Kweli bila kuwasahau Nyoso maana Cheche angeachiwa tuLots of credits to kaseja in this match
shukran mkuu sasa achilia maana ulikuwa umeminya kweli...
Jamaa ana nuksi yule
kipa bora kasejaleo kwangu nna part jamani karibuni
furaha kwenda mbele
Bodo akina chuji, Boban, MaftaHongera Kaseja maana ulisema Maximo ataenda na wewe utabaki. Sasa yametimia. Pili tunashukuru Mungu mzee wa nuksi hakuwa uwanjani. Tatu hongera sana Tanganyika
beki bora Nsajigwa
sijui kwanini Tegete amekuwa haitwi ila Mgosi msimu ulio pita ameshuka sanaAjabu ni best striker vilevile (pamoja na ushindi kocha awe anawaita kwenye timu wafungaji tulio nao.. Mgossi, Tegeta etc.)