Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
- Thread starter
- #21
Hoja zinakuwa nzuri ila zinaharibiwa na maneno kama haya.
Kuna mambo yanahitaji Maneno kama hayo.
Ingawaje nimekuelewa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hoja zinakuwa nzuri ila zinaharibiwa na maneno kama haya.
Hivi ninani aliye wahi kupata huduma bure!Watu wanataka bure tu kila kitu!
Yani hata wakipeana mimba kwa starehe zao wanataka serikali iwahudumie bure!
Unataka kusema huwezi kupata 50,000/= Kwa miezi 8? Bwashe mimba siyo chafya
Inasikitisha sanaHizo sera kama zimetungwa kijinga jinga unategemea ufanisi?
Kwamba Sera za burebure ziwe na ufanisi uliona wapi hayo mambo?
Hivi ninani aliye wahi kupata huduma bure!
Kinacho lalamikiwa ni mawasilisho ya hoja na si hoja.
Mkuu una uhakika nchi yetu maskini? Binafsi nadhani ni usimamiI wetu hafifu au mbovu katika kusimamia rasilimali zetu hasa za asili [madini, gasi,mazao n.k ] na hivyo kushindwa linda au jenga uchumi wa mwananchi wa kawaida. Embu jiulize uchumi wa wa Tanzania umehodhiwa na kina nani kwa asilimia kubwa? Anzia visiwani mpaka upande wa bara, utaniambia. Jambo lingine ni vipaumbele. Hivi mbona hela za kufanya issues ambazo mwananchi wa kawaida hafaidiki nazo mbona zinapatikana na wanaozifuja hwajali wala kuwaonei huruma hawa wanaohangaika zaidi ya kutaka wawachague?
Hospital ni ya serikali,hahiitaj kuwa na bima wakat wa kujifungua huduma ni bure,unanunua vifaa ambavyo hata elfu 20,000 haifikAlikuwa na Bima?
Vifaa vya kujifungulia ni shi.ngapi?
Hoja hapo ni kuwa utaratibu wa malipo ulikuwaje, je walimpa control number au ni mkononi.
Ukikata hiyo bima unaitumia hapo hapo au unachangia kwa muda wa miaka miwili kwanza?
Hebu weka hapa hivyo vigezo vya hiyo bima ya elfu 40 halafu tuone mtu akipata ujauzito ndani ya miezi 9 kama ita cover huduma za kujifungua.
Tatizo sio hio Tsh 50,000 tatizo ni kauli ya huyo RC
Wazeee wetu waliokua na uchumi average sana mama akiwa mjamzito wanakua na maandalizi mengi sana kuanzia fedha, usafiri, vyakula siku za awali za uzazi( ndizi, nyama mara nyingi wanachinja kuku kadhaaa baadae mbuzi) na wamama nao wanakua washajua ataenda na nani hospital na nani atamhudumia akishajifunguuaAlafu hiyo Bima Sisi wengine wabangaizaji tunaitumia kama dharura hasa tukiona NHIF inatuletea mushkeli. Yaani kipato kinazingua
Kama umasikini wako ni ule mbaya, baai unashauriwa kuvaa condom.Robert Heriel Mtibeli
Huenda haujui Umasikini au umekuzwa katika mfumo wa mafanikio acha nikae kimya.
Kwani unavyosema serikali hiyo pesa wanaipata wapi. Huyo Chalamila analipwa na nani au hayo ma v8 wanayotembelea walilima au waliyachimba wapi. Shukuruni bado asilimia kubwa mnaongoza wajingaWatu wanataka bure tu kila kitu!
Yani hata wakipeana mimba kwa starehe zao wanataka serikali iwahudumie bure!
Serikali isikwepe jukumu lake.
Jamani tembeeni muone, kuna watu wana maisha magumu ukimwambia aitoe 40 kwa pamoja ni bora umpige kisu, HANA, kuna watu wana maisha magumu huko.
Serikali itoe hudumu muhimu ikiwezekana bure, elimu bure, afya bure inawezekana kabisa.. Mkuu wa wilaya, sijui nani nani wanatembelea gari za milioni 400 huko, je pesa hizo hazitoshi kuhudumia afya na elimu wilaya husika!?
Na huduma hizo zisiwe bure tu ila ziwe ni bora kabisa.
Aisee hili taifa ni kutafuta hela halafu kaa kimya watu akili bado hazijawakaa!, unazungumzia bima nawakati hospitali haina vifaa..??! mbona vitu viwili tofauti nawakati wenye bima tu ya mapesa kushinda hiyo wanapataga kasheshe haya huyo wa 40,000!. watanzania baadhi kuna nati zimelega mahali!.