Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
- Thread starter
- #41
Wazeee wetu waliokua na uchumi average sana mama akiwa mjamzito wanakua na maandalizi mengi sana kuanzia fedha, usafiri, vyakula siku za awali za uzazi( ndizi, nyama mara nyingi wanachinja kuku kadhaaa baadae mbuzi) na wamama nao wanakua washajua ataenda na nani hospital na nani atamhudumia akishajifunguua
Hivyo ndivyo inavyotakiwa.