lazima ifike mahali tukubali tabia ya mangi kupingana na utawala haijaanza Leo hii ya kariakoo ni mwendelezo tuu meku..

Ukikuta Kuna Mallya au Mushi amefungua duka, njoo unikate mkono wangu wa kulia.....
 
Back
Top Bottom