Chama anaenda kuchukua nafasi ya nani Simba?

Chama anaenda kuchukua nafasi ya nani Simba?

Ukiangalia kwa jinsi Simba ya sasa inavyocheza, mfalme wa zamani wa timu hiyo Chama ambaye atatambulishwa muda wowote kuanzia sasa, je ni nani atampisha Chama kwenye kikosi cha kwanza? Vipi nafasi ya Pape Sakho haipo shakani kweli?
In the first place lazima achukue nafasi ya mgeni, tuanzie hapo.
 
Vijana wa Kitanzania sijui mkoje. Huwezi kuandika bila matusi tena machafu kabisa? Nenda kwenye social media za Wakenya au Waganda, huwezi kukuta uchafu kama huu. Mtu anapinga lakini kwa hoja
. Sasa sijui tatizo ni lugha yetu ya Kiswahili au malezi. Watu kama wewe ndio mlisababisha hadi Samatta akatemwa na Aston Villa.
Kaka yote ni matunda ya malezi mabaya.
Mtoto toka anazaliwa hadi anakuwa mkubwa anaskia wazazi wake wanatukanana au kutukana watu hadharani.
Au anatukanwa mtoto na wazazi wake hadi anakuwa mtu mzima
Unategemea huyu mtoto akikuwa atakuwa mtu mstaarabu na muungwana?
 
Kibu sio mbaya..nakwambia kibu atacheza Bwaliya..Banda..muhilu.. Morrison..watakaa benchi na Kibu atacheza..
Niwakumbushe ile mechi ya kirafiki na TP mazembe..Ni kibu pekee aliupiga mwingi..katazame Tena mechi hiyo utajua Kibu sio wa kawaida..Kuna siku utamuelewa..hata Sakho imechukua muda kueleweka..
Mkuu nimekupata.
Acha nimpe Kibu mechi tano zaidi kabla sijarejea msimamo wangu wa kumkataa Kibu mimi kama mimi.
 
Vijana wa Kitanzania sijui mkoje. Huwezi kuandika bila matusi tena machafu kabisa? Nenda kwenye social media za Wakenya au Waganda, huwezi kukuta uchafu kama huu. Mtu anapinga lakini kwa hoja
. Sasa sijui tatizo ni lugha yetu ya Kiswahili au malezi. Watu kama wewe ndio mlisababisha hadi Samatta akatemwa na Aston Villa.
Walitutia aibu sana Samatta akiwa Aston Villa. Mungu atusaidie kwa kweli. Shida sijui ni nini kwa watoto wetu
 
Vijana wa Kitanzania sijui mkoje. Huwezi kuandika bila matusi tena machafu kabisa? Nenda kwenye social media za Wakenya au Waganda, huwezi kukuta uchafu kama huu. Mtu anapinga lakini kwa hoja
. Sasa sijui tatizo ni lugha yetu ya Kiswahili au malezi. Watu kama wewe ndio mlisababisha hadi Samatta akatemwa na Aston Villa.
Nashangaa sana yaani mtu unauliza kwa lugha safi iliyonyooka yeye anakujibu kwa matusi

Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
 
Pamoja na yote CHAMA anatakiwa ABADILIKE kiuchezaji ili aendane na Kasi ya Simba ya Sasa........
 
Back
Top Bottom