Hahahaha...hapo sasa. Kwanza ingekuwa kweli huyo mume ndo angekuwa wa kuongea nae, maana kama ni thread ataanzisha ngapi?!
Hahahhaha. . .tindikali ni noma aisee. Hata kama ni utani bado inatisha!!!
Hahahahah...ndo uchoke na vituko vya JF. Au labda hua wanafuma pc zikiwa on na JF imejaa walawala basi wanachungulia.lolzzWewe mtu kakujia pm anakutongoza, huyo mkewe kajuaje kama sio umbeya?
au huyo mke ni mod kama Eliza wa Tegeta? teh teh the.
Ukimwagiwa tindikali jua mchezo ndio umeishia hapo! Sura haiuzi tena!
teh teh teh.. Mwali mie mbona mwenyeji! Basi tu nimekuja kivingine.
Ukiona hivo ufaham ya kwamba huenda changamoto zimezidi...Alaaaaa kumbe eeeh....nilihisi utakuwa mwenyeji tu
Afu we BAK mbona umekomaa wanaume wenzio tuadhirike? Mod atakayetoa hiyo ruksa ntambadilisha jinsia. Laaleki!
Hahahahah...ndo uchoke na vituko vya JF. Au labda hua wanafuma pc zikiwa on na JF imejaa walawala basi wanachungulia.lolzz
Kheeeee....sindio hapo sasa. Kisa cha kunitisha namna hiyo mtoto wa watu?!Utadhani wao hawana reception zao wazifanyie ukarabati kama inahitajika.
Alaaaaa kumbe eeeh....nilihisi utakuwa mwenyeji tu
Ukiona hivo ufaham ya kwamba huenda changamoto zimezidi...
Ukiona hivo ufaham ya kwamba huenda changamoto zimezidi...
Kwa lipi hasa mkulu? huoni kwamba huko kutakuwa ni kuhukumu kwa kutumia ushahidi wa upande mmoja? Hata makosa yenyewe ni ya kitoto sana. Labda kosa kidogo kwa yule aliyekopa pesa na kuingia mitini, lakini kwa hali ngumu ya maisha bado it is still understandable.
hahahahaha, amini usiamini ila ni kweli mkuu. kwa nini nitunge story?Ila hiyo changamoto yako....I'm still shaking my head.
Hii ID nimeipenda sana! sijui ulikua unasubiri nini muda wote huu. lolMwali wala sio changamoto, mie mtu ninaejibishana nae za uso sikimbii.
seuz wa key bod? Ni ile tu ya make over kuja na sura mpya? vipi umeipenda?
Yani natamani ningeiona hiyo PM. . .I can not imagine unafungua PM mara 'paaaaah' unakutana na bonge la onyo. Kaaazi kweli kweli.mi mwenyewe nilisoma mara mbili kuhakikisha naelewa...
Mkulu Abdulhalim nakubaliana nawe kabisa kwamba kosa kubwa hapa ni la huyu aliyekopa na kuingia mitini na pesa za watu na pia huyu ambaye ameingia na ID nyingine ambayo ameamua kutumia na gender tofauti kwa maoni yangu ana lake jambo, vinginevyo sioni kwa nini njemba ijiandikishe hapa kama mdada.... labda ni shoga. Kama MODS wataruhusu kuanikwa hadharani especially hawa wawili basi wapewe nafasi ya kujitetea kisha uamuzi unaostahili dhidi yao kuchukuliwa kama wataonekana na hatia na hii labda itasaidia kupunguza matukio kama haya siku za usoni.
Hii ID nimeipenda sana! sijui ulikua unasubiri nini muda wote huu. lol
BAK Nikopeshe pesa, sina hata pesa ya kula. Please! teh teh teh
Hhahahahaha, Kama ulikuwepo mpendwa wangu.Yani natamani ningeiona hiyo PM. . .I can not imagine unafungua PM mara 'paaaaah' unakutana na bonge la onyo. Kaaazi kweli kweli.
Hahahahahah LOL! huwa unalipa wewe au utaingia mitini kisha kushuka na ID tofauti na kujifanya ni njemba...Halafu mkopo wangu huwa nacharge na interest plus penalty for late payment ππ...unataka kiasi gani?
Kweli umeingia wakati muafaka Erotica
Mwali ndio niko somoni hapa najifunza
Kila ukirusha thread mi naandika tu. lol