Challenges nilizoziface ndani ya jf tangu nimejoin mpaka sasa

Status
Not open for further replies.
Nilishawahi kuambiwa "Watu wote JF wananigwaya" .....kwa hiyo thread yako lazima iuze :smile-big:

Mie kukugwaya sio challenge kwangu bali ni excitement.
Labda pia nikufungulie thread ya excitements ninazopata toka kwako?
I am sure kwa hizo excitements I will be bringing others over.
 
semeni tu ukweli,kama mmeshavuana nguo na hamkupenda mnavyoviona.......mmeamua kujivua gambazzzzzz....mie sijaona sababu zaidi ya hio lol.....:shock:,aisee huyo aliyekopa akaingia mitini kaniacha hoi kumbe mpo humu kupiga madili?..........inabidi ibvisible aweke tangazo.....HAPA STORI TU, KULA KWENU lol

pole Husninyo ila usiondoke,watu wa online ni sawa na hao unaokutana nao mitaani,kama si mwangalifu na wao watakuliza tu.....i think topic yako imekuonyesha mwenzetu ulikuwa hapa sio kuposti tu bali hunting pia for someone/a man which is not a bad thing...ila mie nakushauri huko uliko usijifungie peke yako.....jichanganye na majirani...jenga marafiki kibao wa company....hautofeel urgent uwe na mtu....hivyo maisha yako online yatakuwa complete....upweke ndio unaosukuma watu waaamini strangers...
 
Dah! Nimesoma comments zote ila sitoweza kujibu moja moja.
Kuna mliosema nalia lia ili nionewe huruma, sio kweli maana sioni nionewe huruma ya nini wakati maamuzi nimeshayafanya!. Humu tunajifunza kupitia kwa watu. Ningeweza kuondoka kimya kimya ila nisingependa kuondoka bila kuwaaga marafiki mkajiuliza kama nimekufa au lah (kuna rafiki yangu nae ametokomea na amenipa mashaka kwa muda mrefu).
Najua wengine mtakuwa mmejifunza mengi hapo, na wale wanaohisi ni habari ya kutunga wanakosea.
Sijaja kumlaumu yoyote isipokuwa nilipenda kushare nanyi yaliyonitokea (kama kuna aliyekwazika anisamehe). Kuhusu kuwataja sitoweza maana kiustaarabu sio vizuri na hata sheria inakataza.
 
Mie kukugwaya sio challenge kwangu bali ni excitement.
Labda pia nikufungulie thread ya excitements ninazopata toka kwako?
I am sure I will be bringing others over.

Kwa ajili ya kujali bandwidth wewe fungua ya "Free style" ......ili hiyo hiyo itumike kueleza challenges na excitements.

Unapiga ndege wawili kwa jiwe moja

Tutamuomba klorokwini atoe hukumu kwa yale mambo yatakayoangukia kwenye greay area :dance:
 
Last edited by a moderator:
Reactions: EMT
Husninyo dada yangu naomba usiondoke mimi nipo tayari kukununulia hata gari ngoja nitamuuliza mwali kuwa gari gani unaipenda ..na huyu klorokwini sijui kwa nini alikusumbua hadi mkakutana ilihali alikuwa anajua kuwa yeye tayari ni overage ningemsema sana ila namuogopa sana asije akanitwisha zigo la pwani. again i beg you dont leave we love you Husninyo
 
Yaani ulivyomsema shoti kunisawazishia njia kwako nime mindi sana anyway japo sipo kwenye list ya madhemeji na wadau mimi nitaumia zaidi yao.
 
Yes Husninyo, we love you... please stay.
Just change your PM settings and stay, plz...:grouphug:
 
Last edited by a moderator:
EMT hebu andamana turudishiwe vyeo vyetu lol. Kwani nini kimetokea mpaka tukashushwa vyeo?

Naandaa maandamano kwenda JF Admin kudai membership status za zamani.
Hii ya "Senior Member" wabakie nao vibabu na vibibi kama akina Asprin na Dark City
 
Last edited by a moderator:
Mwali nenda tu huko pm ungekuwa hujitambui ndio nisingekuruhusu but i know and believe you.
sasa hivi tufanye mikakati mtu wetu Husninyo arudi jamvini..haiwezekani aondoke kirahisi hivi kama kwa sababu ya vunyamkera wachache

Mtakatifu Ivuga, unatumia kitu inaitwa "reverse psychology". Mimi yangu macho!
 

dah... nilikua nakuona mjanja kweli arifu

kumbe wakuu wameacha manyoya??

pole sana aisee............ kweli kama alivyosema Jestina; invisible aweke bango aisee

HATA STORY TU, KULA KWENU!!!
 
hamia face book kule ndio kuna kufaa maana kule hakuna mababu mjukuu wangu! Ila yule babu kani pm kaniambia mambo mazito ambayo nitayaweka wazi kesho, lakini niakikishiwe usalama wangu kwanza. Wewe umeongea ,sasa kibabu nacho kimeronga kuhusu wewe. Uzi nitauweka saa 6 kamili.
 

Hii ni sob story tu, kwa mtazamo wangu.

Manake kama kweli mtu yamekushinda ama unasepa kimya kimya au unakuja tu na jina jingine.

As simple as that! I don't owe anyone a goodbye.
 

Lol lol.....we sio mzima! Humu ndani kuna vituko sana. Hus hii habari ina ukweli au umekaa tu ukafikiria kuwa haya mambo yanaweza kutokea?au kuna moja kati hayo limekukumba?hebu kuwa serious basi maana humu ndani masihara mengiiii. Mtu anaweza kuandika kitu hapa tukaamini kumbe anacheza na vichwa vyetu. Kama ni kweli itaniuma sana kukukosa humu ndani,ww ni mmoja wa watu nnaowapenda.
 

yummy, sina namna ya kuwafanya watu waamini ni ukweli ila ukweli ndio huo. Ahsante.
 
dah... nilikua nakuona mjanja kweli arifu

kumbe wakuu wameacha manyoya??

pole sana aisee............ kweli kama alivyosema Jestina; invisible aweke bango aisee

HATA STORY TU, KULA KWENU!!!

umetumia uhuru wako wa kuongea. Ahsante.
 
yummy, sina namna ya kuwafanya watu waamini ni ukweli ila ukweli ndio huo. Ahsante.

Pole sanaaaa......naomba ubadili ID basi walau niendelee kukusoma kwa jina tofauti though sitajua km ni ww ila michango yk itanifanya niipende hy ID mpya.
 

Hahaaaaa!Nimgeni kiasi Jf,Ila hapa nimecheka mpaka mbavu zinauma!Umetisha na hii reply!
 
Naandaa maandamano kwenda JF Admin kudai membership status za zamani.
Hii ya "Senior Member" wabakie nao vibabu na vibibi kama akina Asprin na Dark City
Ndio naona, kumbe sasa hivi ni mwendo wa usenior member? Duh!
 
Last edited by a moderator:
Reactions: EMT
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…