CHAMA AMESHATUA SIMBA MDA HUU

CHAMA AMESHATUA SIMBA MDA HUU

Si wanasema waliongea na wakala wake Chama? Yule Mhandisi Uchwara alithibitishha
Wakitoka kushikana manyonyo wanaropoka chochote
JamiiForums-1748518016.jpg


Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Nimepata bahati ya kuona clips za dk chache alizocheza akiwa na berkane, nitakuwa wa mwisho kuamini kuwa chama ameshindwa kucheza Morocco kutokana na kiwango kibovu, ni mambo tu ya nje ya uwanja kwani sio mara ya kwanza aliwahi kusajiliwa Al ittihad ya misri na alivunja mkataba baada ya muda mchache hivyo hivyo. Kwamba ashindwe chama mwenye kila aina ya ufundi miguuni mwake aje kuweza mwana riadha tuisila kisinda. Viwango vyao hata hapa vilikuwa vinaonekana, chama ni bora kuliko kisinda hivyo ni upumbavu kusema kwamba chama hana kiwango cha kucheza Morocco.
Inategemea na Falsafa ya timu mkuu
 
Tumekubaliana kwa hii SIMBA NI NZURI SANA, kwanini tusajili tena dirisha dogo tena namba ambazo kuna watu makini kama KANOUTE??
Miongoni mwa wachezaji wa Simba wanaowindwa na timu zingine ni Thadeo Lwanga,Rali Bwalya.

Tetesi za watakao achwa dirisha dogo iwe kwa mkopo au vinginevyo ni Mkuu wa majeshi Pascal Wawa,Mugalu,Duncan Nyoni,Piter Banda.
Timu kusajili ni kawaida hata iwe imara kiasi gani bado timu inaweza kusajili.
 
Miongoni mwa wachezaji wa Simba wanaowindwa na timu zingine ni Thadeo Lwanga,Rali Bwalya.

Tetesi za watakao achwa dirisha dogo iwe kwa mkopo au vinginevyo ni Mkuu wa majeshi Pascal Wawa,Mugalu,Duncan Nyoni,Piter Banda.
Timu kusajili ni kawaida hata iwe imara kiasi gani bado timu inaweza kusajili.
Kwanini mnamwonea sana Wawa ?
Kwa mpira mkubwa wote huo anaoupiga bado mnamwona hafai.
Wachezaji wa Kigeni wenye kiwango kibovu ni.
Mugalu
Anafuata Sackho
Anafuata Duncan Nyoni.

Hao watatu wanaweza ondoka au kutolewa kwa mkopo.
 
Miongoni mwa wachezaji wa Simba wanaowindwa na timu zingine ni Thadeo Lwanga,Rali Bwalya.

Tetesi za watakao achwa dirisha dogo iwe kwa mkopo au vinginevyo ni Mkuu wa majeshi Pascal Wawa,Mugalu,Duncan Nyoni,Piter Banda.
Timu kusajili ni kawaida hata iwe imara kiasi gani bado timu inaweza kusajili.
Dancun na Peter kwa vile Luhende wa Kagera Sugar alikuwa na bei kubwa ?
 
Miongoni mwa wachezaji wa Simba wanaowindwa na timu zingine ni Thadeo Lwanga,Rali Bwalya.

Tetesi za watakao achwa dirisha dogo iwe kwa mkopo au vinginevyo ni Mkuu wa majeshi Pascal Wawa,Mugalu,Duncan Nyoni,Piter Banda.
Timu kusajili ni kawaida hata iwe imara kiasi gani bado timu inaweza kusajili.
Dancun na Peter kwa vile Luhende wa Kagera Sugar alikuwa na bei kubwa ?
 
Kwanini mnamwonea sana Wawa ?
Kwa mpira mkubwa wote huo anaoupiga bado mnamwona hafai.
Wachezaji wa Kuheni wenye kiwango kibovu ni.
Mugalu
Anafuata Sackho
Anafuata Duncan Nyoni.

Hao watatu wanaweza ondoka au kutolewa kwa mkopo.
Wawa anastaafu.
 
Wawa anastaafu.
Kama anastaafu mwenyewe basi sawa.
Basi wataondoka.

Wawa.
Kustaafu

Sackho.
hamna kitu hapo zaidi ya kuanguka anguka na kukimbila kimbia.

Mugalu.
Sio mfungaji ni mkabaji mabeki.

Duncan Nyoni.
Ana udambwi udambwi usiokuwa na manufaa kwa timu. hana kasi wala nguvu, hakabi kabisa.

Kagere
Ingawa bado anajitutumua na kujituma sana tatizo Umri umemtupa mkono.
 
Mikia kweli akili ziko matakoni. Hivi kuna kazi mnafanya nyie vijana wa mikia?. Ni kama mnadanganywa hivi kwamba kuanzia asubuhi,usiku unalala unawaza simba tu. Hii ndio BREAKING NEWS utumbo huu?. Nimeona kichwa kikubwa BREKING NEWS. Moyo ukafanya paa na kufurahi kwa mbali kwamba labda nae mwingine amekufa tupumue kidogo. Nakutana na utumbo huu
km vile umepigwa na kitu kizito kichwani. Unahema kwa taaabu Sana. Kunywa maji mengi upumzike mkuu wangu.

Huu mchezo hauhitaji hasira!
 
Kama anastaafu mwenyewe basi sawa.
Basi wataondoka.

Wawa.
Kustaafu

Sackho.
hamna kitu hapo zaidi ya kuanguka anguka na kukimbila kimbia.

Mugalu.
Sio mfungaji ni mkabaji mabeki.

Duncan Nyoni.
Ana udambwi udambwi usiokuwa na manufaa kwa timu. hana kasi wala nguvu, hakabi kabisa.

Kagere
Ingawa bado anajitutumua na kujituma sana tatizo Umri umemtupa mkono.
Unajua kwenye usajili kuna wakati timu inaweza sajili mchezaji mzuri lakini uwanjani akabuma.
De Maria kaupiga kule Madrid lakini alipotua Man akatepeta.
De Maria uyouyo katoka Man U akaenda P.S.G kule anaupiga mwingi mpaka unamwagika.

Kalinyos alipotua bongo akuruhusiwa kukanyaga ardhi angechafuka wakambeba kwenye machela mpaka kwenye gari.
Alipoingia uwanjani ni viazi vilivyooza hana kitu zaidi ya miguu myembamba kama spoku za baiskeli.
 
mlimuuza kwa hasira mmemrudisha kwa kumuomba na magoti juu aisee aliyewaita makolo mbumbumbu hakukosea
 
ili ni garasa, kama kweli tumemsajili tumeingia mkenge
 
Back
Top Bottom