Challenges nilizoziface ndani ya jf tangu nimejoin mpaka sasa

Challenges nilizoziface ndani ya jf tangu nimejoin mpaka sasa

Status
Not open for further replies.
Sidhani, King'asti anaonekana mstaarabu.
Naona tukacheki ile thread ya anti AshaDii
tuone nani alikua na deni la siku nyingi zaidi
atakua ni huyo huyo, maana mwenye lake haachi
Wastaarabu ndio wakopaji wakubwa Mwali
 
Last edited by a moderator:
Hahaha! Heri mimi sijasema! Challenge D ndio nimeipenda asee daaah!....

hebu think lawyer wakati swahiba anakazana kutuma PM na kusema 'I love you baby boy', tobaaaaa!!! kufumba na kufumbua kumbe kibabu hakina hata meno!...lolest

Kibabu kinataka kumfia Husninyo nyumba za kulala wenyeji lol.
Usinikumbushie sweetlady, yaani hapa niko na dripu baada ya uchofu wa safari ya mpwapwa na kibuti juu. Nashkuru skufanikiwa manake ningefanikiwa nazani sasa ivi husny angekuwa ashanitegua kiuno chote.
 
pole husninyo ila challenge D inachekesha sana.
Jamani kuna watu wanapenda vibabu hivyo kama mtu wewe ni kibabu mkiwa huko Pm sema tu ukweli wewe ni kikongwe ili hata mkipanga kukutana mtu anajua anakutana na age gani,sio mtu unaleta swagga za kijana aliyemaliza chuo kumbe na kazi ulishastaafu.Pia humu naamini kuna vibibi na nyie mkiwa PM semeni tu ukweli sio kuleta swagga za umri wa Lulu kumbe mlicheza rede na bikidude halafu mnasumbua watu siku ya kukutana mwishowe wanakuja hapa kuleta nyuzi za kulalamika.
Hahahaha! Rede na bi kidude???...lol, cheusi umenchekesha sana!..
 


mhh! ni faida gani za kuwa mwana MMU!? no offense but wachakachuaji wa thread wengi wanatoka MMU ... hadithi nyingi za kutunga zipo MMU!

Heri za MMU threads ni hypothetical. Kule jukwaa la siasa asilimia 74 ya threads ni za kutunga.
Kama jana tuu moja ya thread iliyokuwa juu sana ni kuonekana kwa Lowassa akiwa hoi uwanja wa ndege Dar akipelekwa nje kutibiwa. Yaani kule mtu anamtungia mwanasiasa thread na inapata wachangiaji kibao.
Kule thread zinazoenda mpaka page 20 nyingi ni za kutunga.
Ukiweka thread ambayo inahitaji kutumia kichwa hachangii mtu.
 
Usinikumbushie sweetlady, yaani hapa niko na dripu baada ya uchofu wa safari ya mpwapwa na kibuti juu. Nashkuru skufanikiwa manake ningefanikiwa nazani sasa ivi husny angekuwa ashanitegua kiuno chote.
Hahahaha! Pole lawyer! Sasa mbona Husninyo haji kujibu lisredi lake? M'dipu' basi klorokwini
 
Last edited by a moderator:
MaRoman]Huyu nae nilifikiri ni kijana mwenzangu , tukapanga kuonana kwa nianjema. Dah, sikuamini kama ni kibabu tena karibia mara 3 ya umri wangu. Kibabu hiki baada ya pale kimeanza usumbufukinataka tu DO. Tumeishia kugombana nahatuna mawasiliano tena.


kuna kadada kalikuwa kwenye PM daily kananiambia mitaani wanakiita alicia keys kwakuwa kafanana nae, tukapanga kukutana, ile siku tunaonana ikabidi nimuulize kama ana uhusiano wowote na Lucy Kibaki manake kopi tu raiti, nilikuja kugundua kumbe kalikuwa kanataka bia za bure tu. Tena bora nisijikumbushe tu manake namimi naweza nikajiskia kuaga anytime

huwa sioni mantiki ya watu kukubali kukutana na fellow JF member kwa hiari yao halafu wanakuja kuwaponda humu...
 
Hehehe! Hiyo haina noma. Ila sasa inabidi unitumie kwa mpesa walau vilaki 2 hivi kama sign ya commitment (bond collateral) manake ukinikimbia b4 sijakuchakachua ntalaumiwa na bibi yangu aisee. Venue nichague ya bongo ama tukimbie wachawi tukajifiche ughaibuni kidogo (kwa matumizi hapa ndo break yao baba, relax)
Venue bora ikuwe madagascar, unajua mimi madokta wamenishauri nisiipendelee sana hali ya hewa ya bongo na ikibidi bas nitembee na mwavuli kama marehem maiko jaksoni, sasa naona hii itakuwa usumbufu. Viza ya madagascar unayo au niwasiliane na waziri wa mambo ya nje akutolee?
 
Amesema ataingia baadae, ana shughuli kwa sasa
Ngoja na mimi nikamsaidie kufunga mizigo, baadae.:busu

Mwali sasa ukimsaidia si ndio ataondoka leo hii hii? Usimsaidie bana ili aendelee kuwepo na sisi.
 
Last edited by a moderator:
Kama nikishida lotto kati ya watu wa JF ambao ningewagemea kidogo ni wewe? Bado hutanipa namba?
EMT am sure unaelewa vizuri kiswahili hasa neno kamwe..
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: EMT
Asante kwa kushare exprience yako kuhusu jf ambayo imenifanya nipate uzoefu fulani kuhusu jf na pia itabidi kuamia katika kusoma habari lakini sinampango wa kuaga member sababu nahisi sife kesho wala kesho kutwa.licha ya hayo karibu tena!
(UKISOMA UTAKULA VYA USIYESOMA)
 
Mamboz?, leonataka kushare nanyi changamoto nilizokumbana nazo tangu nimejoin jf. Binafsi naaminichangamoto zinasaidia kutujenga kiakili na binadamu wote tunapitia challengestofautitofauti. Challenges nilizokumbana nazo humu zimenifanya kuwa mtu makinizaidi hivyo sina budi kushukuru kwa yote yaliyonikuta. Labda niende moja kwa moja kwa kile natakakushare nanyi then nitachukua fursa kuagana rasmi. Challenges zote zimesababishwa na watu ingawainawezekana na mimi nimechangia kwa namna moja au nyingine.
A.Challenge.
Nilimzoeahuyu mtu humu humu nilijua tutakuwa marafiki wazuri wa kushauriana na hatakupiga story ila sikuamini kuwa huyu mtu ni KUWADI (Alinitafutia mwanaume). Sikupenda hayo mambo na mwisho wa sikutumekuwa maadui.
B.challenge
Nilimchukulia kama ndugu yangu, nilikuwa kimbilio lake kila alipohitajiushauri. Nilimshirikisha pia baadhi ya mambo yangu, hatukuwahi kugombana hatakidogo. Rafiki huyu aliniambia ana shida ya pesa (nimkopeshe). Nilichukulia shidayake ni yangu, husninyo nikavunja kibubu…………
Dahhhh, sahivi hatuwasiliani tena, hapigi wala hatumi msg , nimeshapigwakalenda mpaka nimechoka na sina matumaini tena ya kulipwa pesa yangu. Imeniumiza
C. Challenge
Hii ilihusu rafiki yangu niliyekutana nae humu, alikuwa nirafiki mzuri ila sahivi sipo nae tena. Tulikuwa tukisalimiana kwa pm na kusharemawili matatu. Huyu rafiki amepotea ghafla JF, sijui kama amekufa au lah maanamwaka unakatika sasa. Hii inanihuzunisha sana.

D. Challenge
Huyu nae nilifikiri ni kijana mwenzangu , tukapanga kuonana kwa nianjema. Dah, sikuamini kama ni kibabu tena karibia mara 3 ya umri wangu. Kibabu hiki baada ya pale kimeanza usumbufukinataka tu DO. Tumeishia kugombana nahatuna mawasiliano tena.

E. challenge
Huyu alikuwa ni msumbufu sana kwenyePMs. Tumesumbuana mwisho wa siku akakata tamaa. Muda si mrefu alibadili IDakawa anatumia ya Kike, watu wote mpaka sasa wanajua ni mwanamke na kabla ya hapo pia walikuwa wanajua ni mwanaume. Nashindwakuelewa ni mwanamke au mwanaume.

F. challenge
Huyu nae alikuwa ni rafiki ingawa sikupenda mazoe naeya ukaribu. nilishindwa kuelew alikuwa ananipeleleza au lah, aliniomba nambayangu nikamnyima, baada ya wiki ananipigia na kudai yeye ni (……..) wa JF, sikupenda hiyo kitu.
Najua wapinimekosea. Nataka kuzaliwa upya. Nimedecide kuchange maisha yangu ya kimtandao. Najua nina familyhapa: Mtambuzi- baba, mamdenyi-mama, kaizer-uncle, ashadii-aunt,cantalisia-sister, mwali-cousin, dark city & asprin – mababu, sweetlady-swahibana nipo na marafiki kibao pamoja na mashemeji (mnajijua.) My online husband – judgement, nitakumiss sana ilanimekuruhusu uoe mke mwingine maana najua maisha ya usingle hautoyaweza. lol
Nitakuwa nanyikwa siku tatu kuanzia leo kujibucomments zenu then nitomba PARMANENT BAN kutoka kwa mods. Nitakuwa nasomahabari (najua humu ni kisima cha habari) kama guest na nitajoin tena miakaijayo ingawa kwa kipindi hicho sitokuwa the same husninyo as akili yangu itakuwaya kiutu uzima zaidi.
Nafikiri mtakuwammejifunza kitu kwenye hii thread pia nitakuwa nimeondoa maswali ya watukujiuliza kwa nini nimekuwa banned. Wale members wenzagu wa JE saccostutakutana kwenye vikao au ofisini kwenye kuchukua na kurudisha mikopo, waleambao tayari tumekuwa na mahusiano mazuri nje ya jf tutakeep in touch, waleambao tulipanga kuonana na kufahamiana nawapa pole (haitowezekana tena). Nawatakiakila la heri na mungu awalinde. Nawapenda sana.

Haaahaaa! Kweli watu wana moyo.
 
huwa sioni mantiki ya watu kukubali kukutana na fellow JF member kwa hiari yao halafu wanakuja kuwaponda humu...

Nimekoma mkuu, hakyanani sirudii tena. Eeeh mods sameheni zambi zangu za JF.
Ubarikiwe cartura kwa ukumbusho wako ambao nitauchukulia vere serious na nitabadilika.
sweetlady sema amen
 
Last edited by a moderator:
Kanifungulie tu, manake ndo kunipaisha kwenyewe huko :smile-big:

Kisha pia wengine wote wasioweza kufungua uzi, watadandia hapo hapo wafaidike na wao ....

Orait. Ngoja niodhoreshe hizi challenges vizuri.
 
Ameni.
Nimekoma mkuu, hakyanani sirudii tena. Eeeh mods sameheni zambi zangu za JF.
Ubarikiwe cartura kwa ukumbusho wako ambao nitauchukulia vere serious na nitabadilika.
sweetlady sema amen
 
Last edited by a moderator:
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom