Hahahaha, patiently waiting dear, ila tu usije ukamtaja fulani please :Cry:teh teh teh, thread ya kesho naorodhesha wanaumwe wote wa jf ninaotamani
kutoka nao. Sio kwa ajili ya sex, basi tu kuwapa challenges teh teh teh
Hahaha! After jk's doomed speech at least someone is making my day! Hebu kutana na mie mwaya, unajua mie ndo halle berry wa huku kitaa, ama salma hayek, wamjua?
Hahahaha, patiently waiting dear, ila tu usije ukamtaja fulani please :Cry:
hata kama mi nimeshindwa kumwambia, ukimwambia wewe roho itaniuma
halafu nitakuanzishia thread la kulalamika kua unajitongozesha kwake. lol
teh teh teh, mimi mlipaji mzuri sabb mfanya biashara Mzuri. Nataka unipe Laki 5 tu
vigezo na masharti kuzingatiwa. Interest italipwa in kind and barter trade.
In kind itakua kukutoa out, barter trade itakua kubadilishana namba za simu.
Laki tano nalipa Cash bada ya kukutoa out.[/QUOTE]
Mhhhhh! haya nipe bank account yako na baada ya dkk chache tu itakuwa imenona 🙂🙂...ila kunitoa out ujue kabisa uwanja wa fisi siendi 🙂🙂
teh teh teh, thread ya kesho naorodhesha wanaumwe wote wa jf ninaotamani
kutoka nao. Sio kwa ajili ya sex, basi tu kuwapa challenges teh teh teh
Mhhhhh! haya nipe bank account yako na baada ya dkk chache tu itakuwa imenona 🙂🙂...ila kunitoa out ujue kabisa uwanja wa fisi siendi 🙂🙂
teh teh teh, thread ya kesho naorodhesha wanaumwe wote wa jf ninaotamani
kutoka nao. Sio kwa ajili ya sex, basi tu kuwapa challenges teh teh teh
Sasa nimeshindwa kumwambia mwenyewe ndio nikwambie wewe?teh teh teh, mimi ukiniambia fulani nitajuaje na navutiwa na watu kumi kidogo?
wewe kuepusha zari nitajie ni nani ili kama ananivutia nikuombe ruhusa ya kumtaja. I don't bite.
Save that for Friday...
Sasa nimeshindwa kumwambia mwenyewe ndio nikwambie wewe?
Lizzy nae kisha piga mkwala. ukiwataja tu, tunarusha thread
Ukiniuliza kwa nini sijamwambia hadi sasa nibu ni simple:
Haya ndugu zangu, tuongee baadae tena, naangusha majeshi.
...high maintenance babe eeh!! Check your bank account please! 🙂🙂
I knew it was time to go to bedGreat idea, Friday it is! You should know you are on the list thou..
Great idea, Friday it is! You should know you are on the list thou..
Mi siwezi kupitia kwa kuwadi wakati nimejaliwa akili na mdomoUnaona aibu? Nitume mimi, ukisikia kuwadi wa kike ndio mimi! teh teh teh
Lizzy, usinione hivi, mwenzio nina makengeza.
Haya tutoke pamoja Mwali...waache hawa watatu wawekane kwenye list na kukopeshana..kesi zitaongelewa muda ukifika!!!Lizzy, usinione hivi, mwenzio nina makengeza.
Yakielekea kushoto jua naangalia kulia. lolest
Sasa jamani mbona mna nogesha hii thread?
Kila nikitaka kutoka naona kapost kazuri. lol
I knew it was time to go to bed
naona Erotica has just confirmed
Ngoja nipotee haraka... :A S 103::brushteeth::sleep: