Chalamila awasili Kariakoo awaambia Wafanyabiashara “Fungueni maduka, Biashara sio Siasa”

Chalamila awasili Kariakoo awaambia Wafanyabiashara “Fungueni maduka, Biashara sio Siasa”

Serikali iondoe kero ya tra mtaani na Kodi zisizolipika,yaani unajikuta madeni hayaishi kwako Kila wakati unadaiwa na mamlaka za serikali. waseme bwana Fulani Kwa biashara Yako hii unatakiwa kulipa kiasi Fulani mwaka mzima,hivyo sawa,Sasa wanakukadiria vizuri,wakija wakaguzi mtaani wanakataa hayo makadirio Kwa kisingizio kwamba ni kidogo.
 
Samiah anakuchekea wewe labda. Kwangu namuona Kama incapable leader.
Anawachekea ndio maana mnamuona hivyo.Tunamsihi awashughulikie.

Enzi za Jiwe kulikuwa na task force kama zote na hakuana mtu alithibitu kupanua domo lake kuhamasisha kigomo,waliothobutu waliishia shimonpa hewa
 
Eti nini?
Inchi za jirani zenyewe haziendi bila kariakoo, bwashee kariakoo ni habari ingine kabisa
We subiri tu uone serikali itakavyohangaika
Toa upumbavu wako hapa,unadanganya nani? Huku mpanda tunaagiza mizigo Uganda hiyo Kariakoo Yako nani anaijua?

Harafu hatuhitaji kuwa na monopoly ya watu wachache hapo Kariakoo,Wachina wamalize fasta Ubungo Logistics Centre kukomesha huu upumbavu.

Na Kwa taarifa yenu tuu Sgr ikitoboa Mwanza na Kigoma ,center zitahamia huko,hapo Kariakoo mtapauka sana
 
Wafanyabiashara kama Kuna mashinikizo, please do not...Ioneeni huruma nchi yenu...Ni ukweli biashara siyo siasa. Kujiumiza uchumi inaumiza watoto na akina mama wasio na hatia
 
Hivi Serikali ikiamua kuwafutia leseni wafanyabiashara wote waliogoma ikizingatiwa tin namba zinasoma na wapigwe marufuku kokote kufanya biashara Kwa sababu za uhujumu uchumi kwani watafanya nini?
Sasa bidhaa zitafikaje mikoani au wanawanyang'anya na PESA zao,wanawapa wana-LUMUMBA,ngoma ya UKAE,waendeleze biashara?
 
Wengine humu ni akili kisoda, yaani mmiliki wa biashara umfundishe juu ya hasara au faida ya biashara yake.

Fala sana
 
Toa upumbavu wako hapa,unadanganya nani? Huku mpanda tunaagiza mizigo Uganda hiyo Kariakoo Yako nani anaijua?

Harafu hatuhitaji kuwa na monopoly ya watu wachache hapo Kariakoo,Wachina wamalize fasta Ubungo Logistics Centre kukomesha huu upumbavu.

Na Kwa taarifa yenu tuu Sgr ikitoboa Mwanza na Kigoma ,center zitahamia huko,hapo Kariakoo mtapauka sana
Kwani uganda wana bahari? Mizigo yao si wanapitishia kariakoo?
Yaani kariakoo wkigoma ni labda mwende china
 
Chalamila amekuwa mwalimu wa biashara, wakati hamiliko hata genge la nyanya.

Viongozi wetu ni shallow mind. Yeye alistahili kwenda kutoa majibu ya malalamiko yao, siyo habari ya hasara. Anajua kuwa unaweza ukafungua duka na ukauza kwa hasara?
 
Walipe Kodi. Zinahitajika kununua madawa na huduma muhimu

Acha kudanganya watu. Pesa nyingi inatumika kwenye anasa za viongozi, kama magari ya kifahari, kuzurura na wasanii kwa ndege, na ufisadi wa viongozi, kuliko kwente kununua dawa mahospitalini.

Kuna wakati report ilionesha ufisadi ulikuwa unafikia mpaka trillion 2 kwa mwaka mmoja wakati bajeti nzima ya afya haikuwa inafika hata shilingi trillion 1.
 
Back
Top Bottom