Analyse
JF-Expert Member
- Jan 19, 2014
- 17,637
- 47,413
Kwann?😅😅😅Angezaliwa ushuani asingefariki .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwann?😅😅😅Angezaliwa ushuani asingefariki .
Hako kabinti hapo kako makini kweli kweli na scene nzima hapo!
Vitoto vinaanza tombana miaka 5Huyo ni ana miaka kumi kajinyonga kisa kigodoro, sipati picha watoto wa secondary
Labda ustaatabuKuna Bibi na Babu mmoja humu huwa wanasifu hizi Mila za Pwani, wakituaminisha ustaarabu ulianzia huku.
Yaani ulipoandika hivi ni kama kwamba haya ndio mawaidha tunayopewa misikitini. Mimi mbona sijawahi sikia "mahubiri" ya "mapenzi na mahusiano" kwa wingi kama unavyodai huko misikitini? Na darsa ninazosikiliza sio za mada hiyo na zile darsa za ndoa huwa inazungumzwa ilmu tu ya Kishari'ah kuhusiana nayo.
Halafu huyo Kipozeo ambaye vi clip vyake vilisambaa sana miongoni mwenu mbona ni mtu mdogo tu katika Dini hii, ambaye kuna watu wengi hatumzingatii.
Na wala Dini (Uislam) haujawahi kuwa sababu, kwa namna yoyote ile, ya kuenea kwa hivi vigodoro, singeli na ushetani mwengine mfano wake. Ukweli ni kwamba, watu wakirudi katika Dini, vitu hivi vinapotea. Vitu hivi vinamea kwa watu kuacha kufuata Dini.
Hivyo acha upotoshaji. Huwa unaropoka sana dhidi ya Uislam na Waislam.
Jana Pemba, polisi kajiua baada ya kashfa za kujianika/ kuanikwa mtandaoni! Haya matukio yanatisha na kusikitisha!Juzi mbeya
Leo chalinze
Kesho ni kuuombea kwa Mungu manake usijeshangaa inakuja kwako
Huyo kauwawa hebu acheni ujinga.., niambieni Dunia hii ni wapi umewahi kusikia mtoto wa miaka 10 kajinyonga?Mtoto aliyejulikana kwa jina la Dotto mwenye miaka 10 mkazi wa kijiji cha Chalinze Mzee wilaya ya Chalinze amekutwa amejinyonga usiku wa kuamkia leo.
Imeelezwa kuwa amejinyonga baada ya kukatazwa na mama yake mzazi asiende kwenye muziki (kigodoro).
Chanzo: EATV
Ndo Yule jamaa shoga au.Jana Pemba, polisi kajiua baada ya kashfa za kujianika/ kuanikwa mtandaoni! Haya matukio yanatisha na kusikitisha!
😂😂Baadhi ya wahubiri na watoa mawaidha wanawateka wasikilizaji kwa kuzungumzia zaidi masuala ya mahusiano kuliko mafundisho ya kiimani, kwamfano mhubiri mmoja alisema yeye binafsi anapenda mizigo mizito mizito iliyojazia neema, hapenndi akina Miss Songea and the like
Kizaz cha singeli bongo flevaMungu nusuru kizazi hiki cha watoto wanaojinyonga.
We waweke tu mziki utaona nyomi hilo linakuja mauno yanaanzaWamekumbwa na nini hawa watoto
Watoto sahv ndiyo wanachokifata kwenye matamasha ya wasanii kuona mknd na mauno
Vitoto siku hizi ukizubaa vinakutongoza.Watoto sahv ndiyo wanachokifata kwenye matamasha ya wasanii kuona mknd na mauno
Ova
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]We waweke tu mziki utaona nyomi hilo linakuja mauno yanaanza
Ova
Mchakate alafu hama mjinVitoto siku hizi ukizubaa vinakutongoza.
Utasikia ila we uncle mzuri, naomba apple punch....
Acha ubahili uncle nipe ipo siku nitakupa utakachotaka.
Darasa la 7 huyo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] makubwaaaa.Vitoto siku hizi ukizubaa vinakutongoza.
Utasikia ila we uncle mzuri, naomba apple punch....
Acha ubahili uncle nipe ipo siku nitakupa utakachotaka.
Darasa la 7 huyo
Usicheke we siku moja tembelea Kawe Beach utaamini nilichosema.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] makubwaaaa.
Dogo kaona isiwe kesii Bora Aage mashindanoAisee