Chalinze: Mtoto ajinyonga baada ya kukatazwa na mama yake asiende kwenye Kigodoro

Chalinze: Mtoto ajinyonga baada ya kukatazwa na mama yake asiende kwenye Kigodoro

Screenshot_20230301-223906.png
 
Hii ni moja ya sababu watu wa pwani tunapigwa sana gap la kielimu na watu wa bara, vigodoro ,midundiko, vanga tunaiabudu sana aisee.

Zamani ilikuw mtoto haonekani shule miezi minne kumbe kawekwa mwali ndani....

Watoto kama hawa wanaishi na mentality hiyohiyo ya kuabudu vigodoro mpaka ukubwani
Siku hizi hadi bara nako kuna mikesha, watoto wanakesha hadi wengine wanasinzia darasani. Nchi hii...
 
Hii ni moja ya sababu watu wa pwani tunapigwa sana gap la kielimu na watu wa bara, vigodoro ,midundiko, vanga tunaiabudu sana aisee.

Zamani ilikuw mtoto haonekani shule miezi minne kumbe kawekwa mwali ndani....

Watoto kama hawa wanaishi na mentality hiyohiyo ya kuabudu vigodoro mpaka ukubwani
Kuna mtumishi wa umma alioa Morogoro, akapata uhamisho kwenda Iringa kikazi, mkewe akagoma katakata kuhama pamoja na mumewe kisa ni kwamba ikitokea shughuli nyumbani ushiriki wake utakuwa hafifu hataweza kurudi kwa wakati au asirudi kabisa,
 
VITU VINAVYOATHIRI MALEZI NA TABIA MBOVU ZA WATOTO KULIKO UMRI WAO.

❌ Tamaduni na ngoma za hovyo zisizo na maadili kama vigodoro na singili.

❌ Nyumba yenye vyumba vichache ambapo watoto husikia faragha za wazazi .

❌ Baadhi ya wazazi / wakubwa hasa wa kike kupenda kuweka vikao vya majungu, kuongea mbo mazito ya mahusiano, michepuko Yao na mbinu za kumbana/ kumchuna mwanaume bila kujali kuwa watoto wapo na wanakariri neno kwa neno.

❌ Tamthilia zinazoonyeshwa kwenye Tv masaa 24 wanawake wenye nyumba/ wadada wa kazi na wanawake in general wanaziangalia masaa 24, tena wapo na watoto wanaofurahia na kuchangiwa kinachoendelea. Tamthilia hizo Zina theme nyingi za mapenzi na mahusiano.

❌ Mahubiri kwenye nyumba za ibada wale ambao hawatengi ibada za watoto Bali wote huchanganyikana. Sasa, asilimia kubwa ya mahubiri Yao ni mapenzi na mahusiano. Wanaongea mambo mazito ama wanapo kemea tabia Fulani au wanapomasisha mahusiano, wakati wanaongea hayo watoto wadogo wapo.

❌ Wakitoka hapo wanaokwenda kufanyia utafiti waliyoyasikia na hapo wanakwenda kuwa influence wenzao ambao hawajui chochote na hivyo kujaribu maadili ya jamii nzima
Sahihi 100%
 
VITU VINAVYOATHIRI MALEZI NA TABIA MBOVU ZA WATOTO KULIKO UMRI WAO.

❌ Tamaduni na ngoma za hovyo zisizo na maadili kama vigodoro na singili.

❌ Nyumba yenye vyumba vichache ambapo watoto husikia faragha za wazazi .

❌ Baadhi ya wazazi / wakubwa hasa wa kike kupenda kuweka vikao vya majungu, kuongea mbo mazito ya mahusiano, michepuko Yao na mbinu za kumbana/ kumchuna mwanaume bila kujali kuwa watoto wapo na wanakariri neno kwa neno.

❌ Tamthilia zinazoonyeshwa kwenye Tv masaa 24 wanawake wenye nyumba/ wadada wa kazi na wanawake in general wanaziangalia masaa 24, tena wapo na watoto wanaofurahia na kuchangiwa kinachoendelea. Tamthilia hizo Zina theme nyingi za mapenzi na mahusiano.

❌ Mahubiri kwenye nyumba za ibada wale ambao hawatengi ibada za watoto Bali wote huchanganyikana. Sasa, asilimia kubwa ya mahubiri Yao ni mapenzi na mahusiano. Wanaongea mambo mazito ama wanapo kemea tabia Fulani au wanapomasisha mahusiano, wakati wanaongea hayo watoto wadogo wapo.

❌ Wakitoka hapo wanaokwenda kufanyia utafiti waliyoyasikia na hapo wanakwenda kuwa influence wenzao ambao hawajui chochote na hivyo kujaribu maadili ya jamii nzima
Mahubiri ya xxx? Sijakuelewa kabisa
 
Mahubiri ya xxx? Sijakuelewa kabisa
Baadhi ya wahubiri na watoa mawaidha wanawateka wasikilizaji kwa kuzungumzia zaidi masuala ya mahusiano kuliko mafundisho ya kiimani, kwamfano mhubiri mmoja alisema yeye binafsi anapenda mizigo mizito mizito iliyojazia neema, hapenndi akina Miss Songea and the like
 
Maisha yenyeww bongo yakowapi , mpaka watoto wnajikuta wana stress, heri mtu akakeshe na singeli huko na amapiano! mkimzuia ndo kama hivyo mapepo ya mawazo yana-take over watu wanajinyonga.Hasara kwa taifa
 
Mahubiri kwenye nyumba za ibada wale ambao hawatengi ibada za watoto Bali wote huchanganyikana. Sasa, asilimia kubwa ya mahubiri Yao ni mapenzi na mahusiano. Wanaongea mambo mazito ama wanapo kemea tabia Fulani au wanapomasisha mahusiano, wakati wanaongea hayo watoto wadogo wapo.
Imewahi kusikia mawaidha ya kipoozeo? Unadhani anayatolea wapi hayo mahubiri?
Yaani ulipoandika hivi ni kama kwamba haya ndio mawaidha tunayopewa misikitini. Mimi mbona sijawahi sikia "mahubiri" ya "mapenzi na mahusiano" kwa wingi kama unavyodai huko misikitini? Na darsa ninazosikiliza sio za mada hiyo na zile darsa za ndoa huwa inazungumzwa ilmu tu ya Kishari'ah kuhusiana nayo na adabu zake.

Halafu huyo Kipozeo ambaye vi clip vyake vilisambaa sana miongoni mwenu mbona ni mtu mdogo tu katika Dini hii, ambaye kuna watu wengi hatumzingatii.

Na wala Dini (Uislam) haujawahi kuwa sababu, kwa namna yoyote ile, ya kuenea kwa hivi vigodoro, singeli na ushetani mwengine mfano wake. Ukweli ni kwamba, watu wakirudi katika Dini, vitu hivi vinapotea. Vitu hivi vinamea kwa watu kuacha kufuata Dini.

Hivyo acha upotoshaji. Huwa unaropoka sana dhidi ya Uislam na Waislam.
 
Back
Top Bottom