Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
In the first place lazima achukue nafasi ya mgeni, tuanzie hapo.Ukiangalia kwa jinsi Simba ya sasa inavyocheza, mfalme wa zamani wa timu hiyo Chama ambaye atatambulishwa muda wowote kuanzia sasa, je ni nani atampisha Chama kwenye kikosi cha kwanza? Vipi nafasi ya Pape Sakho haipo shakani kweli?
Kaka yote ni matunda ya malezi mabaya.Vijana wa Kitanzania sijui mkoje. Huwezi kuandika bila matusi tena machafu kabisa? Nenda kwenye social media za Wakenya au Waganda, huwezi kukuta uchafu kama huu. Mtu anapinga lakini kwa hoja
. Sasa sijui tatizo ni lugha yetu ya Kiswahili au malezi. Watu kama wewe ndio mlisababisha hadi Samatta akatemwa na Aston Villa.
Mwiko umekuingia sentimeta ngapi mkuu,mbona unaugulia sanaAcha kujifanya huelewi mbumbumbu wewe huyo ni kusugua benchi mpaka atoke majipu mkndun
Mkuu nimekupata.Kibu sio mbaya..nakwambia kibu atacheza Bwaliya..Banda..muhilu.. Morrison..watakaa benchi na Kibu atacheza..
Niwakumbushe ile mechi ya kirafiki na TP mazembe..Ni kibu pekee aliupiga mwingi..katazame Tena mechi hiyo utajua Kibu sio wa kawaida..Kuna siku utamuelewa..hata Sakho imechukua muda kueleweka..
Walitutia aibu sana Samatta akiwa Aston Villa. Mungu atusaidie kwa kweli. Shida sijui ni nini kwa watoto wetuVijana wa Kitanzania sijui mkoje. Huwezi kuandika bila matusi tena machafu kabisa? Nenda kwenye social media za Wakenya au Waganda, huwezi kukuta uchafu kama huu. Mtu anapinga lakini kwa hoja
. Sasa sijui tatizo ni lugha yetu ya Kiswahili au malezi. Watu kama wewe ndio mlisababisha hadi Samatta akatemwa na Aston Villa.
Malezi mkuu. Msamehe tu@Moderator Paw hawa watu inakuwaje mnawavumilia? Kimsingi wanatukosea sana heshima humu.
UwanjaniKwani sasa hivi anacheza wapi?
Really?;🧐Kati ya Bwalya au Kibu atampisha mwamba wa Lusaka.
Minapendekeza Kibu abebwe kwenye gari akatupwe kigamboni kule Evic town Uto wamuokote awe mchezaji wao.pale Simba ni mzigo.
Nashangaa sana yaani mtu unauliza kwa lugha safi iliyonyooka yeye anakujibu kwa matusiVijana wa Kitanzania sijui mkoje. Huwezi kuandika bila matusi tena machafu kabisa? Nenda kwenye social media za Wakenya au Waganda, huwezi kukuta uchafu kama huu. Mtu anapinga lakini kwa hoja
. Sasa sijui tatizo ni lugha yetu ya Kiswahili au malezi. Watu kama wewe ndio mlisababisha hadi Samatta akatemwa na Aston Villa.
Chama hana tofauti saaana na Migomba, ole wake asipo jituma hamkawii kumnangaPamoja na yote CHAMA anatakiwa ABADILIKE kiuchezaji ili aendane na Kasi ya Simba ya Sasa........