peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
JK yuko magogoni msichokijuaKwamba mnataka mtu katili kama JPM ndio maendeleo yatakuja? Aisee naombea atokee zaidi ya huyo tuone maendeleo yatakavyokuja.
Japo wenye akili najua watazuia huu ujinga wa wajinga wengi ila natamani atokee mtu kama hiyo hii Nchi ikiwa kama Zambambwe siku moja Ndio akili zitakaa sawa seems kuvaa viraka hamkuridhika na maendeleo hayakupatikana.