kenny mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 17, 2021
- 316
- 848
Msemaji wa simba sc, bwana kamwaga amepost picha hii ya kiti katika page yake ya fb na kuandika 90% soon kitu kinachomaanisha anakwenda kusimamisha mitandao leo lakini inasemekama tayari chama yupo mjini hapa na leo anatangazwa kuwa mchezaji halali wa simba sc jioni ya leo,
Karibu sana clatous chama simba
Sent from my SM-J260T1 using JamiiForums mobile app
Karibu sana clatous chama simba
Sent from my SM-J260T1 using JamiiForums mobile app