Chalamila: Vibaka wafanywe 'skeleton' za maabara iwe fundisho kwa wengine

Chalamila: Vibaka wafanywe 'skeleton' za maabara iwe fundisho kwa wengine

Huyu kuchaa mbona wanaokula kwa urefu wa kamba ana waacha wana kula kiyoyozi kwenye ofisi za wananchi, vibaka nao wanakula kuligana na urefu wa kamba yao.
Ukisikia dalili za mtu kuwa choko ndio hizi.
Washakutoa nyuzi dada yangu jaap
 
Siku kibaka akikuchoma bisi bisi shingo au kisu cha tumbo kisa tu kukuibia sim ndio utamuelewa Mkuu wa Mkoa. Jamaa yangu pale Sinza alipigwa nondo ya uso jamaa wakaondoka na sim na wallet japo amepona lakini paji la uso limebonyea mpaka leo.
Akili za wabongo bwana, sijui hata huaga zikoje. Imagine mtu anamtetea KIBAKA, anataka kibaka awe na haki. Naunga mkono hoja ya RC.
Kabla Magufuli hajaingia madarakani, kulikua hadi na utekaji mabasi kwa baadhi ya mikoa, ujambazi wa kutumia silaha ulikua mkubwa tu; jamaa alivo waagiza police "wawalaze chini haraka wezi wote" wizi na ujambazi ulikomeshwa kwa asilimia kubwa sana. Kibaka unataka sheria, sheria ipi? Mahakamani atashinda na mtaani atarudi na atasumbua upya.
 
ameliagiza Jeshi la Polisi kuwachukulia hatua kali watu wote wanaojihusisha na uporaji 'vibaka' katika maeneo mbalimbali ya jiji hilo hususani vibaka wa Daraja la Selenda
Isiishie kwa vibaka hadi wauza unga(mihadarati) wakubwa kwa wadogo, na wafanya ufisadi kwenye fedha za Umma.
 
Kuna pipo humu ni watu wazima ki umri na ni smart sana kuchwani ila utakuta wanatetea tena vibaka..

Then wanakuja na hoja weak mno..
Mara ufisadi
Mara sijui hiki au kile.

Vibaka , wezi, majambazi na nk jamii ya hao watu ni wanarudisha sana maendeleo nyuma hasa kwa sisi vijana wenzao.

Imagine mtu unajitafuta kwa kuvuja jasho alafu yeye in 5mins anataka kuchukua kila kiti chako na bado anakuumiza,

Hapa mnakuja kutetea watu kama hao hivi hii inaingia akilini.
Hata kama ajila hakuna ndio uibe au ukabe yaani kukosa kwako ajira ndio univunjie mimi fremu yangu..

Mnasema polisi wadeal na mafisadi..
Kuna relationship gani hapo kati ya ufisadi na hao vibaka...?

Kuna mambo mengine mpaka yakutokee ndo utajua hawa watu ni hatari kiasi gani.


Mi simshangai huyo mkuu wa mkoa kusema hvo japo kasema tu sio kama katilia maanani hilo suala ila hawa vibaka wakikamatwa jela tuu inawatosha
 
Back
Top Bottom