Chalinze: Mtoto ajinyonga baada ya kukatazwa na mama yake asiende kwenye Kigodoro


Haya mawaidha kwenye video yanatolewa wapi ? Je hakuna watoto waliopo hapo kwenye mawaidha haya
 

Attachments

  • videoplayback(5).mp4
    1.2 MB
Juzi mbeya
Leo chalinze
Kesho ni kuuombea kwa Mungu manake usijeshangaa inakuja kwako
Jana Pemba, polisi kajiua baada ya kashfa za kujianika/ kuanikwa mtandaoni! Haya matukio yanatisha na kusikitisha!
 
Huyo kauwawa hebu acheni ujinga.., niambieni Dunia hii ni wapi umewahi kusikia mtoto wa miaka 10 kajinyonga?
Uchunguzi ufanyike
 
πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Watoto sahv ndiyo wanachokifata kwenye matamasha ya wasanii kuona mknd na mauno

Ova
Vitoto siku hizi ukizubaa vinakutongoza.

Utasikia ila we uncle mzuri, naomba apple punch....
Acha ubahili uncle nipe ipo siku nitakupa utakachotaka.

Darasa la 7 huyo
 
Vitoto siku hizi ukizubaa vinakutongoza.

Utasikia ila we uncle mzuri, naomba apple punch....
Acha ubahili uncle nipe ipo siku nitakupa utakachotaka.

Darasa la 7 huyo
Mchakate alafu hama mjin
Awakawii kukujazia nzi
 
Vitoto siku hizi ukizubaa vinakutongoza.

Utasikia ila we uncle mzuri, naomba apple punch....
Acha ubahili uncle nipe ipo siku nitakupa utakachotaka.

Darasa la 7 huyo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] makubwaaaa.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] makubwaaaa.
Usicheke we siku moja tembelea Kawe Beach utaamini nilichosema.
Vitoto vinakuja chuchu zimesimama hatari, chini wamebana vinatembea kwa kujibenua

Utasikia mi bwana angu leo haji beach, ngoja nitafute mtu anipe hela nichukue boya nikaogelee naye
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…