The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
Huyu ni WA kuzimwa haraka Sana,hapa anachonganisha Rais na wananchi..#HABARI Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Albert Chalamila amesema kuwa anaunga mkono mabadiliko ya Katiba Mpya akieleza, Katiba ya sasa inasema Rais akifa Makamo ndiye anakua Rais, amedai inawezekana akapatikana Makamu wa Rais mchawi akamroga Rais ili yeye awe Rais wa nchi.
View attachment 2070602
Si ndio hapo ni ujinga na upumbavu na chuki tuu za majitu kama kina Chalamila yaliyonufaika na Mwendazake sasa yako nje yanaleta fitina.Mkuu mimi nimepata bahati ya kufika nchi karibu 60 duniani.
Nilijifunza katiba nyingi wameweka hiko kipengele ili kuondoa matumizi makubwa ya fedha katika chaguzi lkn pia kuweza kumalizia kile ambacho Rais alikuwa ameplan.
Ni ngumu sana kwa Makamu wa Rais kumdhuru Rais hii ni kwa sababu, MAKAMU wa Rais hawi huru muda wote, simu zake ziko tracked nyakati zote, ulinzi anapewa na huyo Rais na mara zote hupewa watu ambao ni Royal kwa Rais.
Ni bora hiyo sheria iwepo kuliko, kufanya chaguzi kila uchao. NCHI zote za kidemokrasia hutumia njia hiyo ya Makamu wa Rais kushika kiti ikiwa Rais atashindwa kuendelea na majukumu yake. Haikuwekwa kwa bahati mbaya.
#HABARI Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Albert Chalamila amesema kuwa anaunga mkono mabadiliko ya Katiba Mpya akieleza, Katiba ya sasa inasema Rais akifa Makamo ndiye anakua Rais, amedai inawezekana akapatikana Makamu wa Rais mchawi akamroga Rais ili yeye awe Rais wa nchi.
View attachment 2070602
Loud and clear! kwa hiyo JPM aliuawa!?? Kwa kulogwa??? Huko CCM kuna mataahira waliolewa harufu ya kunusa matako ya wakubwa!#HABARI Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Albert Chalamila amesema kuwa anaunga mkono mabadiliko ya Katiba Mpya akieleza, Katiba ya sasa inasema Rais akifa Makamo ndiye anakua Rais, amedai inawezekana akapatikana Makamu wa Rais mchawi akamroga Rais ili yeye awe Rais wa nchi.
View attachment 2070602
Hii nchi inanishangaza sana. Watu hawajiamini hasa wanasiasa wakiwa kwenye nafasi zao wanaunga mkono kila kitu. Wakiwa nje au kiongozi wao akitoka basi wanamponda na kumkana! Hawana wanaloamini na hakuna wasiloamini. Mungu tusaidie!#HABARI Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Albert Chalamila amesema kuwa anaunga mkono mabadiliko ya Katiba Mpya akieleza, Katiba ya sasa inasema Rais akifa Makamo ndiye anakua Rais, amedai inawezekana akapatikana Makamu wa Rais mchawi akamroga Rais ili yeye awe Rais wa nchi.
View attachment 2070602
😀😀 Labda Hao wengi wenye tabia kama zako mko kwenye kundi hili hapaAcha ujinga wako nataka mtambue kabisa huyo mama yenu watu wengi tu hawamkubali!
Ninashauri kwa kauli hii’ Chalamila apatiwe PhD ya Udom. Amesema ukweli 100%#HABARI Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Albert Chalamila amesema kuwa anaunga mkono mabadiliko ya Katiba Mpya akieleza, Katiba ya sasa inasema Rais akifa Makamo ndiye anakua Rais, amedai inawezekana akapatikana Makamu wa Rais mchawi akamroga Rais ili yeye awe Rais wa nchi.
View attachment 2070602
Wala hahitaji uteuzi ndo maana anafunguka ukweliYani huyo hata kama mama alikuwa anafikilia kumrudisha ndio basi amejichimbia kaburi
Yakimpata yaliyompata Ndu gay asije laumu.Wala hahitaji uteuzi ndo maana anafunguka ukweli
Kwani Katiba mpya ni ya kumkomoa mtu? Kwamba italeta chakula mezani?wengi walioko madarakani ni wanafiki tu katiba mpya wanataka ila wanaogopa kufungua mdomo.
#HABARI Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Albert Chalamila amesema kuwa anaunga mkono mabadiliko ya Katiba Mpya akieleza, Katiba ya sasa inasema Rais akifa Makamo ndiye anakua Rais, amedai inawezekana akapatikana Makamu wa Rais mchawi akamroga Rais ili yeye awe Rais wa nchi.
View attachment 2070602
Kwamba mnataka mtu katili kama JPM ndio maendeleo yatakuja? Aisee naombea atokee zaidi ya huyo tuone maendeleo yatakavyokuja.Katiba ya mwaka 1977 ndio ilitafsiriwa na wahuni waliopo CCM wakapata nafasi ya kufanya yao kwa JPM
Once a cabbage is always a cabbage. Alikuwa kwenye kilengeo cha mama muda mrefu huyo.Yaani huyo hata kama mama alikuwa anafikiria kumrudisha ndio basi amejichimbia kaburi
Usinijumuishe hakuwa hero wangu,alikuwa ni zero brain who knows nothing about economics and leadershipRest well our hero President John Pombe Magufuli
Mungu ibariki Tanzania Mungu mbariki rais wetu Samia Suluhu Hassan na wasaidizi wake
#HABARI Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Albert Chalamila amesema kuwa anaunga mkono mabadiliko ya Katiba Mpya akieleza, Katiba ya sasa inasema Rais akifa Makamo ndiye anakua Rais, amedai inawezekana akapatikana Makamu wa Rais mchawi akamroga Rais ili yeye awe Rais wa nchi.
View attachment 2070602