Chalamila: Katiba Mpya ni muhimu, Katiba ya sasa inawezekana akapatikana Makamu wa Rais mchawi akamroga Rais ili yeye awe Rais wa nchi

Chalamila: Katiba Mpya ni muhimu, Katiba ya sasa inawezekana akapatikana Makamu wa Rais mchawi akamroga Rais ili yeye awe Rais wa nchi

#HABARI Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Albert Chalamila amesema kuwa anaunga mkono mabadiliko ya Katiba Mpya akieleza, Katiba ya sasa inasema Rais akifa Makamo ndiye anakua Rais, amedai inawezekana akapatikana Makamu wa Rais mchawi akamroga Rais ili yeye awe Rais wa nchi.

View attachment 2070602
Huyu ni WA kuzimwa haraka Sana,hapa anachonganisha Rais na wananchi..

Kwamba Makamu wa Rais anaweza kufanyaje? Hizi tayari ni fitina maana Duniani kote Makamu wa Rais lazima achukue nafasi ya Rais pindi kukitokea la kutokea.

Sasa tujiulize je hayo mabadiliko ya Katiba yatamtoa Makamu wa Rais au?
 
Mkuu mimi nimepata bahati ya kufika nchi karibu 60 duniani.

Nilijifunza katiba nyingi wameweka hiko kipengele ili kuondoa matumizi makubwa ya fedha katika chaguzi lkn pia kuweza kumalizia kile ambacho Rais alikuwa ameplan.

Ni ngumu sana kwa Makamu wa Rais kumdhuru Rais hii ni kwa sababu, MAKAMU wa Rais hawi huru muda wote, simu zake ziko tracked nyakati zote, ulinzi anapewa na huyo Rais na mara zote hupewa watu ambao ni Royal kwa Rais.

Ni bora hiyo sheria iwepo kuliko, kufanya chaguzi kila uchao. NCHI zote za kidemokrasia hutumia njia hiyo ya Makamu wa Rais kushika kiti ikiwa Rais atashindwa kuendelea na majukumu yake. Haikuwekwa kwa bahati mbaya.
Si ndio hapo ni ujinga na upumbavu na chuki tuu za majitu kama kina Chalamila yaliyonufaika na Mwendazake sasa yako nje yanaleta fitina.

Samia piga ban Hawa mbwa, maana huu uhuru umewapatia wanatumia vibaya.
 
#HABARI Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Albert Chalamila amesema kuwa anaunga mkono mabadiliko ya Katiba Mpya akieleza, Katiba ya sasa inasema Rais akifa Makamo ndiye anakua Rais, amedai inawezekana akapatikana Makamu wa Rais mchawi akamroga Rais ili yeye awe Rais wa nchi.

View attachment 2070602

Kama kuna ukweli fulani vile.
 
#HABARI Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Albert Chalamila amesema kuwa anaunga mkono mabadiliko ya Katiba Mpya akieleza, Katiba ya sasa inasema Rais akifa Makamo ndiye anakua Rais, amedai inawezekana akapatikana Makamu wa Rais mchawi akamroga Rais ili yeye awe Rais wa nchi.

View attachment 2070602
Loud and clear! kwa hiyo JPM aliuawa!?? Kwa kulogwa??? Huko CCM kuna mataahira waliolewa harufu ya kunusa matako ya wakubwa!
 
#HABARI Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Albert Chalamila amesema kuwa anaunga mkono mabadiliko ya Katiba Mpya akieleza, Katiba ya sasa inasema Rais akifa Makamo ndiye anakua Rais, amedai inawezekana akapatikana Makamu wa Rais mchawi akamroga Rais ili yeye awe Rais wa nchi.

View attachment 2070602
Hii nchi inanishangaza sana. Watu hawajiamini hasa wanasiasa wakiwa kwenye nafasi zao wanaunga mkono kila kitu. Wakiwa nje au kiongozi wao akitoka basi wanamponda na kumkana! Hawana wanaloamini na hakuna wasiloamini. Mungu tusaidie!
 
Acha ujinga wako nataka mtambue kabisa huyo mama yenu watu wengi tu hawamkubali!
😀😀 Labda Hao wengi wenye tabia kama zako mko kwenye kundi hili hapa

Screenshot_20220105-075704.png
 
#HABARI Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Albert Chalamila amesema kuwa anaunga mkono mabadiliko ya Katiba Mpya akieleza, Katiba ya sasa inasema Rais akifa Makamo ndiye anakua Rais, amedai inawezekana akapatikana Makamu wa Rais mchawi akamroga Rais ili yeye awe Rais wa nchi.

View attachment 2070602
Ninashauri kwa kauli hii’ Chalamila apatiwe PhD ya Udom. Amesema ukweli 100%
 
wengi walioko madarakani ni wanafiki tu katiba mpya wanataka ila wanaogopa kufungua mdomo.
 
Katiba ya mwaka 1977 ndio ilitafsiriwa na wahuni waliopo CCM wakapata nafasi ya kufanya yao kwa JPM
 
#HABARI Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Albert Chalamila amesema kuwa anaunga mkono mabadiliko ya Katiba Mpya akieleza, Katiba ya sasa inasema Rais akifa Makamo ndiye anakua Rais, amedai inawezekana akapatikana Makamu wa Rais mchawi akamroga Rais ili yeye awe Rais wa nchi.

View attachment 2070602

Rest well our hero President John Pombe Magufuli

Mungu ibariki Tanzania Mungu mbariki rais wetu Samia Suluhu Hassan na wasaidizi wake
 
Katiba ya mwaka 1977 ndio ilitafsiriwa na wahuni waliopo CCM wakapata nafasi ya kufanya yao kwa JPM
Kwamba mnataka mtu katili kama JPM ndio maendeleo yatakuja? Aisee naombea atokee zaidi ya huyo tuone maendeleo yatakavyokuja.

Japo wenye akili najua watazuia huu ujinga wa wajinga wengi ila natamani atokee mtu kama hiyo hii Nchi ikiwa kama Zambambwe siku moja Ndio akili zitakaa sawa seems kuvaa viraka hamkuridhika na maendeleo hayakupatikana.
 
Rest well our hero President John Pombe Magufuli

Mungu ibariki Tanzania Mungu mbariki rais wetu Samia Suluhu Hassan na wasaidizi wake
Usinijumuishe hakuwa hero wangu,alikuwa ni zero brain who knows nothing about economics and leadership
 
Huyu naye njaa inamsumbua,sasa atuambie katiba isemeje baada ya kifo Cha rais,je turudi kwenye uchaguzi mkuu au jeshi ndo liongoze nchi?

Huyu naye hamnazo Kama alivyokuwa Gofrey zambi yule mpuuzi
 
Back
Top Bottom