Challenges nilizoziface ndani ya jf tangu nimejoin mpaka sasa

Challenges nilizoziface ndani ya jf tangu nimejoin mpaka sasa

Status
Not open for further replies.
Mamboz?, leonataka kushare nanyi changamoto nilizokumbana nazo tangu nimejoin jf. Binafsi naaminichangamoto zinasaidia kutujenga kiakili na binadamu wote tunapitia challengestofautitofauti. Challenges nilizokumbana nazo humu zimenifanya kuwa mtu makinizaidi hivyo sina budi kushukuru kwa yote yaliyonikuta. Labda niende moja kwa moja kwa kile natakakushare nanyi then nitachukua fursa kuagana rasmi. Challenges zote zimesababishwa na watu ingawainawezekana na mimi nimechangia kwa namna moja au nyingine.
A.Challenge.
Nilimzoeahuyu mtu humu humu nilijua tutakuwa marafiki wazuri wa kushauriana na hatakupiga story ila sikuamini kuwa huyu mtu ni KUWADI (Alinitafutia mwanaume). Sikupenda hayo mambo na mwisho wa sikutumekuwa maadui.
B.challenge
Nilimchukulia kama ndugu yangu, nilikuwa kimbilio lake kila alipohitajiushauri. Nilimshirikisha pia baadhi ya mambo yangu, hatukuwahi kugombana hatakidogo. Rafiki huyu aliniambia ana shida ya pesa (nimkopeshe). Nilichukulia shidayake ni yangu, husninyo nikavunja kibubu…………
Dahhhh, sahivi hatuwasiliani tena, hapigi wala hatumi msg , nimeshapigwakalenda mpaka nimechoka na sina matumaini tena ya kulipwa pesa yangu. Imeniumiza
C. Challenge
Hii ilihusu rafiki yangu niliyekutana nae humu, alikuwa nirafiki mzuri ila sahivi sipo nae tena. Tulikuwa tukisalimiana kwa pm na kusharemawili matatu. Huyu rafiki amepotea ghafla JF, sijui kama amekufa au lah maanamwaka unakatika sasa. Hii inanihuzunisha sana.

D. Challenge
Huyu nae nilifikiri ni kijana mwenzangu , tukapanga kuonana kwa nianjema. Dah, sikuamini kama ni kibabu tena karibia mara 3 ya umri wangu. Kibabu hiki baada ya pale kimeanza usumbufukinataka tu DO. Tumeishia kugombana nahatuna mawasiliano tena.

E. challenge
Huyu alikuwa ni msumbufu sana kwenyePMs. Tumesumbuana mwisho wa siku akakata tamaa. Muda si mrefu alibadili IDakawa anatumia ya Kike, watu wote mpaka sasa wanajua ni mwanamke na kabla ya hapo pia walikuwa wanajua ni mwanaume. Nashindwakuelewa ni mwanamke au mwanaume.

F. challenge
Huyu nae alikuwa ni rafiki ingawa sikupenda mazoe naeya ukaribu. nilishindwa kuelew alikuwa ananipeleleza au lah, aliniomba nambayangu nikamnyima, baada ya wiki ananipigia na kudai yeye ni (……..) wa JF, sikupenda hiyo kitu.
Najua wapinimekosea. Nataka kuzaliwa upya. Nimedecide kuchange maisha yangu ya kimtandao. Najua nina familyhapa: Mtambuzi- baba, mamdenyi-mama, kaizer-uncle, ashadii-aunt,cantalisia-sister, mwali-cousin, dark city & asprin – mababu, sweetlady-swahibana nipo na marafiki kibao pamoja na mashemeji (mnajijua.) My online husband – judgement, nitakumiss sana ilanimekuruhusu uoe mke mwingine maana najua maisha ya usingle hautoyaweza. lol
Nitakuwa nanyikwa siku tatu kuanzia leo kujibucomments zenu then nitomba PARMANENT BAN kutoka kwa mods. Nitakuwa nasomahabari (najua humu ni kisima cha habari) kama guest na nitajoin tena miakaijayo ingawa kwa kipindi hicho sitokuwa the same husninyo as akili yangu itakuwaya kiutu uzima zaidi.
Nafikiri mtakuwammejifunza kitu kwenye hii thread pia nitakuwa nimeondoa maswali ya watukujiuliza kwa nini nimekuwa banned. Wale members wenzagu wa JE saccostutakutana kwenye vikao au ofisini kwenye kuchukua na kurudisha mikopo, waleambao tayari tumekuwa na mahusiano mazuri nje ya jf tutakeep in touch, waleambao tulipanga kuonana na kufahamiana nawapa pole (haitowezekana tena). Nawatakiakila la heri na mungu awalinde. Nawapenda sana.

SALAM ZAO!:A S kiss:
 
Oooh kumbe! Sasa uliposema unangojea jf family watasemaje, waliosema kabla yako umewanyanyapaa aisee. Haya bana, tunaweza kutapeliana?
kizungu sijui.... ila nadhani JF ni familia yenye watu zaidi ya 75,000
 
Mamboz?, leonataka kushare nanyi changamoto nilizokumbana nazo tangu nimejoin jf. Binafsi naaminichangamoto zinasaidia kutujenga kiakili na binadamu wote tunapitia challengestofautitofauti. Challenges nilizokumbana nazo humu zimenifanya kuwa mtu makinizaidi hivyo sina budi kushukuru kwa yote yaliyonikuta. Labda niende moja kwa moja kwa kile natakakushare nanyi then nitachukua fursa kuagana rasmi. Challenges zote zimesababishwa na watu ingawainawezekana na mimi nimechangia kwa namna moja au nyingine.
A.Challenge.
Nilimzoeahuyu mtu humu humu nilijua tutakuwa marafiki wazuri wa kushauriana na hatakupiga story ila sikuamini kuwa huyu mtu ni KUWADI (Alinitafutia mwanaume). Sikupenda hayo mambo na mwisho wa sikutumekuwa maadui.
B.challenge
Nilimchukulia kama ndugu yangu, nilikuwa kimbilio lake kila alipohitajiushauri. Nilimshirikisha pia baadhi ya mambo yangu, hatukuwahi kugombana hatakidogo. Rafiki huyu aliniambia ana shida ya pesa (nimkopeshe). Nilichukulia shidayake ni yangu, husninyo nikavunja kibubu…………
Dahhhh, sahivi hatuwasiliani tena, hapigi wala hatumi msg , nimeshapigwakalenda mpaka nimechoka na sina matumaini tena ya kulipwa pesa yangu. Imeniumiza
C. Challenge
Hii ilihusu rafiki yangu niliyekutana nae humu, alikuwa nirafiki mzuri ila sahivi sipo nae tena. Tulikuwa tukisalimiana kwa pm na kusharemawili matatu. Huyu rafiki amepotea ghafla JF, sijui kama amekufa au lah maanamwaka unakatika sasa. Hii inanihuzunisha sana.

D. Challenge
Huyu nae nilifikiri ni kijana mwenzangu , tukapanga kuonana kwa nianjema. Dah, sikuamini kama ni kibabu tena karibia mara 3 ya umri wangu. Kibabu hiki baada ya pale kimeanza usumbufukinataka tu DO. Tumeishia kugombana nahatuna mawasiliano tena.

E. challenge
Huyu alikuwa ni msumbufu sana kwenyePMs. Tumesumbuana mwisho wa siku akakata tamaa. Muda si mrefu alibadili IDakawa anatumia ya Kike, watu wote mpaka sasa wanajua ni mwanamke na kabla ya hapo pia walikuwa wanajua ni mwanaume. Nashindwakuelewa ni mwanamke au mwanaume.

F. challenge
Huyu nae alikuwa ni rafiki ingawa sikupenda mazoe naeya ukaribu. nilishindwa kuelew alikuwa ananipeleleza au lah, aliniomba nambayangu nikamnyima, baada ya wiki ananipigia na kudai yeye ni (……..) wa JF, sikupenda hiyo kitu.
Najua wapinimekosea. Nataka kuzaliwa upya. Nimedecide kuchange maisha yangu ya kimtandao. Najua nina familyhapa: Mtambuzi- baba, mamdenyi-mama, kaizer-uncle, ashadii-aunt,cantalisia-sister, mwali-cousin, dark city & asprin – mababu, sweetlady-swahibana nipo na marafiki kibao pamoja na mashemeji (mnajijua.) My online husband – judgement, nitakumiss sana ilanimekuruhusu uoe mke mwingine maana najua maisha ya usingle hautoyaweza. lol
Nitakuwa nanyikwa siku tatu kuanzia leo kujibucomments zenu then nitomba PARMANENT BAN kutoka kwa mods. Nitakuwa nasomahabari (najua humu ni kisima cha habari) kama guest na nitajoin tena miakaijayo ingawa kwa kipindi hicho sitokuwa the same husninyo as akili yangu itakuwaya kiutu uzima zaidi.
Nafikiri mtakuwammejifunza kitu kwenye hii thread pia nitakuwa nimeondoa maswali ya watukujiuliza kwa nini nimekuwa banned. Wale members wenzagu wa JE saccostutakutana kwenye vikao au ofisini kwenye kuchukua na kurudisha mikopo, waleambao tayari tumekuwa na mahusiano mazuri nje ya jf tutakeep in touch, waleambao tulipanga kuonana na kufahamiana nawapa pole (haitowezekana tena). Nawatakiakila la heri na mungu awalinde. Nawapenda sana.
SORRY APO KWENYE RED ULIKUA UNA MAANA GANI...
MAANA WENGINE UKU BADO WANAFUNZI tunapendaga kusikia hili neno likitajwa hadharani...
 
Tatizo nimepewa promotion na ofisi kuubwa hamna allowances bana! Nimeingia chaka shurti nikugeuze kijiwe. Tuonane wapi?
hehehe huyu ndio King'asti bana, kibarua cha usoldier kishaota mbawa sasa anataka kunimalizia mtaji wangu wa bodaboda,
 
Last edited by a moderator:


Mkuu hiyo ni moja ya faida............ kupunguza stress, na marafiki wa ukewli kabisa wako MMU mkuu

sawa.. mkuu!! STRESS ndio! ..... ila hapo kwenye RED sidhani.. hadi mtoa mada kaamua kutupia huu uzi sababu ya hapo kwenye RED
 
SORRY APO KWENYE RED ULIKUA UNA MAANA GANI...
MAANA WENGINE UKU BADO WANAFUNZI tunapendaga kusikia hili neno likitajwa hadharani...

anafikiria kujiunga na kidato cha tano so anahitaji ban la maisha..
 
kamanda maelezo yako on point mkuu. Ni kweli in a way
ana complain ila sidhani challenges alizoorodhesha ndio zinazomkimbiza.
Inaonekanba ana roho ndogo kashindwa kuvumilia whatever it is that is hurting her. Pole kadadaa. Badilisha mawazo bado tunakuhitaji!
could be a heart break my friend, sometimes watu wanakua na too much expectations

kuna mshkaji mmoja tulionana, akasema aisee, mimi nilijua utakua bonge la mtu umepiga nondo kichizi.... LOL, nikamwambia kwa upole tu kwamba hizo nondo na joni woka wapi na wapi??
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Kule Siasa kuzuri, hakuna mtu anabother na maPM; dawa nyingine ni kubase kule; ingawa nako kuna mapressure ya Ufisadi!

Labda ndio maana jamaa alikuwa anaponda MMU kwenye ile thread?
 
Tatizo nimepewa promotion na ofisi kuubwa hamna allowances bana! Nimeingia chaka shurti nikugeuze kijiwe. Tuonane wapi?
We toa venue tu na si unajua kwa mila za watanzania sku ya kwanza garama analipia mwanamke? ningelipia mimi lakini itakuwa ni kuenda kinyume na mila za kabila letu. Tukikutana ya pili apo ndio Lonado Di Caprio wa bongo nafanya kufuru. Ushawahi kutema mate yakalewesha sisimizi na wadudu wengine wewe?
 




sawa.. mkuu!! STRESS ndio! ..... ila hapo kwenye RED sidhani.. hadi mtoa mada kaamua kutupia huu uzi sababu ya hapo kwenye RED

JF has over 70,000 members, huwezi kuchukua kesi moja ukageneralize asilani, unless kama una agenda nyingine

Hujui na si lazima kupata details on how many people have benefotted from JF network of friends, labda Max aje akupe shule one on one!!!

I AM COUNTING MY BLESSINGS (BEING AN MMU MEMBER)

Business, family, na kila kitu waweza pata JF inategemea lengo lako nini kuwa humu
 
Kubana kitu gani,nyie ndo mnawasumbua dada zetu humu,bora amechapa lapa,ila usikonde babu @Aspirin amesanuka anzisha chimbo lingine!

Uzuri nna list ya wajukuu kibao. Ngoja niangalie cha kufanya na Kipipi.
 
could be a heart break my friend, sometimes watu wanakua na too much expectations

kuna mshkaji mmoja tulionana, akasema aisee, mimi nilijua utakua bonge la mtu umepiga nondo kichizi.... LOL, nikamwambia kwa upole tu kwamba hizo nondo na joni woka wapi na wapi??


mawazo yangu yana gonga hapo hapo. Nothing else.
Wadada nao sometimes wamezidi kuamini mno watu, unakuta dada mmoja
anawasiliana na midume hata wa 5 hapa hapa anawachanganya. Wanategemea nini kama sio kuumizwa?
Arifu na mimi nilikua nawaza hilo hilo, kumbe hujapiga nondo? Hahaha
 
Mi nadhani kwa memba wa kike ni bora mkablock PM maana najua ni usumbufu wakati mwingine!

Sidhani kama itakuwa solution to the root cause.
Wale wanaotuma PM kwa kila JF member anayeonekana ni mwanamke ndio inabidi waache.
 
JF has over 70,000 members, huwezi kuchukua kesi moja ukageneralize asilani, unless kama una agenda nyingine

Hujui na si lazima kupata details on how many people have benefotted from JF network of friends, labda Max aje akupe shule one on one!!!

I AM COUNTING MY BLESSINGS (BEING AN MMU MEMBER)

Business, family, na kila kitu waweza pata JF inategemea lengo lako nini kuwa humu

sawa nimekuelewa....
 

Nilimchukulia kama ndugu yangu, nilikuwa kimbilio lake kila alipohitajiushauri. Nilimshirikisha pia baadhi ya mambo yangu, hatukuwahi kugombana hatakidogo. Rafiki huyu aliniambia ana shida ya pesa (nimkopeshe). Nilichukulia shidayake ni yangu, husninyo nikavunja kibubu…………
Dahhhh, sahivi hatuwasiliani tena, hapigi wala hatumi msg , nimeshapigwakalenda mpaka nimechoka na sina matumaini tena ya kulipwa pesa yangu. Imeniumiza


Husninyo mbona mara nyingi huwa sikueleagi dada. nakiri kuwa mimi ndio ulinikopesha ila pesa yako si ulisema nimpe klorokwini naomba umtafute haraka sana yule jamaa inawezekana kakuloga ili usahau.
 
Last edited by a moderator:
mawazo yangu yana gonga hapo hapo. Nothing else.
Wadada nao sometimes wamezidi kuamini mno watu, unakuta dada mmoja
anawasiliana na midume hata wa 5 hapa hapa anawachanganya. Wanategemea nini kama sio kuumizwa?
Arifu na mimi nilikua nawaza hilo hilo, kumbe hujapiga nondo? Hahaha
pwenti tupu bro... kachanganya, halafu kachanganywa.... kimeumana!!
 
Mamboz?, leonataka kushare nanyi changamoto nilizokumbana nazo tangu nimejoin jf. Binafsi naaminichangamoto zinasaidia kutujenga kiakili na binadamu wote tunapitia challengestofautitofauti. Challenges nilizokumbana nazo humu zimenifanya kuwa mtu makinizaidi hivyo sina budi kushukuru kwa yote yaliyonikuta. Labda niende moja kwa moja kwa kile natakakushare nanyi then nitachukua fursa kuagana rasmi. Challenges zote zimesababishwa na watu ingawainawezekana na mimi nimechangia kwa namna moja au nyingine.
A.Challenge.
Nilimzoeahuyu mtu humu humu nilijua tutakuwa marafiki wazuri wa kushauriana na hatakupiga story ila sikuamini kuwa huyu mtu ni KUWADI (Alinitafutia mwanaume). Sikupenda hayo mambo na mwisho wa sikutumekuwa maadui.
B.challenge
Nilimchukulia kama ndugu yangu, nilikuwa kimbilio lake kila alipohitajiushauri. Nilimshirikisha pia baadhi ya mambo yangu, hatukuwahi kugombana hatakidogo. Rafiki huyu aliniambia ana shida ya pesa (nimkopeshe). Nilichukulia shidayake ni yangu, husninyo nikavunja kibubu…………
Dahhhh, sahivi hatuwasiliani tena, hapigi wala hatumi msg , nimeshapigwakalenda mpaka nimechoka na sina matumaini tena ya kulipwa pesa yangu. Imeniumiza
C. Challenge
Hii ilihusu rafiki yangu niliyekutana nae humu, alikuwa nirafiki mzuri ila sahivi sipo nae tena. Tulikuwa tukisalimiana kwa pm na kusharemawili matatu. Huyu rafiki amepotea ghafla JF, sijui kama amekufa au lah maanamwaka unakatika sasa. Hii inanihuzunisha sana.

D. Challenge
Huyu nae nilifikiri ni kijana mwenzangu , tukapanga kuonana kwa nianjema. Dah, sikuamini kama ni kibabu tena karibia mara 3 ya umri wangu. Kibabu hiki baada ya pale kimeanza usumbufukinataka tu DO. Tumeishia kugombana nahatuna mawasiliano tena.

E. challenge
Huyu alikuwa ni msumbufu sana kwenyePMs. Tumesumbuana mwisho wa siku akakata tamaa. Muda si mrefu alibadili IDakawa anatumia ya Kike, watu wote mpaka sasa wanajua ni mwanamke na kabla ya hapo pia walikuwa wanajua ni mwanaume. Nashindwakuelewa ni mwanamke au mwanaume.

F. challenge
Huyu nae alikuwa ni rafiki ingawa sikupenda mazoe naeya ukaribu. nilishindwa kuelew alikuwa ananipeleleza au lah, aliniomba nambayangu nikamnyima, baada ya wiki ananipigia na kudai yeye ni (……..) wa JF, sikupenda hiyo kitu.
Najua wapinimekosea. Nataka kuzaliwa upya. Nimedecide kuchange maisha yangu ya kimtandao. Najua nina familyhapa: Mtambuzi- baba, mamdenyi-mama, kaizer-uncle, ashadii-aunt,cantalisia-sister, mwali-cousin, dark city & asprin – mababu, sweetlady-swahibana nipo na marafiki kibao pamoja na mashemeji (mnajijua.) My online husband – judgement, nitakumiss sana ilanimekuruhusu uoe mke mwingine maana najua maisha ya usingle hautoyaweza. lol
Nitakuwa nanyikwa siku tatu kuanzia leo kujibucomments zenu then nitomba PARMANENT BAN kutoka kwa mods. Nitakuwa nasomahabari (najua humu ni kisima cha habari) kama guest na nitajoin tena miakaijayo ingawa kwa kipindi hicho sitokuwa the same husninyo as akili yangu itakuwaya kiutu uzima zaidi.
Nafikiri mtakuwammejifunza kitu kwenye hii thread pia nitakuwa nimeondoa maswali ya watukujiuliza kwa nini nimekuwa banned. Wale members wenzagu wa JE saccostutakutana kwenye vikao au ofisini kwenye kuchukua na kurudisha mikopo, waleambao tayari tumekuwa na mahusiano mazuri nje ya jf tutakeep in touch, waleambao tulipanga kuonana na kufahamiana nawapa pole (haitowezekana tena). Nawatakiakila la heri na mungu awalinde. Nawapenda sana.

Pole sana dada.
 
Asante sana kwa kushare! Sikujua kama Jf na facebook ni two sides of the same coin! Kumbe behind people's IDs kuna mengi enh??
BTW namshukuru Mungu sijampa mtu yoyote contacts zangu na kamwe sitatoa..

Kama nikishida lotto kati ya watu wa JF ambao ningewagemea kidogo ni wewe? Bado hutanipa namba?
 
cheka kisukari.jf ina mambo.trust me,hizo challenge zimewakuta wengi tu.ila nashukuru sijawahi kukutana na mtu humu,na sitotaka kukutana na mtu humu.ni bora kubadilishana mawazo kwa maandishi tu,na si zaidi ya hapo,maana unaweza kutapeliwa na hujui mtu umtafute wapi.ila nashukuru nimejuana na mtu 1 tu humu,i see him as a brother,nikiwa na shida namuelezea shida yangu,ananishauri kama kaka.najua utaisoma hii.thank you brother.jambo jengine,nina amini kuna watu na heshima zao humu,na kuna watu wengine wana malengo mabaya kwa wenzao.nyie wenye malengo mabaya,mshindwe na mlegee.utapeli wenu uwe huko huko nje.pole husniyo.kuishi ni kujifunza
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom