Mpira umekwisha malawi wametolewa kwenye masindano kwa kufungwa goli moja na Ivory Coast....
Kesho Zanzibar na Uganda saa nane na saa 10 ni kati ya Kilimanjaro na Rwanda
Asante wanaspoti kwa kutuhabarisha . Mwenzio akinyolewa weye tia maji mmh1 sijui kesho Bara na Visiwani tutapona! Ninawasiwasi na mipira ya akina Nsajigwa