Chalinze: Mtoto ajinyonga baada ya kukatazwa na mama yake asiende kwenye Kigodoro

Chalinze: Mtoto ajinyonga baada ya kukatazwa na mama yake asiende kwenye Kigodoro

Kuna Bibi na Babu mmoja humu huwa wanasifu hizi Mila za Pwani, wakituaminisha ustaarabu ulianzia huku.
pwani morogoro tanga vigodoro na vikoba ndiko vilipo zaliwa mama mtu mzima miaka 30 avua dera anagonoka mbele ya watoto serikali za mitaa wakiona mkuu wa wilaya akiona hatari
 
Huku vijana wanahamasishwa kuoa, huku kizazi cha kuolewa kikisambaratika

 
Back
Top Bottom