Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Clatous Chota Chama kiungo fundi wa Kimataifa wa Simba kutoka Zambia ameomba kuondoka kikosini Simba msimu huu unaoisha.
Pande zote mbili zipo zikijadiliana kuhusu sakata hilo. Tetesi zinadai Chama anataka kwenda South Africa kama ilivyo kwa Rally Bwalya.
My take:
Kama ni kweli naona kabisa Chama akipita njia zilezile za Okwi miaka ile alivyokuwa anajua kuisumbua Simba hasa pale anapokuwa hajapewa hela yake
Pande zote mbili zipo zikijadiliana kuhusu sakata hilo. Tetesi zinadai Chama anataka kwenda South Africa kama ilivyo kwa Rally Bwalya.
My take:
Kama ni kweli naona kabisa Chama akipita njia zilezile za Okwi miaka ile alivyokuwa anajua kuisumbua Simba hasa pale anapokuwa hajapewa hela yake